#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Ndugu zangu,

Kumekuwa na kejeli nyingi sana kwa uamuzi wa serikali kuwaacha wananchi watoke kufanya biashara na shughuli za kujiingizia kipato huku wakichukua tahadhari.

Chadema wamesisitiza njia sahihi ni serikali kufanya kama Marekani na Ulaya au kuiga "lockdown" za kisanii Kenya,Uganda na Rwanda.

Kuna haja Mbowe na wenzie wasatangazie wananchi kuwa wakae nyumbani waache shughuli za kiuchumi ili kupata mlo ili wajikinge na Covid-19.Mara kadhaa ukisikiliza maoni ya wafuasi wa Chadema utagundua kuwa wanahamu covid-19 iuwe Watanzania ili wao wapate Kiki ya kisiasa

Wakati umefika Chadema wawe wazi kuwaeleza wananchi sera yao ya kukaa nyumbani bila kufanya kazi ili kujilinda na Covid-19.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema wamepuuzwa kila kona DJ hana ushawishi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM Kugawa bure mask kwa wanachama wake - JamiiForums

Jr[emoji769]
 
Ndugu zangu,

Kumekuwa na kejeli nyingi sana kwa uamuzi wa serikali kuwaacha wananchi watoke kufanya biashara na shughuli za kujiingizia kipato huku wakichukua tahadhari.

Chadema wamesisitiza njia sahihi ni serikali kufanya kama Marekani na Ulaya au kuiga "lockdown" za kisanii Kenya,Uganda na Rwanda.

Kuna haja Mbowe na wenzie wasatangazie wananchi kuwa wakae nyumbani waache shughuli za kiuchumi ili kupata mlo ili wajikinge na Covid-19.Mara kadhaa ukisikiliza maoni ya wafuasi wa Chadema utagundua kuwa wanahamu covid-19 iuwe Watanzania ili wao wapate Kiki ya kisiasa

Wakati umefika Chadema wawe wazi kuwaeleza wananchi sera yao ya kukaa nyumbani bila kufanya kazi ili kujilinda na Covid-19.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Chadema bado ipo? Mbona mlisikika mkisema kuwa Chadema imekufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Piga kazi huku anayekuambia hivyo yuko huki kajificha na familia yake!Za kuambiwa changanya na zako!Sasa hivi kila mtu anapambana na Corona kimpango wake,mimi familia nimeikimbiza huko kijijini kwa bibi yao!Nimebaki napambana mwenyewe,jiongeze!Kupiga porojo kuinanga CDM haitskusaidia!
 
Ndugu zangu,

Kumekuwa na kejeli nyingi sana kwa uamuzi wa serikali kuwaacha wananchi watoke kufanya biashara na shughuli za kujiingizia kipato huku wakichukua tahadhari.

Chadema wamesisitiza njia sahihi ni serikali kufanya kama Marekani na Ulaya au kuiga "lockdown" za kisanii Kenya,Uganda na Rwanda.

Kuna haja Mbowe na wenzie wasatangazie wananchi kuwa wakae nyumbani waache shughuli za kiuchumi ili kupata mlo ili wajikinge na Covid-19.Mara kadhaa ukisikiliza maoni ya wafuasi wa Chadema utagundua kuwa wanahamu covid-19 iuwe Watanzania ili wao wapate Kiki ya kisiasa

Wakati umefika Chadema wawe wazi kuwaeleza wananchi sera yao ya kukaa nyumbani bila kufanya kazi ili kujilinda na Covid-19.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
This monkey's!!!her days are numbered

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
sioni sababu ya watanzania kugombana kuhusu kukaa nyumbani au kuendelea na kazi.
magufuli ameshasema HAKUNA LOCKDOWN..
Sasa uamuzi ni wako KUKAA NDANI AU KUTOKA.

lakini ukianza kuilaumu serikali utakuwa unajiumiza kichwa bure.
Wao ndo wameshasema hivyo.
Utake usitake ndo ishakuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muogope sana mtu anayeombea upatwe na majanga ili tu aseme 'si nilisema'
 
Piga kazi huku anayekuambia hivyo yuko huki kajificha na familia yake!Za kuambiwa changanya na zako!Sasa hivi kila mtu anapambana na Corona kimpango wake,mimi familia nimeikimbiza huko kijijini kwa bibi yao!Nimebaki napambana mwenyewe,jiongeze!Kupiga porojo kuinanga CDM haitskusaidia!
Ilitakiwa na wewe ukimbilie huko kijijini badala ya kutupigia kelele humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ni maoni yake!

hasa akiwaga chakali hupenda kukaa sehemu za Aina hizo na kuanza kutoa kinachotoka mdomoni mwake
 
Yupo sahihi lakini amechelewa kusema maana jamii imeshachukua ushauri wa Rais wetu mpendwa.

corona inaua, nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni
 
Lema naye anaotoaga ushauri usio na maana kila mara

Ndio maana serkali inampuuza tu,

Bora kina mbatia wakiongea wanaeleweka
 
Wazee wasioweza kujihudumia huwa wanalelewa katika nyumba za wazee. Huko huwa na vifaa maalum kwa mahitaji yao.

Tangu corona imeingia vifo vingi vya wazee vimetokea. Licha ya wateja bali hata wateja watarajiwa wengi wamekufa.

Biashara ya kulea wazee itaathirika sana baada ya janga kupita. Pia wafanyakazi wengi itabidi wapunguzwe .
 
Wazee wasioweza kujihudumia huwa wanalelewa katika nyumba za wazee. Huko huwa na vifaa maalum kwa mahitaji yao.

Tangu corona imeingia vifo vingi vya wazee vimetokea. Licha ya wateja bali hata wateja watarajiwa wengi wamekufa.

Biashara ya kulea wazee itaathirika sana baada ya janga kupita. Pia wafanyakazi wengi itabidi wapunguzwe .

C
 

Attachments

  • 7e8c66a88440443aad59238b7bbe3ac2.mp4
    1.6 MB
Back
Top Bottom