Yup, karibia kila mwaka someone around davido anafariki.Mungu wangu[emoji24][emoji24][emoji24]
Ila hawa wapopo sio wa kuwaamini sana kuna sacrifice kibao kwenye huo utajiri wao we acha tu[emoji848][emoji848]
Evelyn Salt
mpaka sasa hivi davido ajatangaza ila watu wake wa karibu na ma FBI wamethibitisha hiyo habariDaah so handsome. Natamani isiwe habari ya kweli
naipiga screenshot hii comment yakoYup, karibia kila mwaka someone around davido anafariki.
Pia ni november... sacrifice season!
Davido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).View attachment 2403611
Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31
Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.
View attachment 2403612
Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.
---
Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea βSwimming Poolβ nyumbani kwao.
Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.
Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.
Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii DβBanj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.
Tutegemee ujio wa kutisha kutoka kwa DavidoππMungu wangu[emoji24][emoji24][emoji24]
Ila hawa wapopo sio wa kuwaamini sana kuna sacrifice kibao kwenye huo utajiri wao we acha tu[emoji848][emoji848]
Evelyn Salt
mpaka sasa hivi davido ajatangaza ila watu wake wa karibu na ma FBI wamethibitisha hiyo habari
ndo tunasbr kauli rasmi kutoka kwa jamaa maana hata kwenye account yake ya Ig ajaweka story na sio kawaid yakeAtakua kwenye maumivu labda atapost mbeleni
πππWamezidi kutengeneza mi swimming pool majumbani kwao na hawana uangalizi mzuri wa watoto
Tutegemee ujio wa kutisha kutoka kwa Davidoππ
Na mi hili ndo linanitatiza kila mwaka mtu wake anakufa tena yule wa mwisho nae alizama kwenye swimming poolYup, karibia kila mwaka someone around davido anafariki.
Pia ni november... sacrifice season!
Hata hollywood lazima watu influential kadhaa wafariki first two weeks za novembernaipiga screenshot hii comment yako
Kweli kabisa mkuumasikini wanaamini tajiri anatakiwa kutoa na masikini hapaswi kutoa huku tajiri akiamini masikini si mtu kwan ukarib wake ni kwasababu una kitu.
tuombeane mwisho mwema
nishaipiga picha hii nahiifadh kwenye e-mail yangu nitakutafta mwakani siku kama ya leoHata hollywood lazima watu influential kadhaa wafariki first two weeks za november
AminKweli kabisa mkuu
Tuombeane mwisho mwema
Mimi sio muumini wa uchawi bali najua jicho ni baya sana
Tajiri hana ulazima wa kuonyesha ufahari wake kwani zinaweza kuisha zote
Hakuna anaejua atapata au kukosa bali zinakuja tu au hupati tu
Me nadhani huwa wanafanya sherehe za kuwaaga maana huwa wanajua nini kinakwenda kutokea.Afu haya mambo ya birthday za kifahari za watoto wao lazima lizuke jambo zito
Unamkumbuka mtoto wa bushiri?
Baada ya birthday ya kifahari ya yule binti yao kilichofuata[emoji848][emoji848]
Kuna miujiza humo ndani ya maji? Dah hata huku ninapoishi kuna mdada alipoteza uhai kwenye swimming poolSwimming sio kwa watoto tu kuna dada juzi raia wa kenya mtu mzima kafa kwenye swimming na alikuwa anaogelea huku anajirekod
Ila ukiangalia Twitter zao wa Nigerians wanasema ni ndumba maana nao hawajambo kwa Imani za kishirikinaMe nadhani huwa wanafanya sherehe za kuwaaga maana huwa wanajua nini kinakwenda kutokea.
Ndo style zao hizo.
Maisha ni kuchagua na wamehagua hivyo acha waishi life is short mazeee
π€π€π€ ilaIla ukiangalia Twitter zao wa Nigerians wanasema ni ndumba maana nao hawajambo kwa Imani za kishirikina
Hizi baadhi ya tweets zao
Halafu compare na likes [emoji106] zilivyo utajua kuna kitu View attachment 2403865View attachment 2403866
mtu anakufa akikosa pumzi ndani ya dakik 5 tu. ila waafrika pia na sisi tuna yetu binafsiKuna miujiza humo ndani ya maji? Dah hata huku ninapoishi kuna mdada alipoteza uhai kwenye swimming pool
Nakutegemea kwenye hizi Habari unipe kidogo maana mimi sio mshabiki kabisa wa hao NigerianHizi zingine ni blah blah....haya ni mambo ya billionaire club mkuu!
Wao wanajua wanachokifanya!
Kuna drama lilikuwa linaendelea kati ya chioma na David kumbe ulikuwa zuga watu wasistukie[emoji848]
π€π€π€π€ kama naanza kupata picha hiviMe nadhani huwa wanafanya sherehe za kuwaaga maana huwa wanajua nini kinakwenda kutokea.
Ndo style zao hizo.
Maisha ni kuchagua na wamehagua hivyo acha waishi life is short mazeee