#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Uchafuzi wa mazingira umepungua

Kila nchi imejipima uwezowake wa kujitegemea
 
Co. Za simu kupiga pesa sana kupitia kuuza bando la internet kwa sana maana watu hawatoki sana nje so ni mwendo wa watsap,mikutano ya kazi kufanyika kupitia ZOOM/SKYPE etc
 
Tangu janfa hili litokee, elimu na maelekezo yametolewa kupitia njia mbalimbali, lakini wapo watu kamwe hawataki kuvaa varakoa. Huyu asiyevaa barakoa, akipiga chafya au kukohoa, anawaaambuza wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki ya maeneo mengi Dar yameanza kurudi kama ilivyokuwa mwezi wa 12 (Desemba) mwaka jana, watu wengi wamevua barakoa na walioweka ndoo za maji ya kuosha mikono nao wameziondoa au kama zipo hazina maji.

Biashara ya barakoa nayo Haina wateja kwa sasa baada ya watu kupata taarifa nzuri toka kwa viongozi, hapa naomba niwapongeze kwa kuimaliza Corona haraka sana kukiwa na vivo 16 tu, pongezi kwenu.
 
Watawala wapo kwa sababu yao,sio wewe mtanzania juzi tuliambiwa kipimo ni fake,leo msemaji wa serikali anasema hakuna vifo Wala maambukizi huku wakificha idadi ya wagonjwa lakini mtu kutoka mafichoni anasema hali ni nzuri ,yaani ni shida juu shida
 
Nawa mikono, vaa barakoa na epuka misongamano.

Corona ipo sana tuuu...tunaishi nayo.
 
Haki ya maeneo mengi Dar yameanza kurudi kama ilivyokuwa mwezi wa 12 (Desemba) mwaka jana, watu wengi wamevua barakoa na walioweka ndoo za maji ya kuosha mikono nao wameziondoa au kama zipo hazina maji.

Biashara ya barakoa nayo Haina wateja kwa sasa baada ya watu kupata taarifa nzuri toka kwa viongozi, hapa naomba niwapongeze kwa kuimaliza Corona haraka sana kukiwa na vivo 16 tu, pongezi kwenu.
Hata serikali nayo imepiga marufuku watu kuzikwa usiku
 
Back
Top Bottom