Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Elimu ya Tanzania ni changamoto mimi namlaani sana aliyeandaa mitaala ya elimu wakati ule tunasoma, walikuwa watuandaa kuwa watumwa wa CCM.
Zile nyimbo za kuisifu tanu na mwenyekiti wake matunda yake tunayaona leo
Kweli mkuu Tanzania Hamna Elimu shule za serikali sio shule.
 
Mtu alimpie mtoto mil 5 Kwa mwaka then aje awe omba omba ?

Sahau kabisa kuhusu hilo
Huyo anaongea maneno ya mkosaji ni heri mtoto awe na matokeo mazuri kuliko mtoto awe na matokeo mabovu. Haijalishi ataajiriwa au atajiajiri. Logically tu kama mtoto amefaulu vizuri hii ni kumaanisha hata muda wake anajua kuutumia vizuri na yuko focused. Ndani ya muda huo huo wa kupata elimu wakati kuna mtoto anapata A ndani ya muda huohuo kuna mtoto anapata D au C hii ni kusema huyu wa D, C hawezi kuwa na maarifa sawa na huyu wa A na ina maana huyo wa D au C hakutumia muda wake vizuri.
 
Nachojua we jamaa Una akili Sana na umeshafanikiwa hata Kama sio kuwa tajiri.


So uwezekano wa kumfanya kijana kusoma dumu fagio na kubutua A unao .
True,
Mimi sio tajiri Ila na uwezo wa kumpa maji mshikaji yeyote alie na kiu..

Kuhusu huyu dogo kuanzia Leo nataka awe DACTARI wa binadamu.

Tukiwa hai hii comment miaka ijayo ntakuja kuithibitisha...

Japo anasoma kayumba Ila nafanya mazingira afanye vyema kwenye safari za ELIMU yake..

NB.
Much appreciation Kwako tupo pamojaa
 
Huyo mtoto hizo elimu za A mnaenda kuua kipaji chake. Mfundisheni vipaji. Mimi mtoto wangu kama hawezi kutumia viungo vyake vya mwili (mikono, miguu, au mdomo) kufanya jambo fulani bado siwezi kumsifia kwamba anaakili.
 
Much 👍 appreciation 😁 Kwako... wewe ni mtu mzuri.
Thank you Mr.... nipo kawaida lakini ni matokeo ya malezi na jamii na mtu mwenyewe...

Naona watu wanabeza elimu Haina maana mbona hamna ajira na mambo mengine kama hayo....

Nikamuuliza swali kwahiyo tuache kusomesha ama wazazi wenye watoto waache kusomesha ili wote tuende kkoo ? ama tufungue mangi shop au tukalime ?

Akasema tunataka pesa.... nikamwambia ni sahihi lakini ni lazima tupate wataalamu sahihi ili hizo pesa zije ! kwenye kila fani kukiwa na ujinga tutaangamia kama nchi

Good luck 👍
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
Mtoto akipata matokeo mazuri hata mzazi/mlezi/ndugu unajisikia vizuri. Endelea kumuombea huyo mtoto kwa Mungu ili apate maarifa mazuri na aje atekeleze ule wito ambao Mungu amemuitia.
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.
Sasa A za darasa la nne zitasaidia niniz?👀😒😒😒😏😏
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.

Mbona kuna wamesoma St. Kayumba na A wamebamiza kuanzia la nne Mpaka kidato cha sita.

Hao unawazungumzia vipi
 
Wewe mbona ni mjinga kiasi hiki?
Kwahiyo kama ajira hamna niambie atajiajiri kwenye nini!!?

Na kama hiyo elimu inafundisha kujiajiri kwanini graduates wengi wameshindwa kujiajiri ndani ya professional zao walizosomea!!?

Au ndio Yale unasomea engineering halafu unakuja uza Duka la taka taka sawa na std 7 leaver!!?au boda Boda kama graduates wengi!!?

Sijakurupuka mkuu!!

Hao wenye vipato vya kulipa mil.5 ada wapo wangapi kwenye population!!?

Njoo na facts sio majibu mepesi!
 
Mtoto akipata matokeo mazuri hata mzazi/mlezi/ndugu unajisikia vizuri. Endelea kumuombea huyo mtoto kwa Mungu ili apate maarifa mazuri na aje atekeleze ule wito ambao Mungu amemuitia.
Atajisikia vizuri baada ya kupata KAZI au kujiajiri na kula matunda ya mtoto baada ya kumaliza elimu yake!!
 
Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.


Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja

Elimu nzuri ni gharama wakuu.

Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.

Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.

Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k


Elimu nzuri ni gharama.

A darasa la 4 nazo za kujivunia? Hakuna mtoto wangu ambaye mpaka la 7 ni mtindo wa A zote ; matokeo ya Primary huwa Mama yao ndo anafuatiliya zaidi!
 
Niliwahi kwenda pale Agha Khan Primary School, ipo jirani na shule za Zanaki, Olympio na Diamond.

Umasikini ni mbaya tena ni laana, ee Mungu Baba tutoe huku. Wale watoto ukiwatazama wooote unawaona wamenawiri, wana afya, ngozi nyeusi ina mafuta mafuta yenye kupendeza.

Watoto wadogo wameshiba vizuri, uniform imekaa penyewe, imemtight vizuri. Vifungo vya shati vimebana, kiatu cheusi na soksi nyeupeee.

Hakuna mtoto asiyechana nywele, hakuna mtoto akiongea anarusha mate. Watoto wanacheza kistaarabu, muda wa kutoka pale nje hakuna bajaj au boda hata moja inayosubir kumchukua mtoto, nje kuna prado, harrier, benz, alphard n.k hizi IST, Raum, Rumion ambazo sisi tunatambazo nazo basi pale ndo gari za kwenda kuchukulia watoto.

Ukikaa pale kwa lisaa tu hakika utachukia hizi shule zetu za Kayumba. Walimu wapo smart, hakuna mwalimu kavaa kata K, hakuna mwalimu anayevaa suluari za malinda au zile suluari za karume za elfu tatu tatu sijui elfu nne.

Ee Mungu utusaidie.
Ulienda hapo kuushtua umaskini sio?
 
Mtoa mada inaonekana ukoo wenu shule ni ya kuunga, A za std 4 na 7 hata sio issue
Ingekuwa form 4&6 hapo kweli
Kuna dogo mtoto wa shemeji yangu nimemtoa St kayumba mwaka juzi akiwa la 3 nikampeleka medium ya ada isiyozidi 2mil lakini now kapata A zote
 
Huwezi mchukua mtoto wa Feza Primary School uje umpambanishe na mtoto wa Mbagala Kuu Primary School.

Tusiongee saana, embu mtu mmoja aende ktk hizo shule akae ata lisaa tu kisha aje atupe ushuhuda ameona nini.

Zile shule kila muda ni safi, watoto wanapigwa na feni, vitabu na nyezo ni za kutosha. Mwalimu hana stress za mshahara, mwalimu na mwanafunzi wakiwa darasani wote tayari wamekula vizuri na kushiba, hakuna ubuyu wala kachori. Kule mayai, maziwa, samaki n.k vitu ambavyo vinaboost akili ya mtoto.

Wakati mtoto anakula hivyo, huku Kayumba mwalimu tu samaki anakula mara moja au mbili kwa mwezi, akila samaki, kuku ni kama anasi kwake.
Benjamin Fernandez pamoja na kuwa hakufanya vizuri shule aliyosoma hapa Bongo ambaye ilikuwa ni shule ya private tena ya gharama lakini alipata msingi mzuri sana na ilimpa kujiamini na leo hii yupo na NALA yake.
Kitu ambacho nimejifunza ni kuwa uwekezaji ukiwa mzuri kwa mtoto, hii huweka msingi mzuri sana, na humpa mtoto vitu vingi sana ambavyo kwenye shule nyingi ambazo uwekezaji ni mdogo hamna.

Hapa tuelewe kuwa elimu ni uwekezaji ndiyo maana hata shule kama Weruweru miaka hiyo zilitoa watu wenye maarifa mazuri maana wakoloni waliwekeza.
Mshua wangu wakati anasoma sekondari miaka hiyo kafundishwa na waalimu toka ujerumani, UK, Japan na shule ilikuwa na nyenzo zote za kupatia elimu. Ina maana kwa leo hii shule ingawa ilikuwa ni ya serikali ingekuwa ni kama private fulani hivi. Na mshua hata akiongea tu unaona Yes huyu alipata maarifa mazuri.

Ninachotaka kusema shule iwe ya private/serikali kama hakuna uwekezaji lazima itoe product za kiwango cha chini. Sasa hapa kuna jambo moja kuna ile mtoto kusoma shule mbovu halafu still unakuta kapata ufaulu wa juu. Hii bado haiwezi kujutfy kuwa uwekezaji usifanyike maana hata huyu mtoto utakuta kuna vitu/maarifa hana pamoja na ufaulu wake wa juu.
Kwa wale ambao hawana uwezo wa kuwasomesha mtoto shule nzuri pia wasiwe wanyonge/wala kukata tamaa hapohapo anaposoma mtoto still bado mpambanie apate maarifa ya kumsaidia siyo ndo tena umuache tu mtoto iwe bora liende.
 
Back
Top Bottom