Waziri ea Afya Bara,Da Ummy anajumuisha takwimu za Zanzibar anapotoa Taarifa za Korona .Wakati upande wa pili nako Kuna Waziri anafanya kazi hiyohiyo!?
Nawasilisha.
WHO wanaitambua Tanzania,sio Zanzibar
Kwa hiyo Ummy mwalimu lazima uchukue takwimu za bara na zanzibar ajumlishe ziende WHO,kama takwimu za Tanzania
 
WHO wanaitambua Tanzania,sio Zanzibar
Kwa hiyo Ummy mwalimu lazima uchukue takwimu za bara na zanzibar ajumlishe ziende WHO,kama takwimu za Tanzania
Tatizo lipo palepale mkanganyiko wa Muungano ndio unaoleta kizungumkuti ndio maana tume zote zilizoundwa kushughulikia kero za Muungano zilikuja na wazo la serikali tatu
Athari yake ndio hii kiuhalisia Ummy ni wazir wa Afya wa Tanganyika
Hamad Rashid wazir wa Afya wa ZANZIBAR
Na hakuna wazir wa Afya wa Muungano
Udhaifu huo ndio unawafanya watanganyika kujutwisha Hilo joho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimataifa inatambulika TANZANIA kwa hiyo tukitoa takwimu za Tanzania bara pekee zitaonekana kama ndio za Tanzania
 

Utakuwa umeisha,
Sasa utachukuaje hatua wakati hautakuwapo? Marehemu wanachukua hatua siku hizi? self isolation ni muhimu kwako kabla ya kwisha ndo uchukue hatua,
 
Inasikitisha sana unaumwa halafu unazungushwazungushwa bila sababu yoyote ilr
 

Pamoja na majibu ya wadau hapo juu naomba kuongezea kidogo.
Ni kweli Afya sio jambo la muungano lakini TAKWIMU ni jambo la Muungano.
Anachotanganza Ummy Mwalimu ni ''takwimu za CoViD 19'' za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (hivyo ni lazima zijumuishe maeneo yote ya jamhuri hiyo ikiwemo Zanzibar).
Anachotangaza Mh Hamad Rashid kimsingi anawatangazia Wazanzibari wenzake na pia analeta malighafi ya kuchanganya na idadi ya huku bara ili kupatikana takwimu z ugonjwa wa Corona za JMT anazozitangaza Ummy Mwalimu.
 
wazanzibar wengi wanaouchukia muungano ni masalia ya waarabu coz muungano wa tanganyika na zanzibar ulikua na lengo la kudumisha udugu wetu wa kiasilia, coz 80% ya wazanzibar ni wabara walochukuliwa nyakati za utumwa.
 
Umeeleweka boss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watazungushwa alafu mwisho wa siku wataambiwa waende kwao wakajifukize.
 
Yeye mwenyewe hajawahi kuzivaa
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Kufuatia mwendelezo wa hatua za serikali kuhusiana na ugonjwa wa Corona nchini ikiwamo hotuba ya jana ya mheshimiwa rais, ni wazi sasa mheshimiwa anahitaji mawazo mbadala.

Mawazo mbadala hatayapata tokea kwa hao waliomzunguka wala hao wakuu wanaomzunguka ambao kwa sababu zilizo wazi wana matumbo yao yanayohofia tumbuzi.

Ilikuwa muhimu sana, kwa maslahi ya taifa hili mheshimiwa rais akakutana sasa na watu wengine wanaowasilisha mawazo tofauti, angalau kwa mazungumzo tu:

1. Baba Askofu Niwemugizi
2. Askofu Dr. Bagonza
3. Mheshimiwa Zitto Kabwe

Na wengine wa namna hiyo waliojipambanua kuwa hawana maslahi binafsi.

Mkuu watu hawa watakusaidia kuliokoa taifa hili. Kumbuka umoja ni nguvu.

Kwa nini Uganda waweze?

 
Wazo zuri sana. Lakini sijui kama litafanyiwa kazi kaka. Tuombe uzima

Tunaweza kuhitaji lifanyiwe kazi. Tuweke maslahi ya taifa mbele.

Watatu hawa wamejipambanua kuwa wanatosha sana kuwasilisha mawazo yaliyo mbadala kwa mheshimiwa rais na taifa hili likaipita salama changamoto hii.

Kwa pamoja tunaweza kujenga hili taifa.
 
Kuwa na wasiwasi na Barakoda toka nje inatubidi tujiulize maswali mengi. Uzuri tu ni kuwa hizo allegations hazijalenga nchi specifically. Ila kilichotokea Jana ni Sawa na story za kiafrika za fulani anataka kuniloga au jirani ni mchawi. Kwa kawaida Wafrika wengi wakizeeka huwa hawaaminiki wengine. Mawazo yao ni kurogwa tu.

Sasa Hii Tanzania iliyopo Kea msaada toka Enzi za Nyerere, kuanzia bulga, Yanga maarufu kama dona, condoms nk Leo tuje kweli ku question Barakoda...!!? Something somewhere is not right.
 
Wavamizi ni hao waliotoka Oman mwaka 1840

Kiasili (kijografia) Zanzibar ni eneo la Tanganyika....mapande hayo ardhi (Unguja na Pemba) yalimeguka kutoka bara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…