Naunga mkono hoja
P
Corona is REAL.

Watu wanazikwa usiku usiku na manispaa kama mizoga ya mbwa.

Laleni tu fofofo huku mkitegemea taarifa kutoka kwenye miserikali hii ya kikomunisti.

Hamjui kinachoendelea.
 
Lakini suala la Afya sio la Muungano mkuu
 
Sikujua kama una ujinga kiasi hiki. "Watu watengenezewe utaratibu na maisha yaendelee" TUNAOMBA HUO UTARATIBU BASI TUUFATE NA MAISHA YAENDE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RAIS ANA MASHAKA NA BARAKOA, ANA MASHAKA NA UPULIZIAJI WA DAWA, YANA KWA UJUMLA ANA MASHAKA NA MBINU ZA SERIKALI ZA KUPAMBANA NA CORONA
Mashaka,mashaka ya ....
Kiongozi Mkuu,mkuu wa Utumishi...Amiri Jeshi Mkuu!!
 
Ummi Mwalimu ni wazir wa Afya wa Tanganyika ZANZIBAR ni Nchi huru iliyojitawala na kuwa na kiti UN
Suala la Afya SI suala la Muungano Tanganyika wana uchu wa kuitawala ZANZIBAR kimabavu kambo ambalo hamyafanikiwa
Watanganyika ni wavamuzi tuu kama Muengereza alivyotuvamia
ZANZIBAR ina Rais
ZANZIBAR ina katiba
ZANZIBAR ina Mahaka
ZANZIBAR ina Wimbo wa Taifa

Muungano huu ni Muungano wa KIHUNI
Watanganyika siku zote wanatutukana na kuikejeli ZANZIBAR na sisi tunapo jitetea au kuunyoshea kidole udhalimu wao basi tunaozea Magerezani
WATANGANYUKA NI WAKOLONI WEUSI ambao ni wabaya mara 1000000000000
Kiliko wakolon wa kireno kuliko wakoloni wa kijerumani kuliko wakoloni wa kiengereza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ya mashine ya kupulizia ni ujinga, sababu ukipata corona inakaa ndani ya mwili wako yaani kwenye mapafu ukipumua ndio mwingine ana pata, sasa unapulizia ili iwe nini?. ni ujinga mkubwa sana.
 
Watanganyika wanaisigina Katiba ya ZANZIBAR wanawavunjia haki zao. Wazanzibar wanaingilia mambo ya ndani ya ZANZIBAR ambayo hawayahusu kama Sekta ya Afya ambao ZANZIBAR ina wazir wake ambae analimpwa na serikali ya Mapinduzi
Miyanganyika ina uchu haitosheki TRA siku zote inakuja kukusanya kodi ya Wizi na kwenda kuinufaisha Tanganyika
Walituzuia ETI tisiagize sukar toka Nche ili tulinde viwanda vyao wao sukar wananunua 4000 sisi tukununua 2000 ROHO ZANA WAKEREKETA
Hawataki kuwaona wazanzibar wanapiga hatua NI WEZI WEFEDHULI WAKOLONI WEUSI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona Sasa GT wameingia!
 
Wizara ya afya chukueni hatua mapema. Wagonjwa wenye dalili zifuatazo wanapata shida. Soon mteuzi wenu anaweza badili kalamu.

1. Wanao kohoa.
2. Wenye mafua.
3. Wenye shida ya kupumua.

Wasaidieni watu wapate tiba kamili sio kuwazungusha Mara.. Amana; Temeke; Sinza; Mlonganzila.. n.k. ikifikia hapo mgonjwa hupata stress na mwisho wa siku anakufa hata kama so kwa Korona.
 
Jana kaongea vituko vitupu! Mtu anawezaje kumeza mvuke wa 100 Celsius? Aanze yeye tumuone!
 
Rais wetu Magufuli ni slow learner, uelewa wake uko taratibu mno na washauri wake ni waoga kupitiliza yaani hawawezi fungua midomo yao kumshauri rais kitu kuhusu corona, wao kila kitu anachosema rais wanashangilia na kupiga makofi ya pongezi

Mtakumbuka, hapo awali rais alibisha kwamba huu ugonjwa ni "kakoloona kagonjwa kadogo tu" hawezi kuzuia watu watoke nje

Watu wameendelea kupukutika, wanazikwa na serikali kimya kimya ndio rais ubongo wake umeshituka kidogo kwa kuanza kutoa njia za kutibu covid19 eti ni kujivukisha na mvuke... Hii imemuingia na kumstua kwamba corona ipo

Next time mpaka aje afikirie kwamba corona ni hatari na suluhisho ni lockdown watanzania tutakuwa tumekwisha! Corona inatutafuna kwa kasi
 
Wanaopona ni wale wenye afya imara, kama kinga ya mwili haijatetereka corona akiingia atakutingisha kidogo ila mwisho utaibuka kidedea.... wala afya za kuedit hakuna namna ni kujificha tu kwa kweli.

Ndio maana wakasema tujifukize, nami pia nimefanya hivyo.
 
Wizara ya Afya imepigwa biti kukusanya Watu karantini Hostel za Magufuli badala ya kuachwa wachape kazi

Mie namuunga Mkono Rais nachapia kazi kijijini kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu, sio kuchapa kazi bali hao wangeweza kukaa makwao isolation na kujihudumia hata hiyo kufukiza, wakizidiwa ndio hospitali ziwachukue. Wamekosea kuwarundika kwasababu tu wapo +ve tu na kuwafungia ni kuwatesa. Sasa hivi vitanda vimejaa na hosp moja jiji nipo wagonjwa jana wametoroka tunawaona.
 

Jipya ni kwamba watu wengi wakati ya miaka 30-40 covid inawaua kwa stroke na wengi ni wazima wa afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…