Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Parents must be 'aware' of the risk they are taking... Hii pia itapunguza lawama in case of anything!Tunatishana sana Ndg. watanzania
Tuchape kazi
Hizi takwimu umeziokoteza wapi? Hata kukiwa na cases elfu 50!Kwani ujasikia kuwa cov 19 There's 1000+ case of corona which found in Tz ....and case is local transmission from one person to another. Hivyo shule mpaka mwezi wa 10
Sidhani kama kuna sehemu hakuna network, HALOTEL ndo mpango mzima hadi huko nanjilinji. Kuhusu simu, wananzo kama hana smart, sidhani kama kuna kijiji hakina mtu mwenye smart, watz ni wazalendo tunaazimanaSi wote wenye simu mzee [emoji122]
Au simu zinazo support wengine wapo nanjilinji huko network zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi wa kumi! Covid-2019 inategemewa kutoweka kwenye mwezi wa tisa mwaka 2022! Thats close to 2023!Hivyo shule mpaka mwezi wa 10
Wewe ni mpumbavu kweli
Watu kama ninyi ndio hamna uzalendo kwa kuwa hamtaki wananchi wa Tz kuwa salama
Virusi vya Corona havina uwezo wa kuzaliana (fecundity rate) kiasi cha ku affect idadi kubwa ya watu kiasi hicho mnachokifikiria. That means hata kama Watanzania wote tutafungiwa kwenye chumba kimoja, hatuwezi wote kuambukizwa Corona! . Na mkiamua kuogopa, mwishowe mioyo itachomoka.Mkuu uwezekano wa watoto kusoma mwaka huu mpaka mwezi wa 10 .
Nashauri shule na vyuo viendelee kufungwa lakini kwa upande wa vyuo vikuu, wakufunzi waanze kufundisha kwa njia ya mtandao.
Hii inawezekana hasa kwa masuala ya theory, na practical zinaweza kufanyika siku wakirejea vyuoni. Tutumie mitandao kuwafundisha kwa vile wapo majumbani.
Kwa kuanzia, kuna wawakilishi wa wanafunzi (CRs) na viongozi wa wanafunzi vyuoni, hawa wanaweza kutumiwa notes na wakufunzi kwa mtindo wa SLIDES na VIDEOS na kusambaza kwa wenzao na hivyo muhula wa masomo kuendelea kama kawaida.
Kwa wale wenye mikopo (BOOM) wanaweza kupewa nusu kwa mfano sh.250,000/= ili zingine wapewe wakirudi vyuo baada ya kusaini.
Nimeshuhudia vyuoni baadhi ya wanafunzi hawahudhurii darasani ila wanachukua slides na kujisomea na wamekuwa wakifaulu hata kuzidi wale wanaohudhuria.
Vyuo vitakapofunguliwa, wakufunzi wanaweza ku-HIGHLIGHT kile walichofundisha na baadae kutoa TEST ONE.
Ili kiepusha msongamano, usumbufu katika vituo vya mabasi, na kukosa usafiri, siku shule zikifunguliwa, wapishane kwa wiki moja. Kwa mfano, wanaweza kutangulia wa shule za msingi na sekondari na baada ya wiki moja wafuatie wa vyuo vya kati na vyuo vikuu.
Wanafunzi wa vyuo vikuu wana viherehere hasa wakati wa uchaguzi, hivyo si vyema uchaguzi ukawakuta wakiwa vyuoni.
Wacha ujinga wewe, hao 1000 wako kwako?Acha lugha za ovyo shule zinafunguliwa , mwezi wa 10 .kwani ujapata taarifa kuwa tz kuna wagonjwa 1000+
Hapa Busara sifuriI AGREE WITH YOU
CHA MUHIMU SHULE ZIFUNGULIWE, ALAFU WAWEKE SENITIZR , KILA SHULE ...MAANA WATOTO WAKIKE SASA HIVI WANAGAWA KUM SANA BILA MIPAKA IVYO MIMBA ZAWEZA KUONGEZEKA SANA KAMA SHULE ZIKIFUNGWA HADI MWEZI WA 10, PIA NA NYIE WANAFUNZI WAKIKE PUNGUZENI KUGAWA KUM OVYO MTAPATA MIMBA NA UKIMWI.
Black kule wanatelekezwa hawapatiwi tiba sahihi ndiyo maana wanakufa wengi kuliko weupe!Kule Marekani wanaoninginizwa ni akina Nyani ngubu siyo wazungu mkuu
Teh teh teh!Hapa Busara sifuri