Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Acheni uoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scientists draw up 'traffic light' masterplan to end lockdownRaisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)
hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.
Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE
1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, Pharmacy ziwe wazi na watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods kama vile kununua chakula na dawa. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Au let say kw mfano wenye malaria, wenye kuhitaji dawa pharmacy, au wajawazito wenye kuhitaji kujifungua wakajikuta wanazuiwa kutembea. Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana
2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.
5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.
6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife
8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo
7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe distributor wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta
8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, ofisi za serikali za mitaa, watendaji wa kata etc Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k
9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.
10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza
11. Wale watakaosimamia lockdown waelimishwe sana wawe na commonsense, kwa mfano kuna watu watataka kwenda hospitali, kuna wajawazito wanataka kujifungua n. k, wasije wakaanza kutumia nguvu dhidi yao badala ya kutambua kuwa huduma maalum kwa watu hao haziepukiki
12. Usizuie teksi, bodaboda wala bajaji zitakazokuwa zinabeba watu kwa ajili ya huduma za msingi kama kupeleka watu hospitali
13. Kila atakayetoka mtaani kwa ajili ya kupata essential goods na service ya dharura lazima awe na barakoa.
14. Maduka yetu yale ya kawaida mitaani yenye kuuza bidhaa za chakula na mahitaji mengine ya msingi kama mafuta ya taa, kupikia kwenye kila kata iliyo kwenye lockdown yasifungwe, yale mengine yanayouza bidhaa zisizo za chakula kama vile nguo, vipodozi, vilevi etc yafungwe
Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa
Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii hatariUsinifundishe kazi.
Umetumwa na Mabeberu
Corona ni kadudu kadogo sana.
Tuchape kazi
Natangaza maombi siku 3
Kila mtu aende kwenye kazi zake..
Tumejipanga
Msiende Muhimbili
Vaa hata kanga inazuia Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unaingilia kazi za viongoziacha upumbavu kwenye ishu serious
Eti tapeli gwajima ndio muongoza maombiHuyu atakuwa gwajima jinga Kabisa hili serikali ipi iliyoenda kujificha chato?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujumbe muruaRaisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)
hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.
Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE
1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, Pharmacy ziwe wazi na watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods kama vile kununua chakula na dawa. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Au let say kw mfano wenye malaria, wenye kuhitaji dawa pharmacy, au wajawazito wenye kuhitaji kujifungua wakajikuta wanazuiwa kutembea. Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana
2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.
5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.
6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife
8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo
7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe distributor wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta
8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, ofisi za serikali za mitaa, watendaji wa kata etc Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k
9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.
10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza
11. Wale watakaosimamia lockdown waelimishwe sana wawe na commonsense, kwa mfano kuna watu watataka kwenda hospitali, kuna wajawazito wanataka kujifungua n. k, wasije wakaanza kutumia nguvu dhidi yao badala ya kutambua kuwa huduma maalum kwa watu hao haziepukiki
12. Usizuie teksi, bodaboda wala bajaji zitakazokuwa zinabeba watu kwa ajili ya huduma za msingi kama kupeleka watu hospitali
13. Kila atakayetoka mtaani kwa ajili ya kupata essential goods na service ya dharura lazima awe na barakoa.
14. Maduka yetu yale ya kawaida mitaani yenye kuuza bidhaa za chakula na mahitaji mengine ya msingi kama mafuta ya taa, kupikia kwenye kila kata iliyo kwenye lockdown yasifungwe, yale mengine yanayouza bidhaa zisizo za chakula kama vile nguo, vipodozi, vilevi etc yafungwe
Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa
Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
Raisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)
hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.
Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE
1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, Pharmacy ziwe wazi na watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods kama vile kununua chakula na dawa. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Au let say kw mfano wenye malaria, wenye kuhitaji dawa pharmacy, au wajawazito wenye kuhitaji kujifungua wakajikuta wanazuiwa kutembea. Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana
2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.
5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.
6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife
8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo
7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe distributor wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta
8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, ofisi za serikali za mitaa, watendaji wa kata etc Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k
9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.
10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza
11. Wale watakaosimamia lockdown waelimishwe sana wawe na commonsense, kwa mfano kuna watu watataka kwenda hospitali, kuna wajawazito wanataka kujifungua n. k, wasije wakaanza kutumia nguvu dhidi yao badala ya kutambua kuwa huduma maalum kwa watu hao haziepukiki
12. Usizuie teksi, bodaboda wala bajaji zitakazokuwa zinabeba watu kwa ajili ya huduma za msingi kama kupeleka watu hospitali
13. Kila atakayetoka mtaani kwa ajili ya kupata essential goods na service ya dharura lazima awe na barakoa.
14. Maduka yetu yale ya kawaida mitaani yenye kuuza bidhaa za chakula na mahitaji mengine ya msingi kama mafuta ya taa, kupikia kwenye kila kata iliyo kwenye lockdown yasifungwe, yale mengine yanayouza bidhaa zisizo za chakula kama vile nguo, vipodozi, vilevi etc yafungwe
Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa
Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
Dudeeeee stick your ass at home you will be safe




Aaron Rupar
✔@atrupar
· Apr 19, 2020
Replying to @atrupar
"You talk about, potentially, lives like no one has seen since 1917" -- Trump still hasn't figured out that the 1918 flu pandemic didn't happen in 1917
![]()
Aaron Rupar
✔@atrupar
"It could have been billions of people if we had not done what we did" -- Trump absurdly claims that his move to restrict travel from China saved a billion or more lives
3,096
1:00 AM - Apr 19, 2020
Twitter Ads info and privacy




