FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Watu wanafanya kazi online na malipo anapokea kwa mobile moneyNimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Inawezekana kabisaforex
Inaitwa "working from home". Ni kawaida sana kwa dunia ya leo.
Trading inalipa vibaya sana ukiijulia limekua shamba la vijana wa mjini sasa hivi watu wanahitaji internet na laptop au imac vijana wanapiga kazi Sasa hivi watu wanakaa geto tuNimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Pole ndugu kwa kuwa nyuma kiasi hiki dunia ya leo ipo kidigitali hivyo sio lazima mtu atoke aende kupatia riziki nje ya anapoishi, binafsi nimewahi fanya kazi miaka miwili nyumbani sikuwa natoka hata kila kitu namalizia online, na kama kuna vya kufuatilia physically ilikuwa natuma watu/mtu.Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
"remote" working kwa bongo bado ni mtihaniInaitwa "working from home". Ni kawaida sana kwa dunia ya leo.
zinapatikana vpDunia imebadilika sana tofauti na zamani enzi za kubeba briefcase na makaratasi kibao. Siku hizi kuna remote jobs ambazo hazihitaji uwepo physically ofisini. Zinataka udeliver kazi uliyopewa within time frame uliyopewa ukimaliza unakula pesa yako safi. Kwa bongo, kulikua na UpWork na wadau wamepiga sana kazi from home.View attachment 3053760
NAKAZIA HAPA.Don't worry about what others are doing. Focus on your own path and let them mind their own business.
Nafanya kazi na watu ambao kwa kipindi cha mwaka mzima wanakuja ofisini mara moja/mbili sometime haji kabisa dunia imebadilika sanaBiashara zinafanyika online, personal nauza VFD, nafanya marketing online, nauza online nalipwa online, nawaunganisha wateja online nalipwa online nalipwa mawakala online, inshort silazimiki kutoka nyumbani
Ungejua tuMajiran lazima mnajuana ata kama n biashara ya mtandaoni au anafanya kaz nyumban lazima mngejua huyo atakuwa muuza madawa au jambaz
Mpaka leo akili yako inajua kazini ni kwenda kubeba mizigo na (kwa waliopo Dar) ofisini ni lazima uende mjini/Posta!?Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Ndio mimiNimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau