Mtendaji Mkuu wa TANROADS: Tanzania inashika nafasi ya 9 kwa miundombinu ya barabara na madaraja kati ya nchi 54 za Afrika

Kakweli SA sijawah fika lakin tz bara za mikoa mitatu ndo cjafka ni kiufupi hata DW,VoA,BBC ,CNN wangotoa huo mkeka ningeutilia mashaka kama nilvyotilia shaka walipo tangaza tz kuwa ktk uchumi wa kati.Naipend nchi yangu iwe nyeusi,nyeupe,kame au yenye mvua nyumban ni nyumban tusifosi mambo.
 
Tanzania pia inaongoza kwa wingi wa tatizo la afya ya akili.

Mkuu nenda kapimwe usije ukashindwa kuvuka barabara in the near future
 
Tanzania pia inaongoza kwa wingi wa tatizo la afya ya akili.

Mkuu nenda kapimwe usije ukashindwa kuvuka barabara in the near future
Wingi wa tatizo au Ukubwa wa tatizo? Wahi mirembe ndugu imeboreshwa sana Kwa Sasa Kwa Ajili ya nyie wenye shida za Afya ya akili.
 
Mkuu wala hatuna haja ya kujivunia hata tungeshika #1 kwenye hiyo orodha.Sis kama tukifikia malengo yetu kama taifa tutafurahi saana hata kama tutashika nafasi ya 70+ katika nchi 50+ za Kiafrika. TANROADS inapambana ndiyo lakin sio kushindana na SA.
 
Acheni ujinga wenu na punguza upumbavu.....japo Δ·idogoo tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…