Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #41
Unatatizo la afya ya akiliWahi Mirembe ukatibiwe au tafuta kazi ya kufanya ili uwe busy kidogo,
Huu uharo unaoujaza kila leo hapa JF hautokusaidia kitu.
Unamwaga nyuzi za kijinga mpaka unajisahau halafu unakuja kujiumbua wewe mwenyewe.
Unatatizo la afya ya akiliAkili ni nini na kwa mtizamo wa nani ? Wewe na wenzako mnaowaona wao wana matatizo ya akili wao wanawaonaje nyie ? Au watu kama wewe ndio wanamatatizo ya kushindwa kuchambua vitu ambavyo havihitaji processing power yoyote kuweza kudadavua...
pole,Unatatizo la afya ya akili
Binafsi nakuelewa sana. Kwa nchi yetu kuanzia serikali, na Taasis mbalimbali zinaendeshwa kihuni, hakuna weledi, ni siasa, udini na kujuana, uwezo hauzingatiwi kabisa hivyo haiwezekani kupiga hatua hata siku moja. Hakuna kiongozi mzalendo Wala mwenye nia njema na nchi ni mwendo wa ubinafsi na kuchota maliHuwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Wewe unaakili nyingi sanaBinafsi nakuelewa sana. Kwa nchi yetu kuanzia serikali, na Taasis mbalimbali zinaendeshwa kihuni, hakuna weledi, ni siasa, udini na kujuana, uwezo hauzingatiwi kabisa hivyo haiwezekani kupiga hatua hata siku moja. Hakuna kiongozi mzalendo Wala mwenye nia njema na nchi ni mwendo wa ubinafsi na kuchota mali
Unatatizo la afya ya akilipole,
ndio ujitahidi kumeza dawa sasa upone gentleman π
Unatatizo la afya ya akiliWajinga ndio waliwao, aisee Simba ni mbumbumbu
Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji. Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema...www.jamiiforums.com
Yanga bingwaHuwa nashangaa sana unakuta watu mpaka wanapigana kisa simba na yanga aisee ukicheki maisha yamewachapa vibaya watanzania akili zero kabisa yaani timu zinacheza mpira kama wamasai wanavyorukaruka na hivyo viwanja wanavyochezea ni kama mashamba ya mpunga ni kichekesho sana kiufupi mtu anaehangaika mpira wa tanzania na kushangilia apimwe akili
Huna cha kujitetea,umeumbuka,umekua Kasuku ghafla wa kurudia neno lile lile,Unatatizo la afya ya akili
Unatatizo la afya ya akiliHuna cha kujitetea,umeumbuka,umekua Kasuku ghafla wa kurudia neno lile lile,
Tulia dawa ikuingie ili uache unafiki.
Kwisha habari yako wewe,Unatatizo la afya ya akili
Bingwa wa mashamba ya mpungaYanga bingwa
Unatatizo la afya ya akiliKwisha habari yako wewe,
Unataka ligi na mimi jf,
Tulia nikuonyesha huu mchezo unavyokwenda.
kunywa dawa wew upone au mpaka ufungwe kamba?alaaa!!πUnatatizo la afya ya akili
Unatatizo la afya ya akilikunywa dawa wew upone au mpaka ufungwe kamba?alaaa!!π
Huwa nashangaaKushabikiwa hizo timu ni mojawapo ya dalili ya matatizo ya akili.