Hivi mama samia suluhu yuko wapi? Tunajua boss wake yuko kuleee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu la swali lako la mwisho utajibiwa ukiweza kuona jina la Zanzibar kwenye list ya dunia Coronavirus Update (Live): 2,638,852 Cases and 184,248 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer

Kuhusu SANITIZER, tunatumia kufutia mikono ili kuua virusi vilivyopo kwenye mkono na siyo vilivyopo ndani ya mwili
 
Na nyie si mmeng'ang'ania CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ummy Mwalimu anatoa takwimu za nchi nzima (Zanzibar inclusive).....pia United Nation organasition (WHO) wanataka takwimu za nchi, na mwenye mamlaka ya kutangaza na kuwatumia takwimu za nchi ni Mh. Ummy Mwalimu ova!
 
Umoja wa Mataifa hakuna inchi inayoitwa Zanzibar, hivyo Zanzibar ni sawa na Rukwa,Njombe ama mtwara.

Huyo Rais wenu mamlaka yake mwisho Kibanda Maiti, akivuka Bara anatambulika kama Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Taifa Philip Mangula tu...

Ndio maana hata kwenye Baraza la Mawaziri la Jamhuri hata asipohudhuria mwaka mzima hakuna shida, ila kwenye kikao Cha CCM Taifa asipohudhuria kimoja tu lazima awe na maelezo ya kutosheleza.
 
Corona is REAL.

Watu wanazikwa usiku usiku na manispaa kama mizoga ya mbwa.

Laleni tu fofofo huku mkitegemea taarifa kutoka kwenye miserikali hii ya kikomunisti.

Hamjui kinachoendelea.
Mama yako kazikwa pia?
 
Naam wanajamvi, mmesikia? Kuwa zile machine ni upumbavu mtupu? Naam, siyo kuwa hazifai ila kuna mahali zimeingilia masilahi ya kisiasa.

Tunaenda kwenye uchaguzi halafu mtu awe maarufu kuliko Mimi? Haiwezekani! It is all about popularity. Nyakati hizi yafaa kuwa makini sana. Ukileta kitu chenye manufaa sana kwa jamii ni bora useme kwa hisani ya JIWE! Wewe umetumwa tu.

Hata Ummy ajipange upya! Anaonekana kwenye TV kila uchao halafu hamsifii aliye pumzika Chato. Popularity ya kumzidi.....haiwezekani.

Yangu macho! Sina nilicho jifunza Jana ila tumebugi meeeni !! 2020 for ...
 
Rais ametoa mawazo yake.Jukumu la kujilinda ni lako.Hujapangiwa jinsi ya kijilinda nyumbani kwako.Wewe sikiliza na chuja.Kinachofaa kichukue kisichofaa kiache ila usivunje sharia na tararibu za afya na za nchi kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wazanzibar wengi wanaouchukia muungano ni masalia ya waarabu coz muungano wa tanganyika na zanzibar ulikua na lengo la kudumisha udugu wetu wa kiasilia, coz 80% ya wazanzibar ni wabara walochukuliwa nyakati za utumwa.
mm siku zote husema bangi Tanzania bora iruhusiwe maana wavutaji ni wengi hivi wewe kwa bangi zako mbona hutetei Kenya wakati ni ndugu zetu hasa Kenya kuna wamasai na Tanzania kunawamasai msumbiji kuna wamakonde na Tanzania kuna wamakonde, Uganda kuna wahaya na Tanzania kuna wahaya sijuwi Malawi pia Tanzania wapo sasa huo ubwege wako umeona ni Zanzibar tu
 
Wakuu jana tumemsikia mheshimiwa Rais wakati akizungumza na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kule nyumbani kwake Chato kuwa, wizara ya afya itoe takwimu sahihi za idadi ya watu wanaopona ili kuwatolea watu taharuki. Kwa mjibu wa Mh Rais idadi ya waliopona ni zaidi ya watu 100 ilihali wizara ya afya bado inautangazia umma ya kuwa waliopona ni 11 tu.

Wakuu ikumbukwe kuwa mlipuko huu ulizikumba kwa wakati mmoja nchi za ukanda wa Africa mashariki lakini mpaka Jana idadi ya waliopona Kenya walikuwa watu 85, Uganda 51 na Rwanda zaidi ya 100 huku Tanzania waliopona wakiwa ni wachache zaidi miongoni mwa majirani zetu.

Sasa basi wizara itoe data sahihi kama alivyopendekeza Mh Rais, lakini pia wizara ihakikishe inazuia aina yoyote ya tarifa inayoweza kuzua Taharuki , miongoni mwa taarifa hizo kama ile ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam akisema Kuwa watu wanapukutika hii si Sawa.. .

Wakuu tuchapeni kazi huku tukifaata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wetu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…