#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Hili jeee
 
Watangaze basi na tarehe za wanafunzi kurudi mashuleni maana wapo tu nyumbani huku wakiwa hawana matumaini ya lini watarudi mashuleni/vyuoni kuendelea/kumalizia masomo yao.
 
mkuu wa nchi ndio kaharibu , kuingilia mambo ya wataalam mwishowe takwimu hamna na watu wanarelax

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua tahadhari,nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, epuka kushikana mikono, vaa barakoa, stay home.

Chukua tahadhari mwenyewe mzee unataka nani akuchukulie,kama ushajua hali ilivyo unasubiri nini tena,
 
Hivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, nani ametangaza kuwa Corona imekwisha?
 
Hivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, ndani ametangaza kuwa Corona imekwisha?
tutapukutika
 
Dalili za corona kupungua ziko mbili Tu ,....Magufuli kutoka mafichoni na shule kufunguliwa.
 
Salama yetu ni immune kinga ya mwili.Ipo video mtandaoni wataalam wanashauri vyema faida za mikusanyiko kubadilishana virus na bacteria kunaongeza kinga ya mwili, kinyume na kujitenga na kuvaa mask mtu anabaki na kinga zake mwenyewe hivyo kufanya mwili kuwa prone dhaifu kwa maradhi.Tusiogope corona tuboreshe lishe na kuwakinga wachache walio dhaifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ni mafua tu Sema kuna watu walijazwa uwoga na media za Mabeberu
Instagram media - CAP8ayJFMhh ( 652 X 640 ).jpg
 
Chukua tahadhari,nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni,epuka kushikana mikono,vaa barakoa,stay home.
Chuykua tahadhari mwenyewe mzee unataka nani akuchukulie,kama ushajua hali ilivyo unasubiri nini tena,
Mtu anapenda kuchukua tahadhari lakini wanaomzunguruka wameacha! Maeneo mengi zimebaki ndoo bila maji na sabuni baada ya kusikia hakuna maambukizi na vifo vipya.
 
Back
Top Bottom