Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Kabla ya corona Tanzania tulikuwa hatuziki? Watu hawafii ?
Tumia common sense brother
Tumia common sense brother
kuna mtu kaenda kuzika bibi yake juzi kakutana na maiti nyingine 18 , ni punguani gani ataendelea kuamini hiyo 16 isiyoongezeka huku makaburi yanazidi kujaa ?