Nashauri mwaka mzima wa masomo usitishwe tutaendelea mwaka ujao ili tupigane kwanza hii vita. Mishahara tulipe tu ilimradi lengo kummaliza adui yetu mkubwa kirusi corona.
 
It
 
HUWATAKII MEMA WATANZANIA UNATAKA TUANGAMIE
 
Ahsante Mkuu digba sowey. Ukweli nilifikiri hili ni jukwaa la kuelimishana. Kama kuna jambo unahisi hatujalisema kwa jicho la tafakari ya kina, njia nzuri ni kuelimishana.

Kwa sababu tusi kamwe haliwezi kuoniondelea dhana ninayoisimamia, lakini ukinipa elimu kiungwana na kwa upekee namna hii, unanipa nafasi na fursa ya kujifunza kupitia wewe kaka.

Hakika tunapaswa kuunga jitahada za serikali kwa kutoruhusu Mazoea ya likizo za nyuma yatawale katika kipindi hiki.

Ulinzi wa watoto uanzie kwetu. Corona ni hatari lakini inazuilika. Kama wazazi tuwe msitari wa mbele kuhakikisha watoto wetu nyumbani wanakuwa salama.

Zaidi pia nikutake radhi, kwa neno lolote lililokosa ustaarabu, uungwana na staha kwako.

Ahsante [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe upo dar ambapo mtandao unasoma usifikirie kila mtanzania anaishi mjini, sio kila mwanafunzi wa chuo ana smart phone au laptop!!! Haraka ya Nini kwani hata wakimaliza wataongeza idadi ya wasio na ajira tu mtaani.
 
Wewe ni mpumbavu kweli
Watu kama ninyi ndio hamna uzalendo kwa kuwa hamtaki wananchi wa Tz kuwa salama
 
Tatizo La Mtandao Kutoshika Ni Kubwa Sana Sehemu Nyingi Hapa Tz Tena Hasa Kwa Smartphone Ndio Kabisa. Pia Pamoja Na Kuwa Na Jina Kubwa La Mwana Chuo Kikuu Si Wote Ni Wajuzi Katika Matumizi Ya Mtandao. Hivyo Hoja Yako Kukubalika Na Kukataliwa Yaweza Kuwa 50/50
 
Acha ujinga. Umekariri habari zije kwa kiingereza na kiswahili. Nakujulisha kuwa Msumbiji Ugaidi umetamba kwa masaa 14 .wamevamia kambi ya Jeshi,vituo vya polisi, benki na wametembea na boti za jeshi na kuua Raia wengi sana. Ndani ya huu mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…