Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Wanafunzi wa private wanaufaulu mkubwa kwenye makaratasi lakini sio technical
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu hawa wanaodhani kayumba ni the best watawapa watoto wao tabu mbeleniSitaki mchezo kabisa na Elimu ya mwanangu.Bora mimi na mama yake tutembee matako wazi.
Sie mbona tulisoma st. Kayumba na A tulizioga!? , Kwani kwenye pesa na kayumba wanatumia mtaala tofauti!?. Huyo na akili anazo tu, wapo wanasomeshwa kwa gharama lakini hakuna kitu.Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Unajua walivyofundishwa kupeana majibu sahihi?Tuliza kipago wewe!Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Wanagezerea sana hao wa private.Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Wanafunzi hawataki kusoma.kufaulu ni tabia na tabia inapaswa kujengwa na wazazi,walimu kisha mwanafunzi kuishi nayo
Mbona madogo wengi tena wanaosoma hizi shule za kawaida wamepiga sana A flat sana tu, sasa hawa ndo vichwa ,shule za kawaida alafu mabanda yote ,achana na uyo ambae yupo shule za pesa mingi ni kawaida sanaWakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Hivi NYIE mpo serious kweli? Bro unachozungumza hakina uhalisia hata kidogo.Kayumba sio shule .
congratulations to your kid 👊Mwanangu ana soma kayumba na kapata ufaulu wa grade A
KINACHO NISHANGAZA MWANANGU ANA UWEZO WA AKILI UNAO STAAJABISHAA.
NAWEKA NA MATOKEO YAKE HAPA CHINI.
View attachment 3193004
View attachment 3193008
FROM KAYUMBA.
Mimi pia nimesomesha wanangu wote shule za EM, pamoja na kwamba tunazidharau saint Kayumba but nataka kutoa mtazamo wangu kuhusu both schools, Saint Kayumba na hizo EM. Watoto wa EM wana jiamini popote, wanaongea na mtu yeyote kwa lugha yoyote, wana confidence pia, shida yao moja huwaoni wakitingisha huko vyuoni, ni kweli A level wanapataga matokeo mazuri, vyuoni huzioni hizo GPA za maana kutoka kwao, hawa wanatafuniwa almost kila kitu, wanafanyishwa past papers zote and hence mitihani ilio printiwa kwao sio jambo la ajabu, wamezoea, wanajua so mtihani wa taifa kwao sio issue kabisa; hawajui ku hustle. Vyuoni hakuna habari ya kutafuniwa, ma profesa na ma dokta hawafundishi, wanafanya lecture and then mengine unakwenda kutafuta wenyewe, hawa wa EM hawajazea hali hivo. Again, (hapa naongea na wazazi, sio vijana ) majority ya hawa watoto hasa wa kike huaga hawawezi hata kufua nguo zao, hadi za ndani yaani. Kupika, kupiga deki nyumba etc ni changamoto sana kwao, why? Shuleni kila kitu wanafanyiwa na kwasababu wanatokea familia bora, hata majumbani mwao wana ma house girls kadhaa, so hata nyumbani wana lelewa kwa style hiyo; najiuliza swali moja tu; endapo wazazi wataitwa mbele za HAKI wanaweza ku hustle na maisha na wakatoka???? I doubt. Ushauri wangu kwa wazazi, watoto wetu hawa wanao soma shule za EM, wakifika nyumbani tuwa term kama watoto wa Kitanzania, wafanye kazi zote za nyumbani, waelekezwe kwamba house girl ni dada yao and hence wasaidiane kazi zote, hi itawatengenezea bond na mabeki 3 wetu na hao mabeki 3 watawapenda na hawatalishwa vitu vichafu, mabeki 3 nao watajiona ni sehemu ya familia. Watoto wanao soma Saint Kayumba wana opposite behavior with what I described hao wa EM. Tuishi humoHuwezi mchukua mtoto wa Feza Primary School uje umpambanishe na mtoto wa Mbagala Kuu Primary School.
Tusiongee saana, embu mtu mmoja aende ktk hizo shule akae ata lisaa tu kisha aje atupe ushuhuda ameona nini.
Zile shule kila muda ni safi, watoto wanapigwa na feni, vitabu na nyezo ni za kutosha. Mwalimu hana stress za mshahara, mwalimu na mwanafunzi wakiwa darasani wote tayari wamekula vizuri na kushiba, hakuna ubuyu wala kachori. Kule mayai, maziwa, samaki n.k vitu ambavyo vinaboost akili ya mtoto.
Wakati mtoto anakula hivyo, huku Kayumba mwalimu tu samaki anakula mara moja au mbili kwa mwezi, akila samaki, kuku ni kama anasi kwake.
Watu wenye hela zao hawa wazii Udsm, wanawazia UCT, Cambridge, Harvard, NkFinally UDSM.
Mwanangu nime observe ana akili kuliko Mimi...congratulations to your kid 👊
Oh..... Basi mtengenezee mazingira mazuri ya kuzifikia ndoto zake kwa urahisi bravo!Mwanangu nime observe ana akili kuliko Mimi...
Ni products ya single mother Ila yupo nyumbani kwa wazazi wangu.
🦁
Sio lazima udsm mkuu. Sky's ur limit boss. Ukiwa na uwezo tembelea dunia nayo ikutembelee.Finally UDSM.