Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

K
Kwahiyo IBRAHIM alikuwa mzinifu?

Wewe tayari umeshalaamiwa na Mungu na sio wewe tu ni wakristo wote maana hiyo ndio kauli yenu

Mwanzo 12:1
BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
Mwanzo 12:2
nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Mwanzo 12:3
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
waiyo unajua Ibrahim alikua malaika yaan we n mbulula kabisa
kwa taarifa yako hamna hata mmoja kati ya manabii na wapajwa mafuta alikua safii.
Ila walikua wanatubu
Rejea Daudi alimchukua mke wa usia na kisha kusababisha kifo cha usia ili ajichukulie mke wake.

Ibrahim akumsikiliza mungu kusubiri mtoto wa Ahadi wa mke wake wa ndoa Sarah
 
Unataka kusema mtume wa Mungu baba wa Imani Ibrahim alikuwa mzinifu?
 
y

Yaan wazungu wamestarabika wanakubali ukweli huwezi kuta mwarabu anakubali ukweli kwamba wao ndo walikua wanauza watu zanzibar ,kigoma ujiji tabora, atlantic slave trade

kifupi waarabu au wana wa ishmael ndo sura halisi ya shetan
Mwaarabu alikuwa mtu wa kati tu!

Utumwa haukufanywa na mzungu peke yake wala mwarabu peke yake. Ulifanywa na viongozi wa kiafrika ambao ndiyo waliyokuwa wakiwauza waafrika wenzao hawa machifu.

Utumwa ulifanywa na mwafrika-mwarabu-mzungu...
 
Hivi kwani Ibrahim mwenyewe alikuwa mzungu? Ibrahim alikuwa mwarabu aliyezaliwa na kukulia Iraq wakati huo ikiitwa Babylon.
Ibrahim alihamia nchi nyengine ya waarabu inayoitwa Falastin akakaa hapo mpaka akafariki hapo.

Kwa hivyo mwarabu akihama nchi ndio anabadilika kuwa mzungu au? Hao Israel ni kabila tu ila ni waarabu pure.

Ni kama Mtanzania ahamie Ghana hapo utasema huyu sio muafrika?

Nyie wenzetu Wakristo muende mkapimwe kwanza akili zenu sio kwa umbumbumbu huu
Waarabu wanaongea kia aramaic?
Ibrahim alikuwa mkanaan.
Mnajinasibisha na mayahudi kupata uhalali wa kumpa Mudy unabii.
Manabii wote walitoka Judea.
Hata pale msalabani warumi walitundika kibao kilichosema YESU MNAZARETI MFALME WA MAYAHUDI si Issa bin Maryam.
Hadi sasa mayahudi wapo na wanaamini katika Mungu mmoja na si waislam.
Muhammad alifoji
 
Ukiwaona waarabu uwe unainama unawabusu miguu yao.
Wamekuletea namba unazotumia,
wamekuletea Algorithm unayo tumia program za computer Leo,
Wamekuletea Algebra yenye matumizi kemken kwenye sayansi.
Wamekuletea sea navigation kwa usafiri baharini hata hao wanaitwa wavumbuzi walitumia mbinu na vifaa vya waarabu kusafiri baharini.
Wamekuletea to Astronomy - robo tatu ya nyota unaziona kwa macho zinatumia majina ya kiarabu hadi Leo.
Wamekuletea lugha ya kiswahili inayo jumuisha watu karibu milioni 150
Wamekuletea chemistry hata neno chemistry asili yake ni kiarabu.
Wamechangia vikubwa kwenye elimu ya tiba na vifaa vingi vya tiba.
Wameleta elimu na vifaa vya maandishi Yani karatasi na kalamu hapa Afrika mashariki na hususan Tanzania watu wakikuwa wanawasaliana kwa maandishi miaka elfu na zaidi kabla wazungu hawajaja.
Ni msururu mwingi sana wa mchango wa waarabu kwenye nyanja zote
Jiulize wewe umechangia kipi duniani ? Zaidi ya kumaliza oxygen na kuongeza gesi ya ukaa kwenye mazingira.
Soma mtandaoni kabla ya kubwatuka
Slabe mentality.
Ndo umeambiwa hivyo masjid?
 
Nabii wa Allah Ibrahim (Amani iwe juu yake) hakuwahi kuwa mzinifu. Alikuwa mbali na uchafu wa zinaa. Alikuwa ni Mtume wa Allah na ni katika Mitume watano bora zaidi. Amani iwe juu yake yeye na manabii wote wa Allah
Allah ana nabii mmoja tu, Mudy
 
Waarabu wanaongea kia aramaic?
Ibrahim alikuwa mkanaan.
Mnajinasibisha na mayahudi kupata uhalali wa kumpa Mudy unabii.
Manabii wote walitoka Judea.
Hata pale msalabani warumi walitundika kibao kilichosema YESU MNAZARETI MFALME WA MAYAHUDI si Issa bin Maryam.
Hadi sasa mayahudi wapo na wanaamini katika Mungu mmoja na si waislam.
Muhammad alifoji
Unaposema manabiiw wote wanatokea Judea, Ibrahim mwenyewe alitokea wapi?

Nabii Nuhu (Noah) naye alitokea wapi? Judea?

Nabii Sheeth (Seth) alitokea Judea?

Nabii Idriss (Enoch) alitokea Judea?

Nabii Hud (Heber) alitokea Judea?

Nabii Saleh (Methusaleh) alitokea Judea? n.k

Hebu kiongozi tufahamishe tafadhali!
 
Sio kweli, acha uongo.

Ibrahim alizaa Ishmael, pia akazaa mtoto wa ahadi na Sara akiitwa Isaka.

Baada ya Sara kufa, alioa mke akiitwa Ketura akazaa watoto. Na bado alizaa watoto wengine na masuria. Kabla hajafariki aliwaondoa ili wasije kimsumbua Isaka mtoto wa ahadi.

Sasa kati ya Ishmael na watoto wa Ketura na wamasuria ni wapi wamekuwa waarabu wa sasa?

Unadhani dunia au uzao wa waarabu umeanzia kwa Ibrahim kumzaa Ishmael?

Ibrahim asili yake ni Iraq. Je Wairaq ni watu gani? Kama ni jamii ya waarabu, basi tambua waarabu hawajaanza baada ya Ishmael.

Ibrahim alitengwa ili apokee maelekezo ya Mungu tofauti na mapokeo ya wanadamu au jamii yake.

Kuwa makini na watu wa dini watakupoteza.
Waarabu ni wahamaji hata huko Iraq walihamia kama ilivyo Misri.Hakuna link kati ya Makureshi na Mayahudi
 
Unaposema manabiiw wote wanatokea Judea, Ibrahim mwenyewe alitokea wapi?

Nabii Nuhu naye alitokea wapi? Judea?

Nabii Sheeth (Seth) alitokea Judea?

Nabii Idriss (Enock) alitokea Judea? n.k

Hebu kiongozi tufahamishe tafadhali!
Ibrahim ,Isaka na Yakobo hawakuwa manabii tambua hilo kwanza
 
Ficha ujinga wako.
Ibrahim alitokea Iraq.......utajaza mwenyewe watu wa aina gani wanaishi Iraq.
Hivi Iran ni native land ya Persians au Misri ni native land ya Waarabu au Russia ni native land ya warusi?
Changamsha ubongo uamke waarabu si natives wa Iraq.Wenye Iraq ni Sumerians.Akina Nebuchadnezer hawakuwahi kuwa waarabu!Soma historia usidanganywe msikitini
 
Walikuwa ni akina nani?

Tukimaliza hapa tutarudi kwenye swali letu la msingi!
Changamsha ubongo usome historia.Shida yenu mnatafuta gap la kumnasibisha Muhammad kwenye genealogy ya manabii kitu ambacho si sawa.
These guys are considered as Patriachs na si manabii.
Hawana sifa za uonaji na utabiri kama manabii wengine.
Wao ni mababa wa Imani.
Kila prominent figure kwenye bible mnaipa unabii.
Historia ya ukombozi wa Israel ina Patriachs,Waamuzi,Manabii na wafalme.
Na kila office ila role yake.
All YHWH's prophets came from Judea and not Samaria.
Muhammad is not a prophet of God but rather a prophet of allah a Quraysh God
 
Umaskini na kutokuwa na hela ndio utaona Mtoto wa nje ni shida.

Mambo ni mengi muda haupo.
 
Waarabu ni wahamaji hata huko Iraq walihamia kama ilivyo Misri.Hakuna link kati ya Makureshi na Mayahudi
Waarabu na wayahudi wote ni semitic!

Kwa watoto wa Nabii Nuh watatu wale waliyoendeleza kizazi baada ya gharika hawa wawili niliyowataja juu wametokea kwenye uzao mmoja wa Sam mtoto wa Nuh.

Waarabu wapo aariba na mustaariba. Mustaariba waliyotokana na Ishmael baada ya kuoa mwarabu wa Yemen. Kizazi chake kilitochanganyikana na waarabu na kuolea humo na kupotelea humo na kuwa waarabu. Hawa wanaitwa Mustaariba (Waarabu ambao si pure arabs).

Mustaariba wanatoka kwa Ishmael mwana wa Ibrahim.

Quraysh ni jina la babu yake Mtume ndilo lilobeba kwa baadaye kabila kwa ujumla.

Unaposema hakuna link baina ya waarabu na wayahudi una maanisha nini?
 
Back
Top Bottom