#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Salaam wanajukwaa, nimekua nikitafakar maisha miez mitatu ijayo binafs Niko kwenye utalii Hali ni mbaya sana Lakin ni kila mahali, naombeni mawazo wazee tunafanyaje Familia ziendelee kupata milo mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole,
1st step adjusts, milo mitatu ibaki kwa watoto tuu,the rest ni mwendo wa kuwasindikiza Waislamu, futari ya saa 12:00 hadi kesho yake 12:00 jioni
P
 
Tanesco isipotupumguzia madhila tunaanza kupiga direct ili fedha zitumike kwenye chakula
 
Hujaelewa hata anachoongelea umekurupuka kujibu, anaongelea uchumi, we unaongelea hisia zako za kishetani.
Kariakoo nyumba nayofanyia shughuli zangu kwa juu ilikuwa hotel mmiliki kafunga hotel kabadilisha vitasa kaondoa mpaka walinzi,huo ni ushuhuda mmoja na hotel nyingine lazima wataiga hatua hii hawawezi ku-survive kwa kuuza chai na ubwabwa huku wakiendelea kulipa licence wasizozifanyia kazi.

Ingefaa serikali ipunguze kama siyo kuondoa kabisa kodi kwa baadhi ya sekta ili kuwatia moyo wananchi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Mungu kamuumba kila Mja na Rizq yake! Hamad Ally - Seneida
IMG_20200428_172243.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndio imeanza. Kuna uwezekano kuwa itakwenda zaidi ya miezi mitatu. Nimesikia leo South Africa wanasema peak itakuwa September 2020. Sasa sisi ambao tumeacha ituchakaze inavyotaka yenyewe, nadhani peak itakuwa December 2020! Tufunge mikanda.
Salaam wanajukwaa, nimekua nikitafakar maisha miez mitatu ijayo binafs Niko kwenye utalii Hali ni mbaya sana Lakin ni kila mahali, naombeni mawazo wazee tunafanyaje Familia ziendelee kupata milo mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ata wewe hujaelewa kinacho endelea..tatizo jiwe hashauriki mkuu sasa unafanyaje kama mtu unae mshauri ni mbish?
Na wewe pia hujaelewa kama Mimi! Hawatakiwi kususa kuna jambo la kufanya, kwani kwa mzee Baba kule Zimbabwe walipoona mambo yanaenda kombo walifanyaje?
 
Katika Nchi nyingi hata Huko uchina huu ugonjwa umeua sana wanaume kuliko wanawake, hata Katika nchi ya marekani wengi wanaokufa ni wanaume
Nini siri ya Corona?
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Back
Top Bottom