Mtu mwenye akili timamu anawezaje kushabikia Simba na Yanga na ligi ya Tanzania?

Mtu mwenye akili timamu anawezaje kushabikia Simba na Yanga na ligi ya Tanzania?

Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Kwa hiyo tukusaidiaje mkuu
 
Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
kama ni hivyo kwa simba sc, vip kwa chadema iliyogawanyika itakuaje?🐒
 
Ushabiki ni nini na kwanini watu wanashabikia chochote kile..., More importantly kwanini watu wanafanya lolote wanalofanya ?

In short wa kukushangaa ni wewe unayedhani maisha au motive za binadamu zipo sawa (and if that was the case life would have been boring)...
 
Ushabiki ni nini na kwanini watu wanashabikia chochote kile..., More importantly kwanini watu wanafanya lolote wanalofanya ?

In short wa kukushangaa ni wewe unayedhani maisha au motive za binadamu zipo sawa (and if that was the case life would have been boring)...
Unatatizo la afya ya akili
 


Ujinga wako ni kutokua na kumbukumbu kama kawaida yako wewe
ChiefGodlove,ChristopherPaul15,Football
 


Ujinga wako ni kutokua na kumbukumbu kama kawaida yako wewe
ChiefGodlove,ChristopherPaul15,Football
Unatatizo la afya ya akili
 
 
Unatatizo la afya ya akili
 
Unatatizo la afya ya akili
Wahi Mirembe ukatibiwe au tafuta kazi ya kufanya ili uwe busy kidogo,
Huu uharo unaoujaza kila leo hapa JF hautokusaidia kitu.

Unamwaga nyuzi za kijinga mpaka unajisahau halafu unakuja kujiumbua wewe mwenyewe.
 
Unatatizo la afya ya akili
Akili ni nini na kwa mtizamo wa nani ? Wewe na wenzako mnaowaona wao wana matatizo ya akili wao wanawaonaje nyie ? Au watu kama wewe ndio wanamatatizo ya kushindwa kuchambua vitu ambavyo havihitaji processing power yoyote kuweza kudadavua...
 
Back
Top Bottom