Ummi Mwalimu ni wazir wa Afya wa Tanganyika ZANZIBAR ni Nchi huru iliyojitawala na kuwa na kiti UN
Suala la Afya SI suala la Muungano Tanganyika wana uchu wa kuitawala ZANZIBAR kimabavu kambo ambalo hamyafanikiwa
Watanganyika ni wavamuzi tuu kama Muengereza alivyotuvamia
ZANZIBAR ina Rais
ZANZIBAR ina katiba
ZANZIBAR ina Mahaka
ZANZIBAR ina Wimbo wa Taifa
Muungano huu ni Muungano wa KIHUNI
Watanganyika siku zote wanatutukana na kuikejeli ZANZIBAR na sisi tunapo jitetea au kuunyoshea kidole udhalimu wao basi tunaozea Magerezani
WATANGANYUKA NI WAKOLONI WEUSI ambao ni wabaya mara 1000000000000
Kiliko wakolon wa kireno kuliko wakoloni wa kijerumani kuliko wakoloni wa kiengereza
Sent using
Jamii Forums mobile app