#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Statements kama hizo kwa umma wenye uelewa mdogo wa haya magonjwa yaletwayo na microscopic germs which are highly infectious/ contagious ni kosa KUBWA SANA! Watanzania wengi kama 98% nikiwepo na mimi hapa tuna uelewa mdogo wa maambukizi ya magonjwa.
Angeliweza kusema kuwa ugonjwa huu ni hatari, chukua tahadhali so andso.... Lakini pamoja na hayo kama una mitishamba yako ya kujifukiza, jifukize, LAKINI UKITANGULIZA TAHADHALI ZA KITAALAMU TUNAZOPEWA.
Tatizo letu tumechukulia kujifukiza as the cure of corona and hence to most of us disregarding precautionary measures in place as per WHO (of course with some modification to suit our environment).
Take care please!
Sasa mlitakiwa tutamkiwe na Trump wa Marekani, au huamini kuwa hili gonjwa halina Dawa hebu jikinge kaa chonjo
Tafadhalini kila mtanzania ajipambanie mwenyewe, Mambo ya kumlaumu binadamu mwenzako hata Baba yako na wewe kusubiria dawa kwa janga km haya, matetemeko, vimbunga nk ni bure
Chukua watoto wako UKAJIFUSHE (sio kujifukiza kwa Udi na mavumba) na mvuke wa mu40 au
Epuka kushikana mikono, jifungieni majumbani muogena na kunawa na

maji mengi
 
Ameweka na
Sasa mlitakiwa tutamkiwe na Trump wa Marekani, au huamini kuwa hili gonjwa halina Dawa hebu jikinge kaa chonjo
Tafadhalini kila mtanzania ajipambanie mwenyewe, Mambo ya kumlaumu binadamu mwenzako hata Baba yako na wewe kusubiria dawa kwa janga km haya, matetemeko, vimbunga nk ni bure
Chukua watoto wako UKAJIFUSHE (sio kujifukiza kwa Udi na mavumba) na mvuke wa mu40 au
Epuka kushikana mikono, jifungieni majumbani muogena na kunawa na
View attachment 1432651
maji mengi
Ameweka na Limau?
 
Ameweka na
Ameweka na Limau?
nimesikia na parachichi na sufuria lina majani ya maembe badala ya mu40
sasa ngoja wapone au wajikinge na Corona km hutasikia Trump akaomba mkorogo huo wa familia

🙄🙄🙄
 
nimesikia na parachichi na sufuria lina majani ya maembe badala ya mu40
sasa ngoja wapone au wajikinge na Corona km hutasikia Trump akaomba mkorogo huo wa familia

🙄🙄🙄
Tutapata majibu
 
Nilidhani ni mimi peke yangu namuoa hivyo!
Sasa hivi nafurahia kusoma posts zake! Naishia kucheka tu, yaani namuona kama mjanjamjanja flani hivi! Mpwa wangu Bia yetu big up unanisaidia kupunguza stress. Mie nimejifungia nafanyia kazi home.
 

Attachments

  • IMG_20200427_104211_207.jpg
    IMG_20200427_104211_207.jpg
    193.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom