Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ndugu zangu,
Kumekuwa na kejeli nyingi sana kwa uamuzi wa serikali kuwaacha wananchi watoke kufanya biashara na shughuli za kujiingizia kipato huku wakichukua tahadhari.
Chadema wamesisitiza njia sahihi ni serikali kufanya kama Marekani na Ulaya au kuiga "lockdown" za kisanii Kenya,Uganda na Rwanda.
Kuna haja Mbowe na wenzie wasatangazie wananchi kuwa wakae nyumbani waache shughuli za kiuchumi ili kupata mlo ili wajikinge na Covid-19.Mara kadhaa ukisikiliza maoni ya wafuasi wa Chadema utagundua kuwa wanahamu covid-19 iuwe Watanzania ili wao wapate Kiki ya kisiasa
Wakati umefika Chadema wawe wazi kuwaeleza wananchi sera yao ya kukaa nyumbani bila kufanya kazi ili kujilinda na Covid-19.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM Kugawa bure mask kwa wanachama wake - JamiiForums
Jr[emoji769]