Sijasema data sio really, nimesema death zinasababishwa na other underlining issues za mgonjwa.
Kuhusu ventilators usitake kuniambia wakiokufa Tanzania, ni kwa sababu hawakuwekewa ventilator, bali wakiokufa kutokana na hizo underlining issue za mgonjwa, na rate ya wagonjwa kwetu imeongezeka siku tatu au nne zilizopita ambazo zinaweza kuwa caused na small mistakes walizofanya wagonjwa e.g. Prince Charles na kuwekewa kila kitu Mezani , kwenye gari na kuishia nyumba kubwa na hewa safi bado walipata, Pm wa UK, Mke wa Pm wa Canada, Coach wa Arsenal, owner wa Olympiakos the list is long
Mkuu wagonjwa wetu waliokufa wamekufa kwa Corona.
Hatua zisipochukuliwa tutakufa kwa Corona.
Tusiuvae uizraeli kuhalalisha idadi wala sababu za vifo vya Corona.
Ni ukweli uliowazi kuwa idadi ya maambukizi itakapokuwa kubwa (yaani litakapochanganya) vifo pia vitaongezeka.
Mgonjwa mmoja anaambukiza wengine hadi 90 katika kipindi chake cha ugonjwa wake kufikia kufa au kupona.
5% hadi 10% ya wagonjwa wote kutegemea na ubora wa huduma za afya katika sehemu au nchi husika wanakufa na ugonjwa huu.
Ugonjwa unakuwa umeshadhibitiwa kama wanaopona ni wachache kuliko wanaoambukizwa in a given time.
Huu ndiyo ukweli hapo. Hakuna cha ramli wala maombezi.
Corona ni uzembe wetu isingetufikia, na itatumaliza tusipoamka sasa - ukweli mchungu - JamiiForums