Serekal yetu inatakiwa ikubal ushaur wa wadau juu ya ugonjwa huu hatari wa Corona kwa Lock down Ila itafute washaur na kila ushaur upimwe upi unafaa na upi hufai.
Tanzania tunaweza kukaa lock down ya mwezu mmoja tu na tukawa tayar tumesha maliza walio ambukizwa wote SABABU bado mapema na ugonjwa hauja sambaa kiivyo
Tanzania tunaweza kuweka Lock down kwa ntindo wa kutenga nwez mmoja wa Vita dhid ya Corona mfano serekal ikitenga mwezi mmoja ambao kila mfanyakazi wa serekal na taasisi kubwa kubwa zinazo julikana zisitie mshaara wa kiwango Cha awal pia hii iwe kwa wabunge na rais pia hata mawazir wote wasilipwe mshaara wao wa awal na badala yake serekal itoe kwa kila raia shiling laki 2 naiman itatosha na kwa raia wetu wa Tanzania hata katika kununua bidhaa kwa raia sidhan Kama Kuna familia itashindwa ku balance shiling laki mbil kwa matumizi ya mwezi mmoja
Pia SEREKAL itabidi ihakikishe umeme ndani ya mwezi huo ni bure pia maji yapatikane kwa wanao tumia dawasko vingamuzi ndani ya mwez huo viwe Free vyote pia SEREKAL iweke usirias katka mipaka YETU naiman kwa njia hii watu wataweza kukaa ndani bila lawama yoyote na pia madocter watakao kua wanaudumia wagonjwa hospital wasiruhusiwe kurudi ma kwao watafutiwe eneo naiman bado hatuja chelewa watu walio ajiriwa wasipewe mishahara Yao yote Kama wanapokea laki 4 na kuendelea mpaka kwa rais asitoke mishahara na mafisad apa itabidi wawe wawe na HURUMA waache kupiga hela Mana inaweza ikawa Kama fulsa kwao
Nimetoa mawazo ya Lock down sababu bado mapema na ndani ya mwezi mmoja unatosha kabisa kujua Nan na Nan wanaumwa na kuwatenga
Pil kila mwenye mawazo inabid atoe na ajitaid asiingize siasa sababu siasa zitafanya mawazo yake ambayo yanaweza kutusaidia yakaonekana ni upuuzi
Serekal tufikirie ni jins Gan mtu ambae ameathirika hawezi kukutana na mzima na Kama mtafanya ivi askar wawe Makin Sana katika kuakikisha watu hawatok nje
Kabisa Yani Lock down ambayo hata jiran haruusiw kuongea na jiran yake pili wiki moja kabla ya Lock down lazima TV na redio zitumike kuelimisha jamii kwamba tunaenda kupambana Vita ya mwezi mmoja dhid ya korona na hata wasanii ikibid watumike kufikisha ujumbe vijijn na mijin pia zitumike hata propaganda ili kuziwia watu wasitoke nje
Mnaweza hata kutangaza askar wanaua watu wanao kaid kukaa ndani au kudanganya kua Corona kila siku inaua mamia ya watu ili watu waingiwe na woga pia ikibid hata mabom na risas viwe vinapigwa usiku na mchana ili kutisha watu wasitoke nje naiman tukitanya iv na watu wakatii kukaa ndani Nina uhakika ndani ya mwezi mmoja majibu mazuri tutakua nayo
Asanteni pia na wewe unaweza kuchangia unacho fikiria
Sent using
Jamii Forums mobile app