Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Tanzania Ubungo terminals unakabidhiwa Kichupa la sanitizerHii ni kwa Tanzania ya akina Joni au ?
Nina mashaka wale wanaoiita sahani tizer kama wanaelewa matumizi yake. Hili la kujifokonoa pua Waziri Ummy alitolee maelekezo vizuri.Ingependeza zaid na level seat zingatiwa,
Pia Itazidi kujenga tabia ta kistaarabu unapokohoa au kupiga chafya kijikinga kwa ajili ya wenzako.
Ipunguze tabia pia ya wale wanopenda kujichokonoa ma pua hovyo hovyo..
Ipunguze pia tabia ya kusalimiana kwa kushikana viganja, zipo njia nyingi tu, At least nyuma ya kiganja basi.
Watalii waliopoteza maisha wakiwa safarini hata ndugu zao wataogopa kusafiri.
Kweli mkuu,tutageuzwa geuzwa kupimwa balaa,karantini za kufa mtu. Kwa mfano kama una semina nchi flani lazima ofisi ipige mahesabu ya siku kumi na nne karantini kabla ya siku yenyewe. Wazungu wameshapata sababu ya kuzuia illegal migrants pia
Wakikusikia na kutekeleza mshukukuru Mungu.
Yule raisi wa jiji anaweza kuwakusanya tena RAIA wake stendi mojawapo na kuwaambia wapige Nazi.
Bora ukose mali, upate akili.
Ukimwi nao ulituletea condom ambayo imepunguza ladhaMoja ya mabadiliko makubwa yatakayo baki hata baada ya corona kupunguza mashambulizi ni tabia ya kunawa mikono. Usishangae kukuta kila seat ya basi la luxury kuwa na chupa ya sanitizer. Hata kwenye ndege sanitizer kutolewa kwa wasafiri.
Kiwango cha malipo ya kadi ya benki bila kuweka nywila kuongezeka. Malipo ya contact less yameonekana kuwa salama zaidi katika maambukizi.
Bado tunaamini kuwa ni mdondo kwa wazungu ? Marekani imethibitisha kuwa si kweli
Hapana hao pia wanaweza kuwa wanapimwa kwanza kabla ya kufika DSMUsafiri wa mikoani tokea dar..ungefungwa!!!! Huo ndo ushauri wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau.Heri ya pasaka kwa wakristo wote na Watanzania wote kwa ujumla.Nianze kwa kufanya mrejeo wa tamko la wizara ya Afya kupitia waziri wetu Mh.Ummy Mwalimu ya kuwa tujiandae na maambukizi ya ndani kwa ndani,ikiwa kama ndiyo hivyo.Mimi kama mtanzania nashauri yafuatayo ili kuweza kukabiliana na maambukizi hayo
1.Ikiwa kama serikali yetu tayari au tuna vifaa vya kutosha,basi visambazwe kwenye hospital zote,maabara na vituo vyote vya afya serikali na vya binafsi pia kwa idadi maalumu.
2.Mgonjwa yeyote atakayekuwa ameenda sehemu zote hizo kupata huduma za kimatibabu na akiwa na kifua,mafua au kama haelewi anachoumwa basi apimwe Corona tu.
3.Kama wagonjwa hao watapimwa na watakugundulika wana maambukizi au wana Corona basi watengwe kuanzia siku hiyo baada ya kugundulika na kupelekwa kwenye wodi mojawapo katika hospitali katika mkoa husika ambayo itatengwa kwa ajili ya wagonjwa wa Corona.
Nini faida ya hayo yote kwa mtazamo wangu
1.Tutapata kuwajua wagonjwa ambao wana corona na wapo mtaani lakini hawajijui.
2.Tutaweza kudhibiti maambukizi ya ndani kwa ndani kwani wagonjwa waliopatikana watakuwa wameshatengwa sehemu maalumu.
Mimi nimewaza hivyo kama mtanzania mwenzenu.
mazagaone@gmail.com
Mhitimu UDOM,
Job Seeker,
Mwanasayansi.