dahh.. we jamaa wewe [emoji23][emoji23]Ukiona manyoya ujue kaliwa!
kabisaaa!Hapo lazima kuna bodaboda kahusika
Nishamove on,Sina Cha kupotezaMbona unajieleza sana kwa x wako au bado unamuhitaji nikuachie
Omba tu yasikukute ! Katika hizo harakati za kutaka kupoteza kila mtu aliyehusika unaweza kujikuta unaangukia jela maisha yako yote na usifanikishe kile ulichokitaka..Kama angekuwa mwanangu na nikagundua kaingiliwa na mtu....Aiseee ningempoteza Kila aliyehusika kwa gharama yoyote Ile
Watoto wa kike wathaminiwe
πππ mwambie awahi haraka mimi ndio shemeji yake
Ahsante shemeji nimelaribia Haleluyah kwakweli ππππSisy Joannah mbona unamficha shem sijapentraaaaaaa πππ
Mwaya shem karibu me ndo mdogo wake wa mwisho
Hebu taja huduma za kijamii, ambazo unadhani chamanzi, hazipo.Bunju kina huduma zote za kijamii unazojua wewe tofaut na chamazi cha zaidi sio tena polini
Imetumwa kutoka kwa SM-A047F yangu kwa kutumia programu ya simu ya JamiiForums
Kuna member huku ansitwa MNAFIKI WA KUJITEGEMEA UJUEππ€£π€£π€£ bff ana wake sio G
Shemeji karibu sana sisi ndyo wadogo zake hatuna bayaπππ mwambie awahi haraka mimi ndio shemeji yake
Wazazi tupunguze ubusy wa kazi, watoto watatushinda kuwalea.
Yaani mtoto miaka hata 12 hajafika anakuwa ameshajua utamu wa mbo**o hadi kutoroshwa kwa Mwanaume [emoji119]
Watu wanazaa zaa hovyo alafu hela ya kulea hawana unategemea mtoto atapafutahia nyumbani?
Hongera iwapo uliweza kujitunza hadi kufika miaka 23, Wazee wako watakuwa walifanikiwa kukudhibitiYani inashangaza mimi miaka 12 hata kucheka na mwanaume naogopa lol
Bikra zimetolewa 23 huko jamani hawa watoto wa sasa wanakula nini mbona tunaogopa sasa hata kuzaa,watoto wanapenda mb*o kuliko kula khaaa
We angalia hiyo video halafu mtazame huyo mtoto, unapata picha gani au unamuonaje? Hatari sana, kuna upande fulani wa hawa watoto ukifanikiwa kuuona utashangaa sana.Hivi inakuwaje mpaka mtoto anakuwa ana uchungu kabisa daah watoto wa sikuiz wanaumiza sana
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ahsante sana shemeji nimekaribia ila sasa shemeji nitaomba niongee na wewe maana mmhππππShemeji karibu sana sisi ndyo wadogo zake hatuna baya
Mpaka ukauliza mzee, yeye mwenyewe alishakubali?Sijui ni vyakula au kitu gani.
Madogo wanatokwa na shepu na vichuchu wakiwa na miaka 9 mpaka 12.
Binti anaemaliza darasa la 7 ni ngumu kumtofautisha na mtu mzima afaae kwa natumizi..
Kidogo niikaribie 30 yrs lupango kwa binti aliemaliza la 7, bila kuuliza hakyanani ningenyea debe.