Mtego Aliojitegea Rais Samia, nani atauvunjilia?

Nani kakwambia mihimili haielewani? Ni job tu na Wala siyo bunge. Tofautisha hilo
 

Kama ukimsikiliza mama kwa umakini inaonyesha kuna la zaidi ya kuropoka kule kwa Job!!!Kama Vile mama alikuwa anatafuta kisababu kidogo tu kumkata ngebe Job!!!Sema Job anezingua kuomba msamaha na kulialia kule
 
Mkuu nikusifia kwa mawazo mazuri vipi umemaanisha pia kama kuna pahala Rais kajikwaa kwa speech yake amelazimishwa kukosea? Kukosewa na kukosea kujibu kukosewa vyote ni kukosea vipi hii imekaaje? Mama Au Baba kumjibu mtoto kwa vyovyote vile muhimu kudumisha heshima ya nyumba!!!
 
Timu magu mnaumia sana . Mnywe maji mpumzike kiriba cha roho kiwashuke
 
Ndugai kafanya ujinga kuomba msamaha, speaker ni mtu mzito sana

Kitendo chake cha kuomba msamaha kimempa loop hole Bi. Tozo kumdhalilisha
HAPO NDIPO ALIPO KOSEA SANA NDUGAI TENA ILITAKIWA KUTOA MSISITIZO WA KUKATAA MIKOPO MIKUBWA KWA MUDA MFUPI HIVYO INGEMFANYA AONEKANE KUWA NI KWELI ANAONGEA KWA KUANGALIA MASLAI MAPANA YA TAIFA
 
Ni kweli usemacho!!lakini!kuna serekali ndani ya serekali! Kama wewe ni msomaji mzuri wa jf utgundua kuna taasisi ambayo haionekani machoni lakini huamua nani ashike hatamu!!na imeshaamua kuwa mama mwisho 2025!!refer gazeti la uhuru mwandishi wake hakukurupuka alipoandika hatogombea 2025!!Mama akapaniki na kutangaza nia mapema!!na hilo paniki imeendelea hadi leo!!!we ona Mkapa,kijazi,maalim seif,jpm,mfugale,kwandikwa angalizo mlolongo huo unipe majibu!!!Amka usingizi I!!Magamba matatu anasema ajaye ni muislamu mwanamme mwenye misimamo kama JPM!!
 
Exactly.

Kuondolewa kwa Assad ni kielelezo cha mwisho kwamba Rais wa Tanzania ni alfa na omega.
 
Kama ukimsikiliza mama kwa umakini inaonyesha kuna la zaidi ya kuropoka kule kwa Job!!!Kama Vile mama alikuwa anatafuta kisababu kidogo tu kumkata ngebe Job!!!Sema Job anezingua kuomba msamaha na kulialia kule
Mama anasema huko walishaanza kusema ni wa mpito..
Mitano tena.
 
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.

Hekima itatamalaki? Ya nani?
Ni mpaka ueleweke mkuu kwa wahusika ili hekima itamalaki. Rais ni muhimu kwetu kama nchi, tusimame naye. Lakini, tuhakikishe aliposimama pako salama. Yatakuwa makosa makubwa kwetu kama tukishangilia kusimama naye wakati ama kwa makusudi ama kwa uzembe wetu tunajua kasimama juu ya "mzinga wa siafu".
 
TRUE VERY VERY TRUE ,NDUGAI KAFANYA KOSA KUBWA SANA ,tena ndugai kama alijijua yupo hivyo mambo aliyo wafanyia kina ngwajima na mbunge wa ukonga asingetakiwa kuyafanya alikuwa anatoa kauli zidi yao mbovu sana wakati kumbe na yeye anampinga mama ,hivyo mama kagungua ndugai siyo mzima kichwani tena aeleweki tofauti na kina gwaji boi
 
Kwa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa katiba ya CCM na sheria ya usalama wa taifa Spika akijaribu kufanya chochote dhidi ya Rais ataishia pabaya sana. Nguvu ya mihimili mingine inategemea na mapenzi ya Rais
 
Wewe ile busara ya let us agree to disagree hauitambui kwahiyo ukipishana na kiongozi mwenzako ni unamuanika hadharani.
Ambayo aliyakataa Samia yana msingi wa kikatiba km ukopaji kinyemela na kupelekwa fedha nyingi Zanzibar kinyume na katiba,agree to disagree ni kwenye mambo yasiyovunja katiba tu na siyo haya ya upendeleo
 
Sukuma Gang mtakuwa machoko mwaka huu, Ngojea Samia hawafulumushe mkapambane na Hali zenu wapuuzi nyie,

Mnapima nguvu za Rais,kenge kweli nyinyi
Hiyo siyo nguvu ya sukuma gang huo ni upumbavu wenu wenyewe nguvu ya sukuma gang ipo kwa wananchi na wazalendo waliopo serikalini huyo zuzu ndungai sisi atumtambui hata kidogo ,
 
Hizi busars ndio Huwa zinatuumiza watanzania. Mtu amekupiga hadhari kama ni saizi Yako rudisha hapohapo. Alichofanya Spika ni kumchonganisha rais na wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…