Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama hatoki ndani hayo madawa anayauzaje?
Waswahili mnapenda sana mumjue mtu ndani nje ili baadae muweze kumkashifu kwa urahisi.
mtu anaweza kuwa na vitega uchumi kama hisa, majengo kapangisha hela zinatiririka kila baada ya kipindi fulan.i
Mchomeshe Kwa askariNimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau
Haha simfatiliii nimeshare hili baada ya kuskia majirani zake wakike wakimzungumziaAnaweza akawa anafanya kazi online... ya kumuingizia kipato au anafanya kazi flani isiyo halal,anapata pesa,ukigundulika unamfuatilia,unaweza ukauawa.Achana nae.
Mkuu acha kutoa siri zetu huko Upwork bhana😬😬,. Kwani screenshot ilikua ni lazima uweke???
👊👊👊👊UpWork is a public site and anyone can benefit from whatever is going on there. If you are competent enough, competition should not scare you chief.
Kama ni wakike,unaweza ukakuta anafanya hata uhuni wa piga video call nakukojoza kwa 15000 akipata watano,kashapata hela au rum ipo usalama upo,njoo nipo sijui wapi... au ana biashara online ya halaliHaha simfatiliii nimeshare hili baada ya kuskia majirani zake wakike wakimzungumzia
Ili ukafanyie kaziii??Nimekua interested na uzi naendelea kuchukua nondo taratibu
Ulionaje kama anapendeza wakat hatokibnje asubuh mpaka jioniNimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na
Tena kipindi Cha Corona ilikuwa ipo sanaInaitwa "working from home". Ni kawaida sana kwa dunia ya leo.
Nizijue harakati ambazo unaweza piga mawe ukiwa umetuliaIli ukafanyie kaziii??
Zipo ukipunguza tamaa. Mimi napiga 30% ya 200,000 kila siku. Jiongeze....siwezi leta formula hapa maana tukijua wengi makampuni ya kubet yatafungwaHuyo ana mtaji wa 50 000 tu na kila siku anabeti Odds mbili za uhakika! Kwa siku anaingiza 50,000 huku anakunywa juisi ya pasheni
Hakuna odds za uhakika wakuu! Tufanye kazi
Sasa kama hauwezi kuleta fomula mkuu si bora ungekaa kimya?Zipo ukipunguza tamaa. Mimi napiga 30% ya 200,000 kila siku. Jiongeze....siwezi leta formula hapa maana tukijua wengi makampuni ya kubet yatafungwa
Mimi ninae jirani wa hivi..ndani hatoki yeye na mke wake ila anaishi vzr tu...ni simu tu zinasikika akiongea na wateja wake.Nimewahi panga Nyumba fulani hivi kuna jamaa alikuwa anashinda chumbani asubuhi hadi jioni na anakula vzuri anapendeza na analipa bills zote bila usumbufu hadi majirani na wapangaji wenzie hususani wanawake walikuwa wakihisi labda anajihusisha na uuzaji madawa au ndo wale wa ile pesa tuma kwa namba hii..
Hii imekaaje wadau