Mtindo wa Misiba ya Siku Hizi: Watoto waliozaliwa mijini (1990's) wanavyokataa kusafirisha miili ya wazazi wao kwenda kuzikwa kijijini na kupasua ukoo

Okay
 
Hahahahahaaaaa, eti harufu ya kijijini kana kwamba kunakuwaga na harufu ya mjini
 
Lakini kwa jamii ambazo kila mwaka wanaenda vijijini kwao, wamejenga huko, wanaendeleza mashamba, biashara, ufugaji, na wana mawasiliano daily na kijijini kwao, they will always want to be buried home village.
Wachagga na wanyakyusa ndio wengi wenye tabia kama hizi mkuu
 
Na this is the main reason, Maana akipeleka msiba huko atafikia wapi? Alishakata connection long time sasa ataanzia wapi kuhusu makaburi, viongozi wa dini, support kwa washikaji etc etc...
Mkuu, wengi wakihamia mjini ndio wanasahau kabisa makwao hata ukimuongelesha kihehe anajifanya hakijui hahahahahaaaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kaburi linatisha mkuu!
Sasa kuna umuhimu gani wa kuliweka nyuma ya nyumba yako halafu uwe unaliona kila siku
 
Sasa wakuu ninaomba kujua chanzo kikuu ni nini? Je, ni wazazi wenyewe kutopenda kuwapeleka watoto kijijini wakati wa kipindi cha likizo ya mwaka ili wajuane na mazingira pamoja na ndugu zao wa huko au shida ipo wapi hapa wakuu?
Hapo Mkuu inategemea kwanza watu wana uelewa kiasi gani juu ya Kufa/ Mtu akifa ndio anakuwaje?
Kwa watu wanaoelewa/ Wasomi wazuri ambao hawafuati mila ambazo hazina mashiko; Haina haja ya Kuchoma Pesa hata kama ipo ya kutosha, ili tu kusafirisha maiti; Always maiti haina haki; Ninyi mliobaki inabidi kufanya option kwa ajili ya huo mwili wake, yeye hana option, hata kama alifanya Option akiwa hai, STill mnahitaji kuangalia mazingira baada ya kufa kabla hamjafanya maamuzi; Vitu kama Kuaga, Kuzika, sijui na makorokoro mengine ni Utamaduni tu, Ndioo maana Kuna wengine utamaduni wao wanachoma etc.

Huwa nashangaa unakita familia wasomi kabisa complain ya kwamba marehemu alisema kwamba akazikwe kijijini, hizi zote ni tamaduni kwa mtu mwenye exposure anafahamu kabisa kwamba hakuna tatizo lolote hata akizikwa wapi! Ni Imani potofu ndio zitakwambia kwamba eti msipomzika mahali aliposema kuna mambo yatatokea, ukiamini hivyo basi ndio upeo wako upo hapo etc
 
Okay...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…