Truewazanzibar wengi wanaouchukia muungano ni masalia ya waarabu coz muungano wa tanganyika na zanzibar ulikua na lengo la kudumisha udugu wetu wa kiasilia, coz 80% ya wazanzibar ni wabara walochukuliwa nyakati za utumwa.
Mkuu, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mheshimiwa Kassim Majaliwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mheshimiwa John Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kuna tofauti kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Tanzania Bara.
Jibu la swali lako la mwisho utajibiwa ukiweza kuona jina la Zanzibar kwenye list ya dunia Coronavirus Update (Live): 2,638,852 Cases and 184,248 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - WorldometerWakati huu wa Vita hii ngumu na Kirusi Covid ,Mambo yanakwenda Kasi kijamii,kisiasa,kiuchumi na kiusalama.Hakika hakuna anayejua ya kesho kws mtu mmoja mmoja Wala Taifa.
Jana niliuliza swali la kizushi,kuwa Kama sanitizer zinausanitize mwili ukiwa hai..zinashindwaje kusanitize maiti,then ifungiwe kwenye jeneza watu wamuage marehemu Kama kawaida huku eakizingatia kukaa mbalimbali!?
Magreater Thinker walichsngia wengine wakanikejeli...ila kwa kuwa sisi Darasa la Saba ...greti sinkers' tumevhinganya huku na Greater Thinkers wenyewe mtuvumilie tu!
Wakati mjadala mkali ukiendelea kuhusu Wataalamu wa Afya na Wakemia kuhusu Kirusi huyu mbaya leo Kuna swali limekuja kichwani...Hivi inakuwaje Waziri ea Afya Bara,Da Ummy anajumuisha takwimu za Zanzibar anapotoa Taarifa za Korona .Wakati upande wa pili nako Kuna Waziri anafanya kazi hiyohiyo!?
Nawasilisha.
Na nyie si mmeng'ang'ania CCMUmmi Mwalimu ni wazir wa Afya wa Tanganyika ZANZIBAR ni Nchi huru iliyojitawala na kuwa na kiti UN
Suala la Afya SI suala la Muungano Tanganyika wana uchu wa kuitawala ZANZIBAR kimabavu kambo ambalo hamyafanikiwa
Watanganyika ni wavamuzi tuu kama Muengereza alivyotuvamia
ZANZIBAR ina Rais
ZANZIBAR ina katiba
ZANZIBAR ina Mahaka
ZANZIBAR ina Wimbo wa Taifa
Muungano huu ni Muungano wa KIHUNI
Watanganyika siku zote wanatutukana na kuikejeli ZANZIBAR na sisi tunapo jitetea au kuunyoshea kidole udhalimu wao basi tunaozea Magerezani
WATANGANYUKA NI WAKOLONI WEUSI ambao ni wabaya mara 1000000000000
Kiliko wakolon wa kireno kuliko wakoloni wa kijerumani kuliko wakoloni wa kiengereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo undugu unakusaidia kitu gani?wazanzibar wengi wanaouchukia muungano ni masalia ya waarabu coz muungano wa tanganyika na zanzibar ulikua na lengo la kudumisha udugu wetu wa kiasilia, coz 80% ya wazanzibar ni wabara walochukuliwa nyakati za utumwa.
Mama yako kazikwa pia?Corona is REAL.
Watu wanazikwa usiku usiku na manispaa kama mizoga ya mbwa.
Laleni tu fofofo huku mkitegemea taarifa kutoka kwenye miserikali hii ya kikomunisti.
Hamjui kinachoendelea.
Kuna wazungu wengi tu wanapinga lockdownHao waliokufundisha Natural Selection ya Charles Darwin ndio haohao wanakuambia uchukue tahadhari. Wewe na wao nani anajua zaidi?
We nawe kilaza unachangia nn kwenye hoja za wenzio non senseSikujua kama una ujinga kiasi hiki. "Watu watengenezewe utaratibu na maisha yaendelee" TUNAOMBA HUO UTARATIBU BASI TUUFATE NA MAISHA YAENDE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Drancunculus medinensis Loaloa retired schizophrenic mentally ill casedIllusion plus Hallucination.
Seek for a psychologist.
Bila hela how could you even pay the health care workers be brainwashed and be awakens.Upo
Upo sahihi, tamaa mbaya, hata hivyo utakuja kipindi watu hawataenda kufanya shopping,
Rais ametoa mawazo yake.Jukumu la kujilinda ni lako.Hujapangiwa jinsi ya kijilinda nyumbani kwako.Wewe sikiliza na chuja.Kinachofaa kichukue kisichofaa kiache ila usivunje sharia na tararibu za afya na za nchi kwa ujumla.Rais wetu Magufuli ni slow learner, uelewa wake uko taratibu mno na washauri wake ni waoga kupitiliza yaani hawawezi fungua midomo yao kumshauri rais kitu kuhusu corona, wao kila kitu anachosema rais wanashangilia na kupiga makofi ya pongezi
Mtakumbuka, hapo awali rais alibisha kwamba huu ugonjwa ni "kakoloona kagonjwa kadogo tu" hawezi kuzuia watu watoke nje
Watu wameendelea kupukutika, wanazikwa na serikali kimya kimya ndio rais ubongo wake umeshituka kidogo kwa kuanza kutoa njia za kutibu covid19 eti ni kujivukisha na mvuke... Hii imemuingia na kumstua kwamba corona ipo
Next time mpaka aje afikirie kwamba corona ni hatari na suluhisho ni lockdown watanzania tutakuwa tumekwisha! Corona inatutafuna kwa kasi
Anajua ushawishi wa yule jamaa ni hatari ! Imebidi amuoneshe kuwa yeye anamiliki VOMBO. Hapa IGP pale chief of mibinduki...King maker kajipenyeza mpaka bungeni. hilo limeuma
mm siku zote husema bangi Tanzania bora iruhusiwe maana wavutaji ni wengi hivi wewe kwa bangi zako mbona hutetei Kenya wakati ni ndugu zetu hasa Kenya kuna wamasai na Tanzania kunawamasai msumbiji kuna wamakonde na Tanzania kuna wamakonde, Uganda kuna wahaya na Tanzania kuna wahaya sijuwi Malawi pia Tanzania wapo sasa huo ubwege wako umeona ni Zanzibar tuwazanzibar wengi wanaouchukia muungano ni masalia ya waarabu coz muungano wa tanganyika na zanzibar ulikua na lengo la kudumisha udugu wetu wa kiasilia, coz 80% ya wazanzibar ni wabara walochukuliwa nyakati za utumwa.
kibinafsi hainisaidii bt ndo uhalisia wa muungano mkuu, wanapandikizwa chuki bila kuambiwa asili ya muungano na laiti wangefunzwa nadhani kungekua na upendo zaidi kuliko migongano iliyopo