Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mama yangu kaingiaje hapa, huwezi ukawa umesoma PCM kwa design hii ya uandishi..
Never.Which you can still get at the University level...
Hapo ume-exaggerate sana, sijajua kama ulikua unanogesha ngano yako au lah. Ni kweli hizo shule ni nzuri hasa hasa kumpa mtoto exposure na kujifunza lugha zingine kwa ufasaha kama kiingereza au kifaransa.Mtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.
Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.
Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.
Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
International ni wapi mzeeKwa sababu wao ni international level.
Huwezi waona au wasikia bongo
Talent ni niniTalent zipi nazani unazungumzia za Ku rap, Hahaaa tupe talent tofauti na za kuimba.
International watoto wanapata Exposure kubwa sana
Ni sawa lakini inasemwa katika huu uzi kwamba international school inakuza vipaji tofauti na shule zetu hiziUmetoka nje ya Mada.
Talent ni natural born thing wala hufundishwi na hakihitaji shule. Ukianza kufundishwa hiyo sio Talent bali unaweza kugundua Talent yako kupitia elimu na shule.
it is something you have never been taught. It comes out of the blue na ukiulizwa how did you know that , the honesty answer would be I don’t Know.
Teh teh teh we jamaa umenichekesha sanaUsinikumbushe mapito niliyo pitia.
Ile naanza na form five tu mwalimu wa kemia mzungu,mmarekani na Mjapani,hesabu ni mchina wa kimarekani na Mhindi,nageukia Fizikia nakutana na mzee Ngui sijui kabila gani masikini muda wote ni kufoka tu. Halelujaaa DS hii hapa na mzee Mwangoka anafundisha kwa kinyakyusa na stori zake za Tukuyu na kufukuzwa chuo kikuu kwa migomo...
Ikawa mwanzo mwisho ni kumeza tu....
Umeongea ukweli,ila ni wachache sana wataelewa unachomaanisha...Mtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.
Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.
Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.
Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
Inawezekana ingawa litachukua miaka mingi sana,elimu hiyo ilikuwepo tena kwenye shule za kawaida sana,ikafa miaka ya 80 mwishoni,ikabakia ile ya mwenye uwezo mkubwa wa kukariri au kuweza kupitia mitihani mingi ya miaka ya nyuma ndio mwenye akili...Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Ungeanza walau kuzilist Shule chache kwa manufaa ya wadau ili wajipangeMtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.
Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.
Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.
Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.
Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
Shida ingine ni ada ya hizi ShuleHawa watoto hawasomi kwa kutoboa, kukariri maswali ya physics sijui hesabu za mody physics.
Hawa wanajifunza elimu ya kuwasaidia kukabiliana na mazingira yanayowazunguka ambalo ndio dhumuni kuu la elimu.
Hizi za necta eti unakuta hadi wanazuia wazazi kwenda kumuona mtoto eti utamharibia concentration, sasa hiyo elimu ama ujinga, kwamba mzazi ukitembelea mtoto utamvuruga asifanye vizuri? Ujinga ujinga mtupu kwenye elimu ya necta.
Mtaala kuubadilisha inawezekana ila changamoto ni:Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Hili linahitaji mchakato mzito haswaaaaNadhani serikali ijaribu kubuni mfumo mzuri utakaojengea wanafunzi ufahamu na uelewa wa kusoma na kuweza kutatua changamoto za mazingira yetu. Sio kusoma ma theory tu yaliyo solve nchi za ulaya na kusahau mazingira yetu na changamoto zake.
Pia sikuhizi primary hesabu ni mutliple choice, huko si ndo kufanya watoto wawe wavivu.
Mitaala ya kimataifa iendane na miundombinu ya kitaifaHivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Ungeongezea neno tena usawa huuNaona watu kimya wakisaka hela kuwapeleka watoto international school. Ishu sio shule hapo kikubwa ankra mzee baba!!!
Hao ni outliers tu na huwezi kutoa conclusion based on them. Asilimia kubwa humu tumesoma shule hizi duni ila ukweli ni watoto wa huko shule zenye mitaala ya mabeberu wapo vizuri. Huku kwetu ni karama ya Mungu tu unakuta mtu yupo very articulatedMkuu kuna world scholars kibao ambao hawajakanyaga hizo international schools na wanaheshimika kwenye field zao. Nafikiri hizo shule zimeanzishwa purposely kwa ajili ya watoto wa mabalozi kwenye nchi husika, hakuna jipya...