Mzee brevis lina mafuta?Nimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
Sijasema hayo, au we unaona nimesema hivyo?Na
Na shule zifunguliwe
hawawezi kubali.hasa wazushi na kuizishia tanzania uongo kila mediaNimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
Kama kufa mbona tulishatangaziwa siku nyingi sana na WHO embu jiulize zile siku zao na makisio ya maiti kuokotwa mtaani zimekuwaje?Mkuu ni kweli tutakufa kama minyoo imemwagiwa tindikali maabara...😕
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...anayesema piga kazi yeye yupo ndani...
Strategy watupunguze siyo bure! Aisee
Everyday is Saturday........................ 😎
We unaonaje as a matter of personal perceptionKwa hiyo ukimwi umeisha mpaka sasa?
Maana kwa mtindo wako sijasikia watu wakiongelea hii kitu.
uko sahihi sanaFikiria nje ya box, critically and objectively without bias
I have to laugh and to take it as a joke.Nimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
Kwani hata zamani mafua yalikwa haya sababishi vifo?Kama ni mafua tu hao waliofariki wanhekuwepo saaa hivi.
Haya sio mafua ni zaid ua mafua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah, free your mind before diving into the unknown lest it appears as a jokeI have to lqugh and to take it as a joke.
A satire flinged at Magufuli and Trump perhaps?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huyo ana credibility gani? Ni ma zero brain ya humu hayo mkuu.Unajishushia credibility yako mkuu
Au Modds mnasemaje?
Wote tumepona yamebaki mapapai na mbuzi ndo bado kupona.Hivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, nani ametangaza kuwa Corona imekwisha?