#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Nimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
Mzee brevis lina mafuta?
 
Nimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
hawawezi kubali.hasa wazushi na kuizishia tanzania uongo kila media

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli tutakufa kama minyoo imemwagiwa tindikali maabara...😕
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...anayesema piga kazi yeye yupo ndani...

Strategy watupunguze siyo bure! Aisee

Everyday is Saturday........................ 😎
Kama kufa mbona tulishatangaziwa siku nyingi sana na WHO embu jiulize zile siku zao na makisio ya maiti kuokotwa mtaani zimekuwaje?
Kama.huna Mungu shauri yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hii si itakuwa ni mbinu tu ya mbuni kuficha kichwa ardhini ili kukwepa kuona ukweli katika hali halisi! Majanga kama haya hukabiliwa na njia za kisayansi tu na wala si vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna bwana mmoja nilimsikia akijinasibu kwamba hii korona inaweza kuwa kama magonjwa mengine kama HIV, malaria, TB ambayo tumeendelea kuishi nayo, kwa hiyo isiwatie hofu sana. Sasa nikajiuliza hivi kuishi na magonjwa kimekuwa kama kitu cha kujivunia, kiasi kwamba tupuuze njia za kuyatokomeza kisa tunaweza kujifunza kuishi nayo!?
 
Nimekaa nikatafakari kwa kina sana, nikagundua kwamba, dawa ya ugonjwa kama Corona inaweza ikawa ni kutouzungumzia kabisa, utashangaa ugonjwa unayeyuka wenyewe na hata wagonjwa wanapotea kabisa, hii phenomena bado naifanyia utafiti, nitatolea andiko la kina sana.
I have to laugh and to take it as a joke.

A satire flinged at Magufuli and Trump perhaps?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasaka tonge tumejitangazia mkuu.[emoji2] Hatuwazii noma tena Aluta continua
 
Hivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, nani ametangaza kuwa Corona imekwisha?
Wote tumepona yamebaki mapapai na mbuzi ndo bado kupona.
 
Hali ndiyo hiyo kama tunavyoshuhudia, tahadhari zimetelekezwa lakini viongozi wanasifiana kwa kuidhibiti Corona, mbona tumenyamaza wakati mitandao na vyombo vya habari vipo!
 
Back
Top Bottom