Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

So usitegemee mwanafunzi kutoka st kayumba kupata elimu itakayomsaidia huko mbele.
Unaweza kukuta mtoto anakariri tu anapata div 1 lakini uelewa mdogo
 
Hili nalo limekushangaza wakati huko kayumba madogo kibao wamepiga hizo A.

Kinachopaswa kukushangaza ni, imekuaje madogo wa kayumba wamepiga A 🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
Dooh!! Mwisho wa yote ni kuongea kingereza na kuchambua siasa.... uvumbuzi na kuleta mabadiliko katika Jamie yako sifuri.. "wabongo tujitadhmini"
 
Hili nalo limekushangaza wakati huko kayumba madogo kibao wamepiga hizo A.

Kinachopaswa kukushangaza ni, imekuaje madogo wa kayumba wamepiga A 🤣🤣🤣🤣
Nakazia
 
huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Mimi mboni ninae hapa kasoma kayumba na kapiga A zote ila serikali imempeleka shule mbaya zaidi kuzidi ile ya mwanzo hapa ndio ninapoona hawa hua wanaua ndoto za watoto wengi
 
Wenzako watoto wao wamebamiza hizo hizo A za kutosha wakiwa Kayumba with 0 cost.
Unajua kuna time ukifanya cost-benefit analysis, utajikuta mambo mengi tunafanya kwa kukurupuka tu, mfano, enzi zangu mimi nilipiga 1 kali form 4 hata leo watoto wanapiga 1 shule za serikali, wakat wengine wanaoiga 1 kali hizo hizo wakizilipia mamilion ya fedha na mwisho wa siku wote mnakutana UD au Muhas, huwa najiuliza, what the heck is this??
Kama mtoto anaweza pata hizo As serikalini binafsi naona ni hasara mwingine anapozipata kwa kutumia mamilion kila mwaka

NB
Sipingi shule bora wala sio kwamba nam support LIKUD , kila mtu aachwe afanye anavyojisikia.
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
Amewatoa kimasomaso ukoo wenu maana haijawahi tokea. Si kwa shangwe hizi
 
Mimi nikija kuwa na pesa na familia yangu watoto shule kidgo ila nitawekeza kwenye watoto kuwapeleka academy za mpira huko ulaya..
Muache tu achague njia yake bro, hata huko anaweza kufail badae akaja kukulaumu. Life is unpredictable
 
Wenzako watoto wao wamebamiza hizo hizo A za kutosha wakiwa Kayumba with 0 cost.
Unajua kuna time ukifanya cost-benefit analysis, utajikuta mambo mengi tunafanya kwa kukurupuka tu, mfano, enzi zangu mimi nilipiga 1 kali form 4 hata leo watoto wanapiga 1 shule za serikali, wakat wengine wanaoiga 1 kali hizo hizo wakizilipia mamilion ya fedha na mwisho wa siku wote mnakutana UD au Muhas, huwa najiuliza, what the heck is this??
Kama mtoto anaweza pata hizo As serikalini binafsi naona ni hasara mwingine anapozipata kwa kutumia mamilion kila mwaka

NB
Sipingi shule bora wala sio kwamba nam support LIKUD , kila mtu aachwe afanye anavyojisikia.
You are very right mkuu . Jamaa wanatumia nguvu nyingi sana kwenye sehemu inayo hitaji kutumia akili na hesabu rahisi tu..

Wenzao wanao somesha Feza etc huwa wanatumia hela za wizi, ufisadi, kukwepa kodi etc .

Wenzangu na Mimi wanatumia pesa ambayo wanaipata kwa stress
 
Mwanangu ana soma kayumba na kapata ufaulu wa grade A

KINACHO NISHANGAZA MWANANGU ANA UWEZO WA AKILI UNAO STAAJABISHAA.

NAWEKA NA MATOKEO YAKE HAPA CHINI.

View attachment 3193004

View attachment 3193008
FROM KAYUMBA.
Mkuu, Hata mimi nilisoma kayumba enzi zangu
I don't mean to brag ila I'm super smart, niliosoma nao wanaelewa, ila quality ya education kwa private schools (Zenye kueleweka sio hizi ilimradi tu imeitwa private za ada hadi laki sita) ni ya juu mno ukilinganisha na shule zetu. Shule za Kayumba ku-outstand inategemea zaidi na jitihada binafsi, walimu hawako competent kabisa
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.

Mwisho wa siku anakosa anaajiriwa na mamilionea wa darasa la 4 au la standard seven, kwa sasa bongo kusoma sio ishu,
 
Wenzako watoto wao wamebamiza hizo hizo A za kutosha wakiwa Kayumba with 0 cost.
Unajua kuna time ukifanya cost-benefit analysis, utajikuta mambo mengi tunafanya kwa kukurupuka tu, mfano, enzi zangu mimi nilipiga 1 kali form 4 hata leo watoto wanapiga 1 shule za serikali, wakat wengine wanaoiga 1 kali hizo hizo wakizilipia mamilion ya fedha na mwisho wa siku wote mnakutana UD au Muhas, huwa najiuliza, what the heck is this??
Kama mtoto anaweza pata hizo As serikalini binafsi naona ni hasara mwingine anapozipata kwa kutumia mamilion kila mwaka

NB
Sipingi shule bora wala sio kwamba nam support LIKUD , kila mtu aachwe afanye anavyojisikia.
Kila mtu na maamuzi yake mkuu, hela anayo kwanini asipeleke mwanae sehemu nzuri akapata quality education ?
Wote kupata As ama wote kusoma UDSM sio kigezo cha kusema usipatie mtoto wako elimu bora.
 
Mkuu, Hata mimi nilisoma katumba enzi zangu
I don't mean to brag ila I'm super smart, niliosoma nao wanaelewa, ila quality ya education kwa private schools (Zenye kueleweka sio hizi ilimradi tu imeitwa private za ada hadi laki sita) ni ya juu mno ukilinganisha na shule zetu. Shule za Kayumba ku-outstand inategemea zaidi na jitihada binafsi, walimu hawako competent kabisa
Shida sio waalim competent noooo, big noo, suala ni usimamiz kwa watoto wetu basi, kwakifup wazaz sasa wanakwepa jukum la msingi la kusimamia na kuongoza watoto kwenye masuala ya msingi hii ni fursa private wameiona ndio wanawapigia pesa
 
Back
Top Bottom