Kusali ni hiari hulazimishwi kama hutaki.kwenda usiende unangoja askofu akwambie usiende au raisi akwambie uende kanisani au usiende? Imani ni mambo yako binafsi hulazimishwi na hakuna anayelazimisha MTU kwenda nyumba za ibada .Jiamulie mwenyeweMpaka sasa binafsi hata viongozi wa dini wa Tz sina hamu nao kabisa,kwa kuchanganya siasa na afya zetu........Ngara pekee ndiyo kuna viongozi wale walitoa ile barua jana,ila hawa wanaosukumwa na upepo wa kisiasa,hapana nimewadharau sana na PHD zao
Binafsi siwezi kukataa unalotabiri ila sio kwa Tanzania.Nitasema kwa kifupi tu.
Tumezoea kuona matatizo ya uchumi yakiondoa au kuangusha serikali nyingi dunia kama sio kuzitia msukosuko.
Naomba kutabiri kuwa corona itakwenda kugharimu watawala wengi wanaoshindwa kuchukua hatua sahihi wakati huu na kupelekea hali kuwa mbaya katika nchi zao kuliko ambavyo uchumi umekuwa ukigharimu watawala na vyama vyao duniani.
Pia,watawala wanaolaumiwa sasa na wananchi wao kwa kuwafungia ndani, ndio ambao kesho watakuja kuibuka washindi na kupongezwa sana na wananchi wao ambao leo hii wanawalaumu.
Trump ni mmoja wa watawala ambae corona inaweza kuja kumgharimu licha ya kuunga mkono maandamano ya kupinga lockdown na ni wamereakani hawa hawa wanaondamana leo hii ndio ambao kesho watakuja kumlaumu na watawakumbuka magavana wanaopinga lockdown kuondolewa.
Kuchanganya corona na siasa ni kutengeneza time bomb.
Watawala walio wengi hawajalitambua hili leo,wanajidanganya na majeshi yanayowalinda,na hakika CORONA ikichangamka ikaanza tafuna watoto na ndugu wa hao Askari Pengine na wao wenyewe na Uhakika Wananchi na Askari tutaongea lugha moja dhidi ya watala wabinafsi wasiojali usalama wa Raia #Muda utajaongea
Shida mnakurupuka kujibu,week ya nne kanisani siendi mm,mnachoshindwa kuelewa ni hatari ya huu ugonjwa.....reasoning yenu ni mm kutokwenda kanisani mnadhani ndiyo mnanijibu......think outside the box kwenye hiyo mikusanyiko wote wana elimu nzuri juu ya Corona? Sawa siyo lazima kwenda unadhani kunatahadhari yoyote imechukuliwa,ninapokaa nakaa karibu na kanisa la Evangelist (Yale business za watu) tangu juzi wanakesha tu.....mmoja aliponiona napita nimevaa mask akaniita vitu alivyoniambia nivyakijinga jinga tu(hana elimu kabisa)Kusali ni hiari hulazimishwi kama hutaki.kwenda usiende unangoja askofu akwambie usiende au raisi akwambie uende kanisani au usiende? Imani in.mambo yako binafsi hulazimishwi na hakuna anayelazimisha MTU kwenda nyumba za ibada .Jiamulie mwenyewe
Asante sana kwa kuona mbali.Watawala walio wengi hawajalitambua hili leo,wanajidanganya na majeshi yanayowalinda,na hakika CORONA ikichangamka ikaanza tafuna watoto na ndugu wa hao Askari Pengine na wao wenyewe na Uhakika Wananchi na Askari tutaongea lugha moja dhidi ya watala wabinafsi wasiojali usalama wa Raia #Muda utajaongea
Polisi wanaishi kwenye close quarters(police quarters), wajiandae. Kwanza wameshaanza baadhi yao kupoteza maisha.Watawala walio wengi hawajalitambua hili leo,wanajidanganya na majeshi yanayowalinda,na hakika CORONA ikichangamka ikaanza tafuna watoto na ndugu wa hao Askari Pengine na wao wenyewe na Uhakika Wananchi na Askari tutaongea lugha moja dhidi ya watala wabinafsi wasiojali usalama wa Raia #Muda utajaongea
WAPUMBAVU KATIKA UMOJA WENU !!Asante sana kwa kuona mbali.
...uko sahihi kwa hapa kwetu tz Corona imeonyesha jinsi tulivyo na vyama vya siasa vinavyojali kuchangiwa fedha vinapopata shida za kisiasa au mali na kubembeleza kura wakati wa uchaguzi lakini kwenye majanga Kama haya vinapiga kimya Kama havipo....mfano hakuna chama chochote kilichowaza kutengeneza barakoa ata kwa nembo ya chama husika na kuwagawia wananchi wote ili kuwanusuru na mlipuko wa Corona...wanasubili kampeni zifike watuletee misharti na mikofia yao...iyo mijezi yao utawasaidia Nini wananchi watakaokuwa wamepoteza wapendwa wao kwakukosa nyenzo za kujikinga.....Nitasema kwa kifupi tu.
Tumezoea kuona matatizo ya uchumi yakiondoa au kuangusha serikali nyingi dunia kama sio kuzitia msukosuko.
Naomba kutabiri kuwa corona itakwenda kugharimu watawala wengi wanaoshindwa kuchukua hatua sahihi wakati huu na kupelekea hali kuwa mbaya katika nchi zao kuliko ambavyo uchumi umekuwa ukigharimu watawala na vyama vyao duniani.
Pia,watawala wanaolaumiwa sasa na wananchi wao kwa kuwafungia ndani, ndio ambao kesho watakuja kuibuka washindi na kupongezwa sana na wananchi wao ambao leo hii wanawalaumu.
Trump ni mmoja wa watawala ambae corona inaweza kuja kumgharimu licha ya kuunga mkono maandamano ya kupinga lockdown na ni wamereakani hawa hawa wanaondamana leo hii ndio ambao kesho watakuja kumlaumu na watawakumbuka magavana wanaopinga lockdown kuondolewa.
Kuchanganya corona na siasa ni kutengeneza time bomb.
Umbeya huo Acha umbeya mtoto Wa kiume pambana na hali yakoShida mnakurupuka kujibu,week ya nne kanisani siendi mm,mnachoshindwa kuelewa ni hatari ya huu ugonjwa.....reasoning yenu ni mm kutokwenda kanisani mnadhani ndiyo mnanijibu......think outside the box kwenye hiyo mikusanyiko wote wana elimu nzuri juu ya Corona? Sawa siyo lazima kwenda unadhani kunatahadhari yoyote imechukuliwa,ninapokaa nakaa karibu na kanisa la Evangelist (Yale business za watu) tangu juzi wanakesha tu.....mmoja aliponiona napita nimevaa mask akaniita vitu alivyoniambia nivyakijinga jinga tu(hana elimu kabisa)
Sasa ni wangapi wanaakili ya kutohitaji sanitizer?
Nadhani nawewe ni mmoja ya wajinga kama hao,hiyo Bible mnasoma na kuchanganyikiwa,Mungu ametupa akili na maarifa ya kutafakari sasa hamtaki kutumia akili zenu,mtakanyaga sawa mafuta kwa akili hiziUmbeya huo Acha umbeya mtoto Wa kiume pambana na hali yako
Kwani unalazimishwa kwenda kusali?, wewe na imani yako ndo vitakuokoa au kukuua, kumbuka arusha kuhusu maji ya upako, sijui baraka yalivyoua watu. Kwa hiyo tumia akiri yako.
Uzuri itakuua ww kwanza kwa hiyo hautajua kuwa unayoyatabiri yalitokea au hayakutokea kwa hiyo kazi buree bora usitabiri tuNitasema kwa kifupi tu.
Tumezoea kuona matatizo ya uchumi yakiondoa au kuangusha serikali nyingi dunia kama sio kuzitia msukosuko.
Naomba kutabiri kuwa corona itakwenda kugharimu watawala wengi wanaoshindwa kuchukua hatua sahihi wakati huu na kupelekea hali kuwa mbaya katika nchi zao kuliko ambavyo uchumi umekuwa ukigharimu watawala na vyama vyao duniani.
Pia,watawala wanaolaumiwa sasa na wananchi wao kwa kuwafungia ndani, ndio ambao kesho watakuja kuibuka washindi na kupongezwa sana na wananchi wao ambao leo hii wanawalaumu.
Trump ni mmoja wa watawala ambae corona inaweza kuja kumgharimu licha ya kuunga mkono maandamano ya kupinga lockdown na ni wamereakani hawa hawa wanaondamana leo hii ndio ambao kesho watakuja kumlaumu na watawakumbuka magavana wanaopinga lockdown kuondolewa.
Kuchanganya corona na siasa ni kutengeneza time bomb.
Tumia lugha ya majadiliano huongei na watoto wako hapaWAPUMBAVU KATIKA UMOJA WENU !!
Akibaki uchumi haubakiJiwe akibaki atakuwa na bahati sana
Kwa handling hii aondoke tuu