South
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,514
- 5,143
Tatizo wenye taaluma wamezidiwa nguvu na wanasiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vile tuna tatizo ambalo linatukabiri na pia wataalamu walio na ujuzi wa kuwaelimisha Wananchi kuhusu nini cha kufanya wakati huu, ni vyema wasiohusika na taaluma hiyo wawaachie wahusika waelimishe Wananchi nini cha kufanya. Wanasiasa wao kila kitu wanajua. Matokeo yake tunayaona kwenye kila nyanja, si elimu, afya, uchumi, mawasiliano, you name it.
Sent using Jamii Forums mobile app