Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #141
K
kwa taarifa yako hamna hata mmoja kati ya manabii na wapajwa mafuta alikua safii.
Ila walikua wanatubu
Rejea Daudi alimchukua mke wa usia na kisha kusababisha kifo cha usia ili ajichukulie mke wake.
Ibrahim akumsikiliza mungu kusubiri mtoto wa Ahadi wa mke wake wa ndoa Sarah
waiyo unajua Ibrahim alikua malaika yaan we n mbulula kabisaKwahiyo IBRAHIM alikuwa mzinifu?
Wewe tayari umeshalaamiwa na Mungu na sio wewe tu ni wakristo wote maana hiyo ndio kauli yenu
Mwanzo 12:1
BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
Mwanzo 12:2
nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Mwanzo 12:3
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
kwa taarifa yako hamna hata mmoja kati ya manabii na wapajwa mafuta alikua safii.
Ila walikua wanatubu
Rejea Daudi alimchukua mke wa usia na kisha kusababisha kifo cha usia ili ajichukulie mke wake.
Ibrahim akumsikiliza mungu kusubiri mtoto wa Ahadi wa mke wake wa ndoa Sarah