ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kwa levels za nchi masikini inafanya vizuri, ila kwa namna ambavyo tunaisemea...eti kumi bora...kwa lipi mkuu? Kumi bora kwa hali hii mkuu?Acheni ujinga basi,Tanzania inafanya vizuri sio tuu Kwa Barabara Bali maeneo mengi sana.