Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Nilileta thread hapa mpige kura,mods sijui waliitoa,Ila kura zimepigwa na ameshinda🙏hongera Wanu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmejuajeNi kakahaba fulani hivi kalikojificha kwa ushungi na uongozi.
Hawapewi tuzo hivihivi hawa, lazima watoe kitu ili wapewe kitu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wanawatumia watoto wao kuanzisha NGOs kama uchochoro wa kupitishia mali wanazoibia nchi wakiwa madarakani!! Kikwete nae alimuanzishia Mkwewe NGO ikiitwa WAMA ambayo aliitumia kwenda kuomba misaada kwa matajiri kama wakina Bill Gates wakati mumewe akiwa Rais!! Toka amestaafu mumewe umeisikia WAMA tena?Ushindi wake unatokana na mzazi wake kwa sababu huko nyuma hakusikika. Hata kaka yake ana jina kubwa serikalini ingawa hana cheo kinachofahamika
Unakuta hajui maana RAIS ni nini msamehe mkuu.Hata kama rais anakosea kuna namna ya kumjibu sio kumuita kichwa maji.
OK mimi siwezi kumtukana hivyo ndio maana nimesema wacha niendelee kuwasoma tu aisee...Kwani rais hawezi kuwa kichwa maji?
Beki 3 wa Nkurunziza naye aliwahi kutangazwa mfanyakazi bora kitaifa siku ya Mei Mosi.
Kama rais una bint yako,hajaolewa nipe namba
Mm ni kijana smart bint yako hachomoi
Mke wa waziri mchengerwa,AMEOLEWA?
Kama kiongozi wako ni kichwa maji, wewe unayeongozwa utakuwaje...? Kichwa mkojo au...?Ajitengezee tu mazingira ila urais kama mama yake hataupata, hatuwezi kuongozwa na kichwa maji tena.
KICHWA MAJI EEEEH!!!!!Ajitengezee tu mazingira ila urais kama mama yake hataupata, hatuwezi kuongozwa na kichwa maji tena.
Kumbe!!Ni kakahaba fulani hivi kalikojificha kwa ushungi na uongozi.
Hawapewi tuzo hivihivi hawa, lazima watoe kitu ili wapewe kitu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hunter Biden
MTOTO WA RAIS SAMIA, WANU HAFIDH ASHINDA TUZO YA MWANAMKE MAHIRI ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative ambae pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir amenyakua tuzo ya mwanamke mahiri katika kipengele cha mtendaji bora wa taasisi kwa mwaka katika kuchochea shughuli za maendeleo kwa jamii.
Mhe. Wanu ambaye ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa wanawake washindi 17 waliopatiwa tuzo hizo ambazo hutambua mchangao wa mwanamke katika kuleta matokeo chanya.
Mhe. Wanu anasema kufanyika kwa tunzo hizo kunaibua ari na ujasiri kwa wanawake wote nchini kufanya juhudi katika kufanikisha mipango mbalimbali kwa maslahi ya Jamii zao.
View attachment 2840418
View attachment 2840420
Hahaha ,acha kufungua code mkuuUnatafuta fursa?
Unatafuta uteuzi ? [emoji3]