aanze kukata mishahara ya wanajeshi sio hao wanyonge unaosema! hapo ndio ntamuelewa
akifanikisha hilo NITAGI
 
Ghala la NFRA Lina chakula kiasi gani ?

Maana Magufuli anaona ni BORA kuchota MILIONI 38 kwenda kutafuta sifa ya kumtoa MSIGWA Jela kuliko kuweka Akiba Ya Chakula NFRA.

Waliokuwa Wanaweka Alikuwa Anawaona Wajinga.
 
Suala LA mishahara hapana kwa kuwa katiba inaruhusu matumizi ya dharura toka kwenye mfuko Mkuu WA sserikali ambao unaweza shughulikia hayo. Na baadaye watapeleka marekebisho ya bajet bungeni hivyo pesa na uwezo WA pesa upo.



Lock down kwa hakika tuliyokuwa tunaifikiria vichwani ni ya level ya nyumba isipokuwa watu watendelea kupata huduma za maduka kwa dharura baada ya kupata kibali cha kiongozi WA shina au mlinzi aliyepo barabarani.


Mengine yako safi.



Sijui mh. Rais anawaza nini. Au pengine ni Yale mawazo ya jingalao aliyoyaleta wakati alipokuja na bandiko lake like!

Wanajifariji kuwa n wakati WA curve hivyo soon itashuka.

Wanajidanganya. Wakianza kuzika kule Congo LA mboto ndipo watawafungia ninyi WA dar
 
Binafsi nafikiri ni kila mmoja kuwajibika maana tatizo ni ugonjwa,so kusambaa kwake ndio athari kubwa zaidi ni vyema kujilinda kwa hali ya juu zaidi ili kutoathiri zaidi na zaidi na pia itarahisisha kuleta wepesi kwa wale wachache watakao kuwa wameugua kuweza kuhudumiwa vilivyo na serikali.. tutaipunguzia gharama za kutuhudumia,ugonjwa unaweza kuwahi kuondoka kabla madhira hayajafika pakubwa hivyo watu kuendelea na shughuli za uchumi ndani ya muda mfupi..

Hatuhitaji kujitia ubishi lazima tuwajibike kwa pamoja..
Ni vyema waliopo mijini kutulia kutokimbilia kijijini ambapo wanaweza peleka ugonjwa na ukaathitlri sekta za kilimo na ufugaji ambazo ni uti wa mgongo..
Mengine serikali itajiongeza
 
Lockdown Dar es salaam ingekuwa njia nyingine ya kupambana na covid19 baada ya ile ya kufunga mipaka kuchelewa,lockdown ina adhari zake lakini kwa mataifa yetu ya kimaskini ni njia inyoweza kutoa msaada mkubwa katika kumaliza janga hili

Ni rahisi kupigana na ugonjwa huu ukiwa katika mazingira ya mijini hasa miji mikubwa ambapo miundo mbinu yake imepagika na kuna huduma za maji tiririka sabuni,sanitizer masks na huduma muhimu za afya. Lakini ugonjwa huu utakapofika vijijini sehemu ambazo miundombinu mingi si rafiki basi ugeuka kuwa janga zaidi. Ugonjwa unaposambaa zaidi uwezo wa kuudhibiti unapungua.

Prevention is better than cure.
 
Mkuu
Umetoa ushauri mzuri sana,
Umetumia umakini na umahihiri kutafakari,
Nakupongeza.

Natamani viongozi wenye dhamana wapite hapa, waone ushauri huu
Wachukue hatua haraka
Wasiendelee kuuwa watu

Tatizo kubwa ninaloliona Mimi
Rais alikosea tangu mwanzo, akaendelea kukosea, anajua wazi kwamba anakosea lakini hataki kuonekana ameshindwa kusimamia anachokiamini, hataki kuonekana dhaifu
Ni jambo hilo pekee ndio linagharimu Taifa mpaka sasa.

Ushauri wangu:
Viongozi acheni ubinafsi,kujificha na kuwaambia wananchi wachape kazi ni zaidi ya ubinafsi.
Tumewapa dhamana, Okoeni taifa
Reli, barabara, madaraja makubwa na mabwawa ya umeme hayana maana bila WATU WENYE AFYA.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
wabongo tumekuwa hodari sana sasa hivi kushauri kuhusu Corona. Huko kupima inahitaji hela nyingi na vifaa hata nchi Tajiri imewashinda.

The only cure for this virus is to stick our asses at home and seek divine intervention!
 
Hiyo namba moja imeshashindikana. Sad to say so!
Mambo mengi uliyoshauri yalipaswa kuchukuliwa day one alipogundulika.
Nimenukuu hapa "Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE"
 
Siamini kama "wazee wa kitengo" hawakushauri haya.
Usalama wa Taifa .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…