Uwepo wa corona tumejifunza yafuatayo:-
1.Imerudisha utu
2.Imerudisha watu kwa muumba wao na
Kuishi kimaadili zaidi
3. Imefanya watu kutii amri za Allah kufungwa kwa Bar. Casino na madanguro kwa kuhofia corona. Biashara za ngono na ulevi na kamari zimefungwa
4.Imefanya wanafamilia mudamwingi kuwa paoja na kuijiepusha na michepuko
5. Imefanya watu waache kula mizoga na wanyama wasioruhusiwa na sheria ya Allah kuliwa
6. Imefanya watu kutunza afya zaidi kama alivyo elekeza Allah.
7. Imefanya Waarabu huko Uarabuni waache kuvuta shishi na kula mirungi kwa kuhofia corona.
8. Imefanya watu kila mara kuomba dua na kumkumbuka Allah kinyume wakati ilivyo kua hakuna coron.na hata waliojiweka mbali na Allah sasa wanamkurubia kwa maombi
9. Imekatiza Udikteta wa viongozi na majigambo ya nguvu za kijeshi na za kiuchumi
10. Ibada imeshika nafasi zaidi kwa watu kuliko masuala mengine ya kimaisha.
11. Imefanya watu kufuata mafunzo ya mtume Muhammad( s.a.w) kuziba mdomo na pua unapotoa chafya au miayo au kukohoa.
12.Imefanya mamlaka husika kutazama na kujali zaidi wafungwa wake.
13.CORONA Imetufundisha kimatendo kua binaadam si lolote wala chochote katika mgongo wa Ardhi akipenda Allah anaweza kuwafuta wote kwa wakati mmoja kupitia jeshi lake la kiumbe CORONA VIRUS
HILI NDILO SOMO MUHIMU KATIAK KUENDELEA NA SHORT COURSE YETU HII YA MDUDU CORONA.
Sent using
Jamii Forums mobile app