Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Tangu Corona iingie Tanzania imeau watu watatu tu na wagonjwa wapo 94 kwa Mujibu wa Bi. Ummy.
Juzi ajali imetokea Mkuranga, ajali ya Coaster wamekufa watu 20 na zaidi., sasa ajali moja inaondoa watu wengi kuliko wa Corona.
Daladala za Dar es salaam ambazo nying ni Eicher, Toyota Coaster na Rosa na Nissan Civilian,huwa na beba watu 28-Coaster na 26 -Civilian,lakini kwakuwa watu wa Dar ewapo vululu na viongozi yaani LART hawajali basi huwa wanatoa viti vyote vya katikati na kubaki ukumbi ambao watu husimama wengi kuliko waliokaa.
Baada ya Corona na watu kuambiwa wakae MSAMBWANDA/ LEVEL SEAT basi daladala wamerudisha hizo seat /viti lakini wameweka vigoda vya mbao ambapo mkaaji yaani abiria hana balance, hana pa kuegamia, na gari ikishika breki huwa wanaanguka, hii ni hatari na sheria hairuhusu lakini Makamanda wa polisis wamelala usingizi wa pono, mpaka ajali itokee, watu wafe ndio utaskia tamko linatoka.
IGP una watendaji vilaza na wasio penda kazi zao, wanasubiri watu wafe, narudia wanasubiri vifo maana gari ikipiga breki mtu anatoka na kioo cha mbele
Juzi ajali imetokea Mkuranga, ajali ya Coaster wamekufa watu 20 na zaidi., sasa ajali moja inaondoa watu wengi kuliko wa Corona.
Daladala za Dar es salaam ambazo nying ni Eicher, Toyota Coaster na Rosa na Nissan Civilian,huwa na beba watu 28-Coaster na 26 -Civilian,lakini kwakuwa watu wa Dar ewapo vululu na viongozi yaani LART hawajali basi huwa wanatoa viti vyote vya katikati na kubaki ukumbi ambao watu husimama wengi kuliko waliokaa.
Baada ya Corona na watu kuambiwa wakae MSAMBWANDA/ LEVEL SEAT basi daladala wamerudisha hizo seat /viti lakini wameweka vigoda vya mbao ambapo mkaaji yaani abiria hana balance, hana pa kuegamia, na gari ikishika breki huwa wanaanguka, hii ni hatari na sheria hairuhusu lakini Makamanda wa polisis wamelala usingizi wa pono, mpaka ajali itokee, watu wafe ndio utaskia tamko linatoka.
IGP una watendaji vilaza na wasio penda kazi zao, wanasubiri watu wafe, narudia wanasubiri vifo maana gari ikipiga breki mtu anatoka na kioo cha mbele