Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
- Thread starter
-
- #121
Kweli mkuu Tanzania Hamna Elimu shule za serikali sio shule.Elimu ya Tanzania ni changamoto mimi namlaani sana aliyeandaa mitaala ya elimu wakati ule tunasoma, walikuwa watuandaa kuwa watumwa wa CCM.
Zile nyimbo za kuisifu tanu na mwenyekiti wake matunda yake tunayaona leo
Huyo anaongea maneno ya mkosaji ni heri mtoto awe na matokeo mazuri kuliko mtoto awe na matokeo mabovu. Haijalishi ataajiriwa au atajiajiri. Logically tu kama mtoto amefaulu vizuri hii ni kumaanisha hata muda wake anajua kuutumia vizuri na yuko focused. Ndani ya muda huo huo wa kupata elimu wakati kuna mtoto anapata A ndani ya muda huohuo kuna mtoto anapata D au C hii ni kusema huyu wa D, C hawezi kuwa na maarifa sawa na huyu wa A na ina maana huyo wa D au C hakutumia muda wake vizuri.Mtu alimpie mtoto mil 5 Kwa mwaka then aje awe omba omba ?
Sahau kabisa kuhusu hilo
True,Nachojua we jamaa Una akili Sana na umeshafanikiwa hata Kama sio kuwa tajiri.
So uwezekano wa kumfanya kijana kusoma dumu fagio na kubutua A unao .
Thank you Mr.... nipo kawaida lakini ni matokeo ya malezi na jamii na mtu mwenyewe...Much 👍 appreciation 😁 Kwako... wewe ni mtu mzuri.
Wewe mbona ni mjinga kiasi hiki?Kwahiyo atajiajiri kwenye nini kama Hamna ajira!!?
Meneja mbona una akili finyu kiasi hiki?Huyo mtoto hizo elimu za A mnaenda kuua kipaji chake. Mfundisheni vipaji tu.
Huo ndio ukweliMeneja mbona una akili finyu kiasi hiki?
Mtoto akipata matokeo mazuri hata mzazi/mlezi/ndugu unajisikia vizuri. Endelea kumuombea huyo mtoto kwa Mungu ili apate maarifa mazuri na aje atekeleze ule wito ambao Mungu amemuitia.Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Sasa A za darasa la nne zitasaidia niniz?👀😒😒😒😏😏Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Kwahiyo kama ajira hamna niambie atajiajiri kwenye nini!!?Wewe mbona ni mjinga kiasi hiki?
Atajisikia vizuri baada ya kupata KAZI au kujiajiri na kula matunda ya mtoto baada ya kumaliza elimu yake!!Mtoto akipata matokeo mazuri hata mzazi/mlezi/ndugu unajisikia vizuri. Endelea kumuombea huyo mtoto kwa Mungu ili apate maarifa mazuri na aje atekeleze ule wito ambao Mungu amemuitia.
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Ulienda hapo kuushtua umaskini sio?Niliwahi kwenda pale Agha Khan Primary School, ipo jirani na shule za Zanaki, Olympio na Diamond.
Umasikini ni mbaya tena ni laana, ee Mungu Baba tutoe huku. Wale watoto ukiwatazama wooote unawaona wamenawiri, wana afya, ngozi nyeusi ina mafuta mafuta yenye kupendeza.
Watoto wadogo wameshiba vizuri, uniform imekaa penyewe, imemtight vizuri. Vifungo vya shati vimebana, kiatu cheusi na soksi nyeupeee.
Hakuna mtoto asiyechana nywele, hakuna mtoto akiongea anarusha mate. Watoto wanacheza kistaarabu, muda wa kutoka pale nje hakuna bajaj au boda hata moja inayosubir kumchukua mtoto, nje kuna prado, harrier, benz, alphard n.k hizi IST, Raum, Rumion ambazo sisi tunatambazo nazo basi pale ndo gari za kwenda kuchukulia watoto.
Ukikaa pale kwa lisaa tu hakika utachukia hizi shule zetu za Kayumba. Walimu wapo smart, hakuna mwalimu kavaa kata K, hakuna mwalimu anayevaa suluari za malinda au zile suluari za karume za elfu tatu tatu sijui elfu nne.
Ee Mungu utusaidie.
Hatari sanahuku Kayumba mwalimu tu samaki anakula mara moja au mbili kwa mwezi, akila samaki, kuku ni kama anasi kwake.
Benjamin Fernandez pamoja na kuwa hakufanya vizuri shule aliyosoma hapa Bongo ambaye ilikuwa ni shule ya private tena ya gharama lakini alipata msingi mzuri sana na ilimpa kujiamini na leo hii yupo na NALA yake.Huwezi mchukua mtoto wa Feza Primary School uje umpambanishe na mtoto wa Mbagala Kuu Primary School.
Tusiongee saana, embu mtu mmoja aende ktk hizo shule akae ata lisaa tu kisha aje atupe ushuhuda ameona nini.
Zile shule kila muda ni safi, watoto wanapigwa na feni, vitabu na nyezo ni za kutosha. Mwalimu hana stress za mshahara, mwalimu na mwanafunzi wakiwa darasani wote tayari wamekula vizuri na kushiba, hakuna ubuyu wala kachori. Kule mayai, maziwa, samaki n.k vitu ambavyo vinaboost akili ya mtoto.
Wakati mtoto anakula hivyo, huku Kayumba mwalimu tu samaki anakula mara moja au mbili kwa mwezi, akila samaki, kuku ni kama anasi kwake.