aanze kukata mishahara ya wanajeshi sio hao wanyonge unaosema! hapo ndio ntamuelewaRaisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)
hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.
Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE
1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana
2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.
5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.
6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife
8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo
7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe supplier wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta
9. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k
9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.
10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza
Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
Ghala la NFRA Lina chakula kiasi gani ?
Maana Magufuli anaona ni BORA kuchota MILIONI 38 kwenda kutafuta sifa ya kumtoa MSIGWA Jela kuliko kuweka Akiba Ya Chakula NFRA.
Waliokuwa Wanaweka Alikuwa Anawaona Wajinga.
Ndio lengo la Magu tuMi nadhani tuahirishe uchaguzi mkuu Hadi 2025
Kwenye hili anahusikaje?Polepole sijui yuko wapi sikuhizi ndo wapambe nuksi.
Hilo ndo linalifata [emoji23]Mi nadhani tuahirishe uchaguzi mkuu Hadi 2025
Kwahiyo kipindi cha mkwere kuliwahi kua na corona?Ndoo maana mm nasema tulikosea sana tena sana katika uchaguzi wa 2015.Enzi za mkwere hapa wote washapata barakoa,daaa mkwere alikuwa ana ubinadamu sana na huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)
hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.
Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE
1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana
2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.
5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.
6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife
8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo
7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe supplier wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta
8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k
9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.
10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza
Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa
Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
wabongo tumekuwa hodari sana sasa hivi kushauri kuhusu Corona. Huko kupima inahitaji hela nyingi na vifaa hata nchi Tajiri imewashinda.Ni serikali ianzishe vituo vya kupima corona kila mtu akapime Afya yake kuangalia kaukwaa ama vipi. Kwa sababu hii staili ya kusubiri mtu aumwe ndo aende hospitali ndo wampime ndo wakute ana corona itatumaliza.
zile nchi ambazo tunaona maambukizi yapo juu ni kwamba wanawapima wananchi wao hususani kwenye miji ambayo imeonekana kuathirika zaidi.
Kwa sababu tulishafanya uzembe tukaruhusu wageni wenye corona waingie nchini wakati ugonjwa umepamba moto na baada ya wageni kupungua ndo mkafunga anga wekeni vituo maalum watu wakapime.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini kama "wazee wa kitengo" hawakushauri haya.Mkuu
Umetoa ushauri mzuri sana,
Umetumia umakini na umahihiri kutafakari,
Nakupongeza.
Natamani viongozi wenye dhamana wapite hapa, waone ushauri huu
Wachukue hatua haraka
Wasiendelee kuuwa watu
Tatizo kubwa ninaloliona Mimi
Rais alikosea tangu mwanzo, akaendelea kukosea, anajua wazi kwamba anakosea lakini hataki kuonekana ameshindwa kusimamia anachokiamini, hataki kuonekana dhaifu
Ni jambo hilo pekee ndio linagharimu Taifa mpaka sasa.
Ushauri wangu:
Viongozi acheni ubinafsi,kujificha na kuwaambia wananchi wachape kazi ni zaidi ya ubinafsi.
Tumewapa dhamana, Okoeni taifa
Reli, barabara, madaraja makubwa na mabwawa ya umeme hayana maana bila WATU WENYE AFYA.!!
Sent using Jamii Forums mobile app