Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Kuna Jirani yangu ana mtoto wa miaka mitano ni wa kike.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili yake.
Shida mtoto ameanza kuniita baba na akiulizwa na mtu baba Yuko wapi ananionesha mimi.
Je, wakuu sio tatizo kuwa karibu na mtoto huyu nisije kuwa chanzo ndoa za watu kuvunjika
Nb: Baba yake mtoto anafanya kazi nje ya mji anakuja likizo na wikiend Mara mojamoja.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili yake.
Shida mtoto ameanza kuniita baba na akiulizwa na mtu baba Yuko wapi ananionesha mimi.
Je, wakuu sio tatizo kuwa karibu na mtoto huyu nisije kuwa chanzo ndoa za watu kuvunjika
Nb: Baba yake mtoto anafanya kazi nje ya mji anakuja likizo na wikiend Mara mojamoja.