Tuombe isifike kama ya wenzetu utajiweka mwenyewe ndani na familia yakoMimi simpendi Jambazi Mkuu Lakin , swala la corona yuko sahii ..akituweka lock down sisi wazee wakupagamisa tutapata wapi ugali moto.
Gwajima aliulizwa juzi na baby kabaya clouds paleItaly hakuna Yesu? Au hawajui kukemea? Walitembeza hadi sanam la bikira Maria liweke baraka na bado halikufua dafu, hapa kwetu wakemeaji maarufu wote kimya, wametuaminisha wanafufua wafu na kuombea wagonjwa hilo la Corona simsikii hata mmoja akisema atakwenda mloganzila akawaombee wagonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee umenena. Yaani huku raha tupu. kuishi kufa kwetu ni Kristo tu. Msiogope wala msifadhaike Bwana Yesu ataponya nchi yetu. AminaWakuu tunatishana sana
Kaugonjwa haka ni kadogo sana tunakakemea kwa Jina la Yesu Kristo kanapotelea huko
Tena haka ni kakukakemea kwa Jila la Yesu
Yaani hapa ndio ulimwengu unahitaji Yesu Kristo alie hai
Karibuni kwa Yesu nafasi bado zipo huku bhana kuishi ni faida kufa ni Kristo
Haya ni mambo ya Imani sio inshu za DiniAisee umenena. Yaani huku raha tupu. kuishi kufa kwetu ni Kristo tu. Msiogope wala msifadhaike Bwana Yesu ataponya nchi yetu. Amina
Mkuu kuweka watu lockdown hapana. Lakini kuna mikusanyiko isiyo ya lazima. Ipigwe marufuku . Kuna uzururaji usiyo wa lazima ipigwe marufukuMimi simpendi Jambazi Mkuu Lakin , swala la corona yuko sahii ..akituweka lock down sisi wazee wakupagamisa tutapata wapi ugali moto.
Hiyo "fat fucking cock" inayosema "Positive" ni nini?Hatimaye nimepima Corrona.
View attachment 1416325
Wanakera sana wapuuzi hawa, serikali ishakuambia chukua tahadhari sasa ukisubiri Rais aje akulinde wewe na familia yako utasubiri sana.Kwani ukiamua kujifungia ndani na familia yako, serikali unahisi itakukataza?
Hii lugha yenu ya "kuchapa kazi" kama siipendi. Nani anamkumbusha mtu juu ya kulisha watu wake ?!. Kazi tunazifanya hata bila kauli hizi za viongozi .Why mnaogopa kufa? usipokufa kwa korona utakufa kwa ajali. Tuendelee kupiga kazi ili tupate cha kuwalisha watoto wetu. Haka ni kaugonjwa ka shetani tu.
Kabisa mkuu.Wanakera sana wapuuzi hawa, serikali ishakuambia chukua tahadhari sasa ukisubiri Rais aje akulinde wewe na familia yako utasubiri sana.View attachment 1416343
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mmeanzaWakuu tunatishana sana
Kaugonjwa haka ni kadogo sana tunakakemea kwa Jina la Yesu Kristo kanapotelea huko
Tena haka ni kakukakemea kwa Jila la Yesu
Yaani hapa ndio ulimwengu unahitaji Yesu Kristo alie hai
Karibuni kwa Yesu nafasi bado zipo huku bhana kuishi ni faida kufa ni Kristo
Sasa rais kazi yake nini?Kama hawezi kuongoza wananchi wake kwenye kipindi kigumu Kama hiki na kutoa mipango ya serikali ilivyojipanga kutuvushaWanakera sana wapuuzi hawa, serikali ishakuambia chukua tahadhari sasa ukisubiri Rais aje akulinde wewe na familia yako utasubiri sana.View attachment 1416343
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunawaamini viongozi wetu unless Kama mnatuambia tuanze kuwaignoreMbona hotuba za tahadhari zinatolewa kila kukicha. Unataka uchapwe viboko na Rais ndio uende kama punda?