Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Kwa kweli tusiwalaumu wafanyakazi wa afya kabisa, hata ingekuwa wewe ungekimbia.
Something needs to be done.
Unforgetable
Something needs to be done.
Unforgetable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hii hapa ni tofauti na heading?Utulivu wa mawazo kwa Viongozi wetu wakati wa majanga ni muhimu sana.
Hili ndilo la kufanyia maombi kwanza kabla ya yote!
Tuwaombee viongozi wetu wapate mawazo mema na ya utulivu kutuepusha katika majanga.
Kwa elimu gani mliotupatia???? Pia mbali na Hivyo c Kila mtu anaambiwa kwa tamko moja... Kwan nchi nyingine waliomamua kuweka ulinz juu ya hilo ni wajinga???JILINDE UMLINDE JIRANI bila kusubiri amri au/na kusimamiwa na mamlaka.
Je, hizo nchi zimeweza kudhibiti janga hili?Kwa elimu gani mliotupatia???? Pia mbali na Hivyo c Kila mtu anaambiwa kwa tamko moja... Kwan nchi nyingine waliomamua kuweka ulinz juu ya hilo ni wajinga???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa elimu gani mliotupatia???? Pia mbali na Hivyo c Kila mtu anaambiwa kwa tamko moja... Kwan nchi nyingine waliomamua kuweka ulinz juu ya hilo ni wajinga???
Sent using Jamii Forums mobile app