Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

Mtoto kugomea shule akiwa kidato cha Nne

ukiona mtoto wakike anakataa shule gafla jua kasha pata bwana tena wamtaani wale wenye vigeto vyao ndani Kuna TV jiko la gesi namazaga ya kupika

so anaona vile anavyoshinda mulendani siku mojamoja anatamani ahamie kabisa pale
ndiohapo sasa unaona mwanao ana kataa shule gafla ili umwambie acha

naukimwambia acha baada ya wiki anakimbia kabisa nyumbani anaenda geto kupigwa ukuni vizuri

wengi mnazani watotowenu wakike wanaenda shule Kumbe maranyingi hawafiki wanishia geto kwa masela

wanapigwa ukuni huko kila uchafu wangono wanafanyishwa maamae nikiwa namtoto wakike nampeleka boding zawanawake tuu Mana ninayo yaona wanayo fanyiwa watoto wawatu hahahahaha nishida
Sawa mkuu
Jaribu kumjibu mtu comment kwa ustaarabu huyu binti ninaishi nae nimemlea toka alipofariki dada yangu akiwa na umri wa miaka 3 na nijukumu langu kuhakikisha anafata misingi mizuri ya tabia.

Unaonesha una malezi mabovu sana
Kakurupukia mada kwa mbele,msamehe bure!
 
Kuna saa nawaunga mkono wale wazazi waliokua wanagoma kusomesha watoto wa kike. Kuna mengine hayana akili,yakishaonja mwanaume tu yanaona yamemaliza kila kitu na kuanza kusumbua wazazi wao. Yakipata mimba na kutelekezwa utayaona yanavyorudi home kwa kulia na kuomba misamaha.
numbisa Mambo!
 
Mtoto akililia wembe mpe. Huu msemo haukutungwa kwa bahati mbaya

Ndugu yangu yalishawahi mtokea,alijitahidi sana kumrudisha mstarini ikashindikana akatoroka huyoooo baada ya miaka kadhaa karudi watoto wawili baba tofauti na dozi ya ngoma juu
Ni vyema ukamlea n akumuonyesha madhara ya kila kibaya na kutoacha kuelekeza mpka akue ajitambue
 
ukiona mtoto wakike anakataa shule gafla jua kasha pata bwana tena wamtaani wale wenye vigeto vyao ndani Kuna TV jiko la gesi namazaga ya kupika

so anaona vile anavyoshinda mulendani siku mojamoja anatamani ahamie kabisa pale
ndiohapo sasa unaona mwanao ana kataa shule gafla ili umwambie acha

naukimwambia acha baada ya wiki anakimbia kabisa nyumbani anaenda geto kupigwa ukuni vizuri

wengi mnazani watotowenu wakike wanaenda shule Kumbe maranyingi hawafiki wanishia geto kwa masela

wanapigwa ukuni huko kila uchafu wangono wanafanyishwa maamae nikiwa namtoto wakike nampeleka boding zawanawake tuu Mana ninayo yaona wanayo fanyiwa watoto wawatu hahahahaha nishida
Bado boding haitasaidia kama hujampa misingi mizuri ya kujiheshimu kujitambua. Huko boding kuna walimu pia wa kiume na wana muda wanaenda kuchangamana na shule za kiume kwa mtoto kusema boding ni suluhisho bado ni kwa asilimia ndogo kikubwa mzazi kaa na mwanao mfunze mpe kiboko kiasi ajue akizingua haachwi salama na mafunzo nasaha ziwe nyingi
 
Mtoto akililia wembe mpe. Huu msemo haukutungwa kwa bahati mbaya

Ndugu yangu yalishawahi mtokea,alijitahidi sana kumrudisha mstarini ikashindikana akatoroka huyoooo baada ya miaka kadhaa karudi watoto wawili baba tofauti na dozi ya ngoma juu
Mungu wangu pole zake😌
 
Huyo yupo kama wangu tena alimjibu police sio lazima kila mtu asome niacheni sitaki shule aisee nilikuwa na hasira ambayo siwezi elezea siku ile.
Lakini ni kweli sio lazima kila mtu asome

Huyo mtoto anahoja asikilizwe
 
Bado boding haitasaidia kama hujampa misingi mizuri ya kujiheshimu kujitambua. Huko boding kuna walimu pia wa kiume na wana muda wanaenda kuchangamana na shule za kiume kwa mtoto kusema boding ni suluhisho bado ni kwa asilimia ndogo kikubwa mzazi kaa na mwanao mfunze mpe kiboko kiasi ajue akizingua haachwi salama na mafunzo nasaha ziwe nyingi
boding ya kike hao wakiume ataenda kuchangamana nao wapi?
 
Mm mkuu nam limenitokea hivyo yule bint yey aligoma kbsa kwenda kufanya mitiani akatoroka kwenda kwa mwanaunme ,mwanume tukamuweka ndani ila wapi bint kata kata akagoma kwenda kumalizia tu tena kwa kufanya mitiani shule ya kimandolu secondar arusha , apewe hyo leaving certificate nilipatwa na hasira kali sna ..baadhi wa majirani walinijia juu kwamba kwani nilimpeleka dogo police wakta ni mdg wangu ndie ataki shulee niliwaona wapumbafu sna


Leo hii yule bint anawatot wawili mmoja marehemu hv sas na mm nilishiriki kwenda kumzika mtot wake
Hv majuz nimeambiwa tena kuwa kajifungua yuko na mwanaume mwingine [emoji23][emoji23]


Mkuu kisasi hiki nj hatari mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bora huyo kidato cha nne juzi nimetoka kumpiga mtoto wa dada yangu nusu niuwe yupo kidato cha kwanza hataki shule ila sijamshindwa bado 😬
Kuna jingine lilitekelezwa na mamake tukaamua kulisomesha coz liko bright balaa ..akafaulu kwa high marks akaenda baobab...limefika form likatoroka mpaka wa leo hatujui liko wap..toto la kike...lilikua na akili..tumechoka hata kulitafta..tunahis lina kibwana kinamzuzua
 
Back
Top Bottom