Unaowaita ni wazee kumbuka hao ni vijana ila ni vijana wa zamani.Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana.
Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi tofauti au ni huwa tuna/wana jifariji tu kujiita vijana ilihali wakijua wazi kwamba umri tayari umesha watupa mkono.
Wasalam.
Ngiyakuthanda & umuhle coach.... ππππππWabhejah sana!
Kwamba uzee hakuna anaeweza kuukwepa sio.Unaowaita ni wazee kumbuka hao ni vijana ila ni vijana wa zamani.
Yaani anavyo taka na mimi nataka, Ngoma draw... πππππYou have decided to switch frequency to Queen language. Haaa haaa
Ngibona kakhulu πNgiyakuthanda & umuhle coach.... ππππππ
Naam. Ni suala la muda tuu. Labda ujimalize au wakumalize mapema.Kwamba uzee hakuna anaeweza kuukwepa sio.
Naona upo vizuri. Usikubali kuwa mnyonge.Yaani anavyo taka na mimi nataka, Ngoma draw... πππππ
Bora ufike uzee ni jambo la baraka kuishi umri mrefu.Naam. Ni suala la muda tuu. Labda ujimalize au wakumalize mapema.
Uneminyaka emingaki nkosikazi πππNgibona kakhulu π
Inategemea na muonekano wako mkuu, ila ukiona shikamoo ni nyingi ujue ni mzeeMimi nina 37 kwahiyo nimezeeka?
Yes. Utakuwa umeona mengi na umejifunza mengi na kama uko vizuri unakuwa mmojawapo kwenye kundi la kutoa Ushauri esp. kwa hao vijana.com.Bora ufike uzee ni jambo la baraka kuishi umri mrefu.
Unyonge dhambi eti .... πππNaona upo vizuri. Usikubali kuwa mnyonge.
Wewe Pallangyo umeshazeeka haa haaawacha ujinga. miaka 35 bado kijana
Lakini kuna wengine hawakubali kuwa wameshazeeka...Yes. Utakuwa umeona mengi na umejifunza mengi na kama uko vizuri unakuwa mmojawapo kwenye kundi la kutoa Ushauri esp. kwa hao vijana.com.
Hapana-Bado sana aisee. Kama ni mtumishi wa Serikali, ujue ni mpaka ugonge 60. Kama uko mtaani achana na unywaji wa pombe na ulaji wa hovyo -junk foods.Mimi nina 37 kwahiyo nimezeeka?
mutatusababishia sonona bure muwe na hurumaWewe Pallangyo umeshazeeka haa haaa
Kabisa hupaswi kukaa kinyonge.Unyonge dhambi eti .... πππ