Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Hapa sio shuleMpaka umuone mwalimu mkuu ameshika kiboko?Dunia ndiyo shule kuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sio shuleMpaka umuone mwalimu mkuu ameshika kiboko?Dunia ndiyo shule kuu.
Utaelewa tu kama ni shule au kilabu cha umoja wa akina mama.Hapa sio shule
Utajua mwenyeweUtaelewa tu kama ni shule au kilabu cha umoja wa akina mama.
Kwa hiyo tukusaidiaje mkuuHuwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Utashabikia Simba na Yanga kwa nguvu na kuandika vema utafundishwa.Utajua mwenyewe
kama ni hivyo kwa simba sc, vip kwa chadema iliyogawanyika itakuaje?🐒Huwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Sikuelewikama ni hivyo kwa simba sc, vip kwa chadema iliyogawanyika itakuaje?🐒
Afya ya akili tatizo jingine nchiniUtashabikia Simba na Yanga kwa nguvu na kuandika vema utafundishwa.
Unatatizo la afya ya akiliUshabiki ni nini na kwanini watu wanashabikia chochote kile..., More importantly kwanini watu wanafanya lolote wanalofanya ?
In short wa kukushangaa ni wewe unayedhani maisha au motive za binadamu zipo sawa (and if that was the case life would have been boring)...
Hasa kwa mtu anayeziogopa Simba na Yanga.Afya ya akili tatizo jingine nchini
SijuiKwa hiyo tukusaidiaje mkuu
itakua ni mwana simba lialia wewe, unawahadaa wadau tu 🐒Sikuelewi
Unatatizo la afya ya akiliitakua ni mwana simba lialia wewe, unawahadaa wadau tu 🐒
Unatatizo la afya ya akiliRefa amepiga filimbi ya kumaliza mpira baada ya kuona Simba SC wanataka kufungwa goli nyingine
Leo tumeona maamuzi mabovu ya refaree mechi ya Simba SC vs Coastal Union Mwamuzi kamaliza mpira mchezaji akiwa kwenye move ya kufunga goli hivi hizi mbeleko mpaka lini Hawa Simba SC aisee naagiza huyu refa afungiwe Simba SC hoi huko KMC Complex tukiwaambia timu hamna hapo wanakataa haya Leo...www.jamiiforums.com
Ujinga wako ni kutokua na kumbukumbu kama kawaida yako wewe
ChiefGodlove,ChristopherPaul15,Football
Unatatizo la afya ya akiliKOMBE LA KINA MAMA KUENDELEA KESHO
Kama mnavyojua tanzania tunawakilishwa na kina mama kwenye kombe la wamama ambalo litaendelea kesho na muwakilishi wetu ni klabu ya simba a.k.a mbumbumbu fc najua kesho hii klabu itaenda kuchezea kichapo kikali sana aisee napenda kuwajulisha taifa linaenda kuingia aibu keshowww.jamiiforums.com
Wahi Mirembe ukatibiwe au tafuta kazi ya kufanya ili uwe busy kidogo,Unatatizo la afya ya akili
Akili ni nini na kwa mtizamo wa nani ? Wewe na wenzako mnaowaona wao wana matatizo ya akili wao wanawaonaje nyie ? Au watu kama wewe ndio wanamatatizo ya kushindwa kuchambua vitu ambavyo havihitaji processing power yoyote kuweza kudadavua...Unatatizo la afya ya akili