Maambukizi yapo tu. The difference ni kwamba hawatangazi tena.
Tulikuwa na utaratibu wa kutangaza status kila baada ya siku mbili.
Lakin sasa toka rais apige bit. Hata dada umu atangazi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mbona anauguliwa na Mama yake? hivi unaujua uchungu wa Mama, au Mwana?na magufuli asingelijificha Chato! Ni kifo kimemkimbiza Dar!
Hawa wanaolalamika kuwa huduma Tanzania hazipo sijui wanataka USA au Rwanda, au Uganda au China watupondeUmmy mbona anatangaza na leo wametangaza msaada wa bilioni za hela...
Ila wagonywa hakuwataja ....sasa kwa nilivoambiwa na wanajamvi wagonjwa wameisha...
Si unaona ile video kina pierre wanakula keki pale amana
Ametangaza kupokea msaada.Ummy mbona anatangaza na leo wametangaza msaada wa bilioni za hela...
Ila wagonywa hakuwataja ....sasa kwa nilivoambiwa na wanajamvi wagonjwa wameisha...
Si unaona ile video kina pierre wanakula keki pale amana
Ahsante kwa taarifa mkuuAmetangaza kupokea msaada.
Si kuongezeka kwa wagonjwa.. au kuongezeka waliopona.
Yaan ww unaona video ya pierre unadhani wengine wako hivyo. Be serious man.. huu si wkt wa utani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini hii ni kwasababu serikali haiweki wazi balaa la corona nchini, siku ya nne sasa hawaja tangaza update zozote juu ya ugonjwa huu.Yaani, wacha tu. Wakiambukizana wanailaumu Serikali!
Ni umpumbavu na ulofa, kama siyo ujinga, mtu mzima kwenda baa kulewa ukijua huwezi kunywa pombe umevaa barakoa.
Na hawatangaziNaamini hii ni kwasababu serikali haiweki wazi balaa la corona nchini, siku ya nne sasa hawaja tangaza update zozote juu ya ugonjwa huu.
Watu hawachukulii serious.
Unataka picha za wasivyo vaa barakoa?[emoji16][emoji16]Uzi bila picha ni .....!?
Picha haziwasaidii sana Waarusha, bali mabadilikoUzi bila picha ni .....!?
Ni sawa na kuwaambia raia kupigana vita gizani, bila tochi wala kibatali.Na hawatangazi
Huko naona waziri HK anaongea utumbo tu
Eti tuuzoee ugonjwa....poor mind
Hiki ndicho nilichokisema,Niko nasoma kitabu cha Mfalme JUHA. Yaani nikilinganisha mule mule kabsa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani ashiriki kuzika usiku ili arudi hapa kutoa tahadhariMungu akusamehe na kukurehemu
Jr[emoji769]