Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Kuna mtu mmoja Uganda alipoteza mapacha wa kiume hvhv somo kubwa sana kwetu hakikisha mtoto yupo usoni pako mda wote wapenda kuogelea nunueni inflatables au ile midubwasha ya kujaza upepo na maji unaweka baada ya kufanya usamaki wako unamwaga maji unalitundika hukoooooo
kweli kabisa uangalizi wa watot ni muhimu sana maana mtoto sio kiumbe wa kumuamin hata sec 5Mkuu watoto wanakufa kwa maji hata kwenye Ndoo tu hizi wanazotumia majumbani.Solution ni uangalizi mzuri wa watoto
Hili ni kweli kuna jamaa mmoja alikuwa dukani kwake kapigiwa simu mwanae kapotea alikuwa anacheza uwaniMkuu watoto wanakufa kwa maji hata kwenye Ndoo tu hizi wanazotumia majumbani.Solution ni uangalizi mzuri wa watoto
Mkuu unafikiri hakuna wasaidizi hapo wa kumuangalia mtoto?kweli kabisa uangalizi wa watot ni muhimu sana maana mtoto sio kiumbe wa kumuamin hata sec 5
Hili ni kweli kuna jamaa mmoja alikuwa dukani kwake kapigiwa simu mwanae kapotea alikuwa anacheza uwani
Kumbe masikini kamedumbukia kwenye jaba la maji
Mtoto tulizika poor kid [emoji22]
Oh well, countdown imeshaanza Takeoff wa Migos kafarikinishaipiga picha hii nahiifadh kwenye e-mail yangu nitakutafta mwakani siku kama ya leo
Nilijua pisi[emoji44]Umeambiwa ni wa kiume.
Mmmh 🤔🤔🤔 mambo naona yanazid kuwa makubwaMkuu unafikiri hakuna wasaidizi hapo wa kumuangalia mtoto?
Hapo utakuta mpaka cctv zipo ila cha ajabu mtoto amekuwa ndani ya maji kwa mda mrefu
Mda wote huo hakuna alieona ?
Report za police bado labda kauwawa akatupwa humo we never know
kafarik lini takeoffOh well, countdown imeshaanza Takeoff wa Migos kafariki
😳😳😳Yes niliwahi pia sikia kadhia kama hii miezi kama 5 iliyopita.Dada wa kazi alikuwa nje akifanya usafi,Ameacha katoto kadogo sebuleni kakawashia na Tv hapo.Sasa Mlango wa jikoni Upo wazi.Katoto kaka toka sebuleni nadhani kalikuwa Ndio kameanza kutembea.Kamefika jikoni Ndoo ya lita 20 imejaa maji na ipo wazi.Katoto kama kalikuwa kanachungulia kaka binukia ndani ya ndoo..Mpaka dada anamaliza usafi Katoto kamekwisha poa.
Nafuatilia Twitter zaoMmmh [emoji848][emoji848][emoji848] mambo naona yanazid kuwa makubwa
Sio fupi huenda jamaa yupo sahihi. Davido watu wake wa karibu wanapotea kiajabu ajabuKwanini akiri ya mwafrika inakuwa fupi hivi
Leokafarik lini takeoff
Hawa wenzetu sijuagi nn shida wao kupotezwa ni kama kuchinja kuku tu. R.I.P Takeoff
Hao uliowataja wana hela gani?Diamond kamgawa nani..
Ali kiba je
The same saga[emoji848]Daa yule mtoto wa mchungaji
Kila mtu aamini anachoona kimtazamo wake ..hatuwezi fanana mitazamo mkuu[emoji848][emoji848][emoji848] kwann tusiseme mipang ya mungu kwan matajir ndo hawatakiw kufa au
Halafu ni wewe ndo umeenda kumwaga kiswahili kwenye ile blogu[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]Yup, karibia kila mwaka someone around davido anafariki.
Pia ni november... sacrifice season!
Imeisha hiyo wamechukua chao [emoji26]Wamezidi kutengeneza mi swimming pool majumbani kwao na hawana uangalizi mzuri wa watoto
Tutegemee ujio wa kutisha kutoka kwa Davido[emoji3][emoji3]