Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Mimi sizikubali sana hizo international school kwasababu mkifika Chuo kikuu,hakuna Significance difference ya wale waliosoma St.Kayumba na waliosoma International.
 
Kwanini uwaze kupunguza instead of training.., kama mwalimu ambae tayari anaujuzi ni rahisi kumtrain kuliko useme upunguze uajiri wapya,
... wachache sana ni trainable; most of them ni wa kuondoa kabisa kwenye mfumo kama lengo ni kufikia level za IST. Kumbuka mbwa nzee mbinu mpya hafundishiki.
 
Hao hao walimu unaowadharau na jizo grade zao ndio waliokufikisha hapo ulipo,
Na ndo maana hata thinking capacity yako ni finyu mno
... acha kujichanganya; "walimu hao hao na grade zao ndio walionifikisha hapa; na ndio maana thinking capacity yangu ni finyu mno"! Connect statement ya kwanza na conclusion halafu jitafakari thinking capacity yako ikoje! Sijui unakubali na unakataa nini!
 
Mimi sizikubali sana hizo international school kwasababu mkifika Chuo kikuu,hakuna Significance difference ya wale waliosoma St.Kayumba na waliosoma International.
... wazee wa takwimu! Hebu weka matokeo ya utafiti wako hapa tuyaone Chief.
 
Tatizo la Elimu ya Tanzania ni Mitaala.
ni kweli kabisa kama unataka mtoto wako aelimike na awe na akili zinazotakiwa katika ulimwengu wa sasa inatakiwa asisome hii mitaala yetu,Mtoto anayesoma Shule ya awali yenye kutumia mtaala wa Montesory uwezi mlinganisha na mtoto anesoma vidudu shule za kawaida mitaani...alikadhalika Uwezi mlinganisha kijana anaesoma Seminary na kikilisto na hawa wengine ilo lipo wazi
 
Primary na secondary Aga Khan Tanzania?
 
Umesoma tukuyu day?

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂😂
cariha aaa
 
Naunga mkono hoja.
Kulipa ada ya milioni 40 kwa mwaka sio kazi ndogo,halafu badae akimaliza chuo aje kuhangaika kupata kazi ya mshahara wa laki 4 inakuwa hasara.
ukihesabu hiyo milioni 40 mara miaka 6 unajenga nyumba ngapi?
Unaona asset ni nyumba tu?

Mtoto anayesomeshwa IST haji kufanya kazi na wewe.

Wengi wanafungua kampuni zao au wapo kwenye international organizations.
 
sasa kwani waliosoma shule za kawaida wanashindwa au wanazuiliwa kufungua kampuni zao?assets ziko za aina nyingi hiyo nyumba nimetolea mfano tu
Unaona asset ni nyumba tu?

Mtoto anayesomeshwa IST haji kufanya kazi na wewe.

Wengi wanafungua kampuni zao au wapo kwenye international organizations.
 
sawa
 
Ongezea na kingine kuwalipa walimu wa kimataifa kutoka ulaya wataweza?
 
Jikuneni mkono unapofika wakuu.. Mkifosi sana mnaelekea kuwa wachawi.
 
Mkuu hapa nikusahihishe kidogo.
Ulichokiona wewe hapa ni kusifia tu hizo shule na huyo mwanafunzi lakini umesahau kuwasifia wazazi wake kuwa wana pesa.
Kwa mfano chukulia mtu aliyesoma hizi saint kayumba hadi form 6 halafu ukampeleka kusoma university huko Cape town unafikiri atashindwa kutoboa au kupata kazi huko canada?
Kitu ulichoshindwa kujua hapo ni kwamba kilichomfanya hapo apate kazi canada sio kwa vile ameelewa sana elimu ila ni connection tu iliyosababishwa na kujuana na watu wa aina mbalimbali.
 
Ukitaka kuanza safari, agana na nyonga.. Mtoto ili atoke nursery mpaka amalize chuo kikuu, ana miaka kama 20 ya kusoma.
Je wewe mzazi una uhakika kipato chako kitakuwa mwake kwa miaka hii 20? Kama huna uhakika, mpeleke shule za umma.. Come rain, come sun, mtoto anakuwa na uhakika wa masomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…