aztec
JF-Expert Member
- Sep 7, 2018
- 390
- 248
Maambukizi yapo tu. The difference ni kwamba hawatangazi tena.
Tulikuwa na utaratibu wa kutangaza status kila baada ya siku mbili.
Lakin sasa toka rais apige bit. Hata dada umu atangazi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ummy mbona anatangaza na leo wametangaza msaada wa bilioni za hela...
Ila wagonywa hakuwataja ....sasa kwa nilivoambiwa na wanajamvi wagonjwa wameisha...
Si unaona ile video kina pierre wanakula keki pale amana