#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Huo ushauri mngekaa nao tuu. Jamaa ameamua
IMG_20200420_213700.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina uhakika 90% kwenye circle na system ya Rais lazima walikuepo wenye mawazo Kama haya
Ila tatizo ni moja tu Yani Ni moja tu nadhani na wao wanalijua.
 
Raisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)

hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.

Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE

1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, Pharmacy ziwe wazi na watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods kama vile kununua chakula na dawa. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Au let say kw mfano wenye malaria, wenye kuhitaji dawa pharmacy, au wajawazito wenye kuhitaji kujifungua wakajikuta wanazuiwa kutembea. Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana

2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.

5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.

6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife

8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo

7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe distributor wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta

8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, ofisi za serikali za mitaa, watendaji wa kata etc Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k

9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.

10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza

11. Wale watakaosimamia lockdown waelimishwe sana wawe na commonsense, kwa mfano kuna watu watataka kwenda hospitali, kuna wajawazito wanataka kujifungua n. k, wasije wakaanza kutumia nguvu dhidi yao badala ya kutambua kuwa huduma maalum kwa watu hao haziepukiki

12. Usizuie teksi, bodaboda wala bajaji zitakazokuwa zinabeba watu kwa ajili ya huduma za msingi kama kupeleka watu hospitali

13. Kila atakayetoka mtaani kwa ajili ya kupata essential goods na service ya dharura lazima awe na barakoa.

14. Maduka yetu yale ya kawaida mitaani yenye kuuza bidhaa za chakula na mahitaji mengine ya msingi kama mafuta ya taa, kupikia kwenye kila kata iliyo kwenye lockdown yasifungwe, yale mengine yanayouza bidhaa zisizo za chakula kama vile nguo, vipodozi, vilevi etc yafungwe

Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa

Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
Scientists draw up 'traffic light' masterplan to end lockdown

Scientists draw up 'traffic light' masterplan to end lockdown

Sent via @updayUK
 
Raisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)

hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.

Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE

1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, Pharmacy ziwe wazi na watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods kama vile kununua chakula na dawa. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Au let say kw mfano wenye malaria, wenye kuhitaji dawa pharmacy, au wajawazito wenye kuhitaji kujifungua wakajikuta wanazuiwa kutembea. Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana

2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.

5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.

6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife

8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo

7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe distributor wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta

8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, ofisi za serikali za mitaa, watendaji wa kata etc Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k

9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.

10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza

11. Wale watakaosimamia lockdown waelimishwe sana wawe na commonsense, kwa mfano kuna watu watataka kwenda hospitali, kuna wajawazito wanataka kujifungua n. k, wasije wakaanza kutumia nguvu dhidi yao badala ya kutambua kuwa huduma maalum kwa watu hao haziepukiki

12. Usizuie teksi, bodaboda wala bajaji zitakazokuwa zinabeba watu kwa ajili ya huduma za msingi kama kupeleka watu hospitali

13. Kila atakayetoka mtaani kwa ajili ya kupata essential goods na service ya dharura lazima awe na barakoa.

14. Maduka yetu yale ya kawaida mitaani yenye kuuza bidhaa za chakula na mahitaji mengine ya msingi kama mafuta ya taa, kupikia kwenye kila kata iliyo kwenye lockdown yasifungwe, yale mengine yanayouza bidhaa zisizo za chakula kama vile nguo, vipodozi, vilevi etc yafungwe

Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa

Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!
Ujumbe murua
 
Umenena vyema Mzalendo wa nchi yangu Mama Tanzania! Hii nchi ina brains kabisa lakini wanaliwa na mchwa na kutu.

How I wish to put you in the frontline the national taskforce on COVID-19 lakn sasa sina hiyo mandate!

Neema na huruma za Mungu zimguse huyu Magufuli achukue huu ushauri maana utaukomboa nchi na kuokoa maisha ya wengi
Raisi Magufuli, Wakati hauko upande wako yafuatayo ni mapendekezo ya Kizalendo kabisa natoa, kama nilivyotoa mwanzoni kabisa mwa janga hili lilipoanza, Nilipendekeza Tuzuie watu kutoka nje wasiingie nchini, kwa maana mipaka yote ya nchi ifungwe (isipokuwa kwa situation maalum za. mizigo kuingia na kutoka)

hatuna jinsi sasa ni muda wa maamuzi magumu.

Situation tuliyo nayo ni ngumu kuliko hata wakati wa vita ya Kagera, ni mgumu kuliko hata harakati za kudai uhuru, WAKATI HUU TULIO NAO NI TISHIO LA, UWEPO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA WATU WAKE

1. Kama unaweza kuilisha dar, Arusha, Mwanza na Miji yetu mikubwa piga lockdown yote nyumba kwa nyumba, Kama huwezi basi Piga Lockdowndown miji hiyo kwa level ya kata, siyo nyumba kwa nyumba, aliyeko Mwenge asiende kinondoni, aliyeko Kinondoni asiende Posta, masoko ya chakula yawe wazi, Hospitali ziwe wazi, Pharmacy ziwe wazi na watu watoke mmoja mmoja kwa ajili ya essential goods kama vile kununua chakula na dawa. Hakikisha unaplan vizuri watu hawafi kwa njaa, Au let say kw mfano wenye malaria, wenye kuhitaji dawa pharmacy, au wajawazito wenye kuhitaji kujifungua wakajikuta wanazuiwa kutembea. Mtihani upo kwenye watu kula Hapa umiza kichwa sana

2. Kopa watumishi wa umma kwa muda wa miezi miwili, Kata mishahara Ya watumishi wa Umma wenye kipato cha milioni moja kwenda juu kata 50%, wenye kipato cha laki tano kuja chini kata 10%. Hizi pesa ziwe deni la ndani ambalo serikali itakuja kulipa siku moja. Hizi pesa zitumike kununulia Chakula na Kukigawa bure kwa wananchi.

5. Ndani ya mikoa, kwenye mikoa ambayo haijaathiriwa sana, Funga nchi kwa level ya wilaya, mtu asitoke wilaya moja kwenda wilaya myingine.

6. Funga nchi yote kwa level ya mkoa, Safari zote za mikoa zife

8. Chagua nyumba kadhaa kila kata za miji ya Dar, Arusha, Mwanza na ile ambayo inaonyesha dalili za kuwa hardly hit ziwe supply point (maghala) kwenye kata hizo

7. Rasilimali za Jeshi la wananchi kama vile magari ya kijeshi zitumike kusambaza bidhaa muhimu nchi nzima, kwenye masoko na kwenye supply point katika kila kata, na kila Mwenye usafiri wa gari katika kila kata awe identified ili awe distributor wa essential goods katika kata yake, awezeshwe kwa mafuta

8. Tumia mtandao ulionao, Matawi ya CCM, Viongozi wa nyumba kumikumi, Misikiti ya maeneo, Makanisa, Vituo vya polisi, ofisi za serikali za mitaa, watendaji wa kata etc Hapa pia uwe makini isije ikaonekana misaada inakuja kwa misingi ya udini, uchama n. k

9. Challenge kubwa ni wale watu wasio na makazi maalum, ambao hula magengeni, ambao hawajui kupika, ambao hawana nyenzo za kupika, Hapa inabidi uumize kichwa kwelikweli maana ukikosea hapa watu watavamia nyumba nyingine kupora chakula. Hapa unaweza kutumia shule za msingi na sekondari zilizofungwa kuwaweka hawa na kuwasaidia kwa chakula.

10. Tulipeleka vijana wetu JKT siyo wakapige kwata, bali kwenye wakati kama huu tuwaite on duty watekeleze duty kama za kusimamia order kwenye kipindi kama hiki, kwa hiyo hawa ambao ni reserve army waitwe wasaidie kuimplement lockdown hizo nilizopendekeza

11. Wale watakaosimamia lockdown waelimishwe sana wawe na commonsense, kwa mfano kuna watu watataka kwenda hospitali, kuna wajawazito wanataka kujifungua n. k, wasije wakaanza kutumia nguvu dhidi yao badala ya kutambua kuwa huduma maalum kwa watu hao haziepukiki

12. Usizuie teksi, bodaboda wala bajaji zitakazokuwa zinabeba watu kwa ajili ya huduma za msingi kama kupeleka watu hospitali

13. Kila atakayetoka mtaani kwa ajili ya kupata essential goods na service ya dharura lazima awe na barakoa.

14. Maduka yetu yale ya kawaida mitaani yenye kuuza bidhaa za chakula na mahitaji mengine ya msingi kama mafuta ya taa, kupikia kwenye kila kata iliyo kwenye lockdown yasifungwe, yale mengine yanayouza bidhaa zisizo za chakula kama vile nguo, vipodozi, vilevi etc yafungwe

Mzee, lengo la lockdown, ni kulocalize cases zilipo kirahisi na kuziidentify maana baada ya muda fulani wataonyesha dalili, kuzuia maambukizi kusambaa na pia kusaidia mfumo wa afya usicollapse kwa kuzidiwa na new cases za kiwango kikubwa

Mzee Ulikosea kutofunga mipaka hapo awali kwa kuhofia uchumi(Kama alivyosema Polepole), Sasa Uliacha kuuanika, leo tunautwanga mbichi.
Wahenga hawakuwa Wajinga kusema heri kinga kuliko tiba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 



US death toll climbs as Trump rebuffs ‘unreasonable’ restrictions, blames China
President appears to back growing protest movement for economy to reopen, says Beijing could face consequences for keeping virus under wraps
By AFP19 Apr 2020, 5:43 am 4
US President Donald Trump listens alongside an infographic during a press briefing with members of the White House Coronavirus Task Force on April 18, 2020 in Washington, DC. (Sarah Silbiger/Getty Images/AFP)
US President Donald Trump listens alongside an infographic during a press briefing with members of the White House Coronavirus Task Force on April 18, 2020 in Washington, DC. (Sarah Silbiger/Getty Images/AFP)
  • 98shares
US President Donald Trump warned that China could be punished for failing to alert the world to the novel coronavirus and urged US governors to reopen their economies as the US death toll from the pandemic neared 40,000 victims Saturday.
The coronavirus death toll in the US climbed by 1,891 in the past 24 hours to reach 38,664 on Saturday, according to a tally by Johns Hopkins University.

The US has seen a total of 732,197 confirmed cases of COVID-19 since the start of the global health crisis, according to the Baltimore-based university, making it the country with the highest number of virus cases and deaths in the world.
Get The Times of Israel's Daily Edition by email and never miss our top stories FREE SIGN UP
Globally, over 159,000 people have died, including over 100,000 in Europe, and 2.3 million cases of the virus have been reported.

Medics wear protective gear as they arrive at a Brooklyn hospital to pick up a patient on April 18, 2020 in the Brooklyn borough of New York City. (Spencer Platt/Getty Images/AFP)
Speaking to reporters at a White House briefing, Trump said China could face consequences if it was “knowingly responsible” for the pandemic, and cast doubt on the number of people reported dead by Beijing.

“It could have been stopped in China before it started and it wasn’t,” Trump told “And now the whole world is suffering because of it.”
Trump was asked whether China should suffer consequences over the pandemic which began in the Chinese city of Wuhan in December.

US President Donald Trump delivers remarks during a press briefing with White House coronavirus response coordinator Deborah Birx, on April 18, 2020 in Washington, DC. (Sarah Silbiger/Getty Images/AFP)
“If they were knowingly responsible, certainly,” he said. “If it was a mistake, a mistake is a mistake.

“But if they were knowingly responsible, yeah, then there should be consequences,” Trump said.
“Was it a mistake that got out of control or was it done deliberately?” he asked. “That’s a big difference between those two.
“In either event they should have let us go in,” he said. “We asked to go in early. And they didn’t want us in. I think they knew it was something bad and they were embarrassed.”
“They said they’re doing an investigation,” the president continued. “So let’s see what happens with their investigation. But we’re doing investigations also.”
The Trump administration has said it doesn’t rule out that the novel coronavirus was spread — accidentally — from a laboratory researching bats in Wuhan.

Government workers stand outside a blue tent used to coordinate transportation of travelers from Wuhan to designated quarantine sites in Beijing, China, Wednesday, April 15, 2020 (AP Photo/Sam McNeil)
Chinese Foreign Ministry spokesman Zhao Lijian — who previously alleged that the US military may have brought the virus into China — has rejected US media reports on the subject and said there is “no scientific basis.”
Trump cast doubt on official Chinese figures showing the country has suffered just 0.33 deaths per 100,000 people. China’s death toll jumped to 4,632 on Friday after it raised by 50 percent the number of fatalities for Wuhan.
“The number’s impossible,” he said. “It’s an impossible number to hit.”
The United States, according to a chart displayed at the briefing, has had 11.24 deaths per 100,000 people while France has had 27.92 and Spain 42.81.
Trump himself displayed some fuzzy math, saying without his decision to block travel from China early on, a billion Americans could have died — well more than the estimated 325 million Americans alive according to the US census bureau.

Aaron Rupar

@atrupar

· Apr 19, 2020

Replying to @atrupar
"You talk about, potentially, lives like no one has seen since 1917" -- Trump still hasn't figured out that the 1918 flu pandemic didn't happen in 1917

Embedded video

Aaron Rupar

@atrupar


"It could have been billions of people if we had not done what we did" -- Trump absurdly claims that his move to restrict travel from China saved a billion or more lives

Embedded video


3,096

1:00 AM - Apr 19, 2020
Twitter Ads info and privacy

1,279 people are talking about this



He also voiced backing for growing protests around the country, which have pushed back against regulations restricting movement and shuttering businesses in a bid to keep the virus’s spread in check.
Demonstrations Saturday at the capitols of states including Texas, Maryland, New Hampshire and Ohio drew hundreds of people, many waving American flags and some carrying arms, demanding a quick end to state-ordered confinement.
Trump has repeatedly called for the earliest possible return to normality as virus-related closings have had a crushing impact on American workers and businesses.

Hundreds of New Hampshire residents rally at the State House, calling on the government to re-open the state for business as the coronavirus shutdown continues, in Concord, New Hampshire, on April 18, 2020. (Joseph Prezioso / AFP)
“I really think some of the governors have gotten carried away,” Trump said, accusing them of imposing “unreasonable” restrictions.
He welcomed the reopening of some businesses in Texas and Vermont on Monday “while still requiring appropriate social distancing precautions.”
The spreading anti-lockdown movement drew encouragement Friday from Trump, who tweeted that three states with Democratic governors should be “liberated” from the stay-home orders.

An empty parking lot is seen at retail stores are closed, April 15, 2020, in Whitestown, Indiana. (AP Photo/Darron Cummings)
But Americans, by two-to-one, disagree with the protesters. A new Pew survey found that most were more concerned about ending home confinement too soon rather than too late.
‘Under control’
Mounting evidence suggests that social distancing slowed the pandemic after more than half of humanity — 4.5 billion people — were confined to their homes.
Many countries are testing only the most serious cases and the number of confirmed infections is likely to be a fraction of the true total.
Stay-at-home orders have been enforced in Italy and Spain, still the hardest-hit countries in Europe, with 23,227 and 20,043 fatalities respectively, followed by France with 19,323 deaths. Britain’s overall death toll is officially 15,464.
As governments around the world grapple with when and how to ease lockdowns that have crippled the global economy, Spain on Saturday extended its nationwide lockdown to May 9.

A billboard is installed on an apartment building in Cape Town, South Africa, March 25, 2020. (AP/Nardus Engelbrecht)
Japan, Britain and Mexico have all expanded their movement restrictions.
Yet elsewhere, signs that the outbreak could be easing prompted Switzerland, Denmark and Finland to begin reopening shops and schools this week.
Germany has declared the virus “under control” after 3,400 deaths, and is beginning the delicate task of lifting some restrictions without triggering a secondary outbreak — with some shops allowed to reopen Monday, and some children returning to school within weeks.
Parts of Italy began emerging from lockdown too, with Venice residents strolling around quiet canals.

Members of ” Row Venice “, a non-profit organization dedicated to preserving the traditional Venetian rowing style, deliver food to families who do not have the opportunity to go to buy directly, on April 18, 2020 in Venice. (ANDREA PATTARO / AFP)
Iran also allowed some Tehran businesses to reopen Saturday despite the Middle East’s deadliest outbreak.
“How can I keep staying home? My family is hungry,” said Hamdollah Mahmoudi, 45, a shopworker in Tehran’s Grand Bazaar.

A biker wearing a face mask to curb the spread of the new coronavirus drives past a group of people selling hand sanitizer at a low price in Tajrish square in northern Tehran, Iran, April 16, 2020. (AP Photo/Vahid Salemi)
Virtually no corner of the world has been left untouched, with deaths in Africa passing 1,000.
Nigeria announced the death of a top aide to President Muhammadu Buhari.
Meanwhile, many of the world’s 260 million Orthodox Christians are preparing to mark Easter without attending church services.
In Zimbabwe, mass rallies and military parades to mark the country’s 40th anniversary of independence from British colonial rule were cancelled.
And Buckingham Palace announced that Queen Elizabeth II will not mark her birthday on Tuesday with a traditional gun salute.
As the latest grim data emerged, performers from around the world kicked off an hours-long live-streamed concert aimed at supporting health care workers, and cultivating a sense of community in a time of crisis.
The eight-hour event, which includes A-listers ranging from cellist Yo-Yo Ma to award-winning teen singer Billie Eilish to the Rolling Stones, was brought together by the advocacy group Global Citizen with the World Health Organization.



Times of Israel staff contributed to this report.
Now, more than ever, is the time to support quality journalism
A MESSAGE FROM THE EDITOR
DAVID HOROVITZ
 
Coronavirus: Plasma treatment to be trialled
By Rebecca MorelleScience correspondent, BBC News
  • 20 April 2020
  • comments
Related Topics
blood
Image copyrightPA
The UK is gearing up to use the blood of coronavirus survivors to treat hospital patients ill with the disease.
NHS Blood and Transplant is asking some people who recovered from Covid-19 to donate blood so they can potentially assess the therapy in trials.
The hope is that the antibodies they have built up will help to clear the virus in others.
The US has already started a major project to study this, involving more than 1,500 hospitals.
When a person has Covid-19, their immune system responds by creating antibodies, which attack the virus.
Over time these build up and can be found in the plasma, the liquid portion of the blood.
NHSBT is now approaching patients who have recovered from Covid-19 to see if plasma from them can be given to people who are currently ill with the virus.
A statement from the organisation said: "We envisage that this will be initially used in trials as a possible treatment for Covid-19.
"If fully approved, the trials will investigate whether convalescent plasma transfusions could improve a Covid-19 patient's speed of recovery and chances of survival.
"All clinical trials have to follow a rigorous approval process to protect patients and to ensure robust results are generated. We are working closely with the government and all relevant bodies to move through the approvals process as quickly as possible."
What do I need to know about the coronavirus?
Are other groups doing this?
Several groups in the UK have been looking into using blood plasma.
University Hospital of Wales (UHW) in Cardiff announced this week that it wanted to trial the technology.
Professor Sir Robert Lechler, president of the Academy of Medical Sciences and executive director of King's Health Partners, which includes King's College London and three major London hospitals, is also hoping to set up another small-scale trial.
He wants to use plasma for seriously ill patients that have no other treatment options, while a larger national trial is getting under way.
He said: "I would be disappointed if we weren't able to see some patients given this form of therapy within a couple of weeks. Let's hope that the NHSBT national trial gets into gear really quickly."
He said the UK had moved slowly to test the treatment.
"I think there are many aspects of this pandemic we'll look back on and say, I wonder why we didn't move a little bit faster. I think this could be one of those".
What is the situation in the rest of the world?
Around the world, trials are now under way to look at using plasma.
In just three weeks, scientists in the US have organised a nationwide project and about 600 patients have been treated so far.
Image captionA cough is one of the symptoms of Covid-19
Prof Michael Joyner, from the Mayo Clinic, is leading the work.
He said: "The thing we've learned in the first week of administration is that no major safety signals have emerged and administration of the product does not appear to be causing a whole lot of unanticipated side effects.
"There are anecdotal reports of oxygenation improving and other patient improvements. Those are certainly heartening, but they need to be rigorously evaluated."
He said the therapy was "rough and ready".
"There's a lot we don't understand about the plasma. We're going to learn more about what's in the plasma, the components, the antibody levels, and other factors that may be there as the weeks go on.
"But sometimes, as a physician, you just have to try to take a shot on goal when you have a shot."
How has this approach helped in previous pandemics?
Harnessing the blood of recovered patients is not a new idea in medicine. It was used more than 100 years ago during the Spanish Flu epidemic, and more recently for Ebola and Sars.
So far, only small studies have looked at its efficacy, and there is a great deal of research that needs to be done to see how effective it will be against coronavirus.
But in the US, they say they have no shortage of people who want to help.
Bruce Sachais, chief medical officer at the New York Blood Center, said: "People have been amazing. They keep coming out in droves.
"We have hundreds and hundreds of donors and we've been able to collect over 1,000 units already. It's really heart-warming to see that for people who have gone through the infection, in various degrees, their main concern is 'how can I now help others?'"
Scientists say plasma won't be a magic bullet.
But while our options for treating coronavirus are so limited, the hope is it could help until a vaccine is found.
 
Kuna bill za umeme maji na wale wa taka kiasi Cha mwezi twende nusu malipo aise Kama masihara ila lock douwn stuation muhimu japo maisha yetu ndio ya kuunga unga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom